britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,997
Cc Pascal Mayalla banyamulengeehawa wote niwanyamlenge, roho mbaya kama nn
Cc Pascal Mayalla banyamulengeehawa wote niwanyamlenge, roho mbaya kama nn
Mapinduzi daimaHuo ndio unaitwa ulevi wa madaraka, Museveni atatolewa kwa bunduki tu na sio kwa hivi vikaratasi.
Tunamsikiliza mwalimu wa kichaa!!tumegundua kuwa kumbe hata mwalimu naye kichaa tu! Yaani kichaa anamfundisha kichaa mwenzake!Naona Chadema wote mumehamia Uganda wakati huku nyumbani Majimbo yanazidi kuwaponyoka
Kiama chaja huku kwetu kwa huyu 'kichaa'.Naona Chadema wote mumehamia Uganda wakati huku nyumbani Majimbo yanazidi kuwaponyoka
Tunamsikiliza mwalimu wa kichaa!!tumegundua kuwa kumbe hata mwalimu naye kichaa tu! Yaani kichaa anamfundisha kichaa mwenzake!
Kiama kitabaki kwenye mifuko yenu ya suruali iliyo mitupu.Kiama chaja huku kwetu kwa huyu 'kichaa'.
The next.
... ni nguvu ya umma tu itakayomtoa madarakani. Viashiria vya kiongozi mkuu wa nchi kutoliheshimu bunge vinaonekana hata pande hizi.
Wangekuwavwashamuondoa kama wanauwezo. Hizo ni drama tu kwa siasa za africaBasically bunge lenenyewe linaweza kumuondoa madarakani muda wowote wakitaka. Kiufup bunge lina nguv kuliko yeye mwenyewe.
So asichimbe biti viongozi