Rais Mugufuli atakumbukwa na vizazi vingi wa Watanzania

Waswahili husema, "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".
Ni ukweli ulio wazi Sasa kuwa Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania katika vizazi vingi vijanyo.
Kipindi chake cha uongozi kimekuwa na mambo mengi makubwa ambayo kiukweli yalihitaji ujasiri mkubwa kuyafanya.

Hakika Magufuli ni mtu mwenye uthubutu hata Kama akifeli baadhi ya mambo lakini watanzania wataiona nia yake njema.

Huu mkataba wa madini kusainiwa kwa mara ya kwanza Tanzania itanufaika na raslimali yake ya madini, hii inamfanya Magufuli kuingie kwenye vitabu vya kumbukumbu vya taifa hili hasa mtu atakapogusa nyanja ya madini. Huu ni ukweli ulio wazi japo Wana siasa wengi watapinga hili.
Vitosho na maneno mengi ya kukatisha tamaa mara kushitakiwa Miga n.k , laikini alisimamia msimamo wake hadi leo matokeo tumeyaona.

Itakapo tajwa kampuni mpya ya TWIGA moja kwa moja utamtaja Magufuli, ukitaja mabadiliko ya sheria za madini hapo lazima utamtaja Magufuli, chimbuko la mawazo ya kuanzishwa vitu hivi vyote ni yeye.

Hebu tuseme ukweli.
1; Wana Mwanza itawachukua miaka mingapi kumsahau Magufuli kwa uwepo la daraja la BUSISI? Waliwahi kuota kuwa wangekuwa na kitu Kama hiki?
Ujenzi wa Meli tano ziwa Victoria itawachukua miaka mingapi hadi kusahau.

2; Itatuchukua miaka mingapi hadi kusahau Tren ya Umeme SGR!!
Kila atakae iona hata Kama ni miaka 70 baadae jina la Magufuli litamjia kichwani.

3; Wananchi wa kigoma watamsahau vipi Magufuli kwa ujenzi wa mabarabara yanayounganisha mkoa wa kigoma na mikoa jirani, mkoa ambao Kama vile ulikuwa umesahaulika kabisa.

4; Tutakapoanza kutumia Umeme kutoka Bwawa la Nyerere tutamsahau vipi Magufuli watanzania.?

5; Utakapoona ndege za ATCL zikipasua anga atamsahau vipi Magufuli?

Hakika huyu ni shujaa wa taifa hili, wanasiasa watakataa kwasababu nawao pia wanahitaji kushika dola hivyo usitegemee kuwa watamuunga mkono Magufuli hata mara moja.
Lakini vitu anavyo vifanya vinajieleza.

Prof Lumumba hakuwa mnafiki aliposema " the Magufulification of Africa."

Licha ya mapungufu yake kiuongozi lakini hakika huyu ni kiongozi wa mfano wa kuingwa barani Africa.
Ujinga ni ugonjwa mbaya kuliko magonjwa yote. Kama ungejua kilichopo huko kwenye madini, usingeweza hata kuthubutu kuyataja. Utawala wa awamu hii umeua kabisa sustainability ya industry ya madini.

Mzee Masha (Baba yake Masha aliyekuwa Waziri wa Mambo ya ndani) aliwahi kusema kuwa, wasukuma wana msemo unenao, 'ukitaka kujua mtu kama ataendelea kuwa tajiri au atafilisika hivi karibuni, hesabu idadi ya ndama walioko zizini, usiangalie mitamba inayokamuliwa'. Na kwenye madini, ukitaka kujua kama nchi itaendelea kutoa madini, angalia miradi ya utafiti madini inayoendelea.

Utawala wa awamu hii umesababisha makampuni yote zaidi ya 160 kuacha kufanya utafiti wa madini Tanzania kwa sababu Tanzania siyo mahali salama.

Hiyo Twiga unayoisema, ungekuwa una uelewa japo mdogo sana juu ya Business Intelligence ungejua ni nini Barrick wanafanya na wanataka. Ukweli ni kuwa Twiga ni kampuni ya muda mfupi maana hata Barrick wenyewe hawataki kutumia hata dola yao moja kufanya utafiti wa dhahabu Tanzania. Hela wanayoipata Tanzania, sasa hivi inatumika sana kutafiti kwenye mataifa mengine. Watakapoondoka Tanzania, itakuwa mwisho wa Twiga lakini Barrick itaendelea mahali pengine Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga ni ugonjwa mbaya kuliko magonjwa yote. Kama ungejua kilichopo huko kwenye madini, usingeweza hata kuthubutu kuyataja. Utawala wa awamu hii umeua kabisa sustainability ya industry ya madini.

Mzee Masha (Baba yake Masha aliyekuwa Waziri wa Mambo ya ndani) aliwahi kusema kuwa, wasukuma wana msemo unenao, 'ukitaka kujua mtu kama ataendelea kuwa tajiri au atafilisika hivi karibuni, hesabu idadi ya ndama walioko zizini, usiangalie mitamba inayokamuliwa'. Na kwenye madini, ukitaka kujua kama nchi itaendelea kutoa madini, angalia miradi ya utafiti madini inayoendelea.

Utawala wa awamu hii umesababisha makampuni yote zaidi ya 160 kuacha kufanya utafiti wa madini Tanzania kwa sababu Tanzania siyo mahali salama.

Hiyo Twiga unayoisema, ungekuwa una uelewa japo mdogo sana juu ya Business Intelligence ungejua ni nini Barrick wanafanya na wanataka. Ukweli ni kuwa Twiga ni kampuni ya muda mfupi maana hata Barrick wenyewe hawataki kutumia hata dola yao moja kufanya utafiti wa dhahabu Tanzania. Hela wanayoipata Tanzania, sasa hivi inatumika sana kutafiti kwenye mataifa mengine. Watakapoondoka Tanzania, itakuwa mwisho wa Twiga lakini Barrick itaendelea mahali pengine Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga zaidi hapa ni wewe unaye amini kuwa hakuna kilicho fanyika kwenye hiyo sekta ya madini wakati vitu viko wazi vinaonekana lakini bado unakuja kujaribu kutujaza propaganda za hovyo sisizo na mashiko wala ushahidi wa unachokisema.

Na ujinga zaidi unathibitika pale unaposema makampuni ya uchunguzi wa madini yote yamekufa na kuacha kufanya kazi eti Tanzania sio mahala salama kiuwekezaji.
Sio salama kwasababu tunabadili sheria za madini ili taifa linufaike na rasilimali zake?
Kwahiyo usalama unao utaka wewe ni sisi kuacha tu wafanye wanavyo taka wao sisi tuangalie tu kwasababu tukiwagusa tu basi tunakuwa sio sehemu salama?

Kama kuwa na akili ni kwa namna hiyo basi hizo akili baki nazo wewe kaka Mimi binafsi akili za hivyo sizitaki kabisa.
 
Acha kuandika ujinga. Wewe una ushahidi wa kuonyesha uchunguzi unaendelea au unabwabwaja tu? Ben Saanane tangu apotee huu ni mwaka wa nne Azory mwaka wa tatu shambulizi la Lissu ni mwaka wa tatu. Hebu tuwekee ushahidi wa uchunguzi husika.

Narudia tena udhalimu wa kutisha unaoendelea Nchini mhusika Mkuu ni huyo dikteta.
Wewe unaye watuhumu watu kuwa wauaji bila ushahidi ndiye unaongea ujinga zaidi hapa.

Wewe ndio ulete ushahidi kuwa hao unao watuhumu ndio wauaji kaka.

Wewe ni mmoja wa hao polisi hadi useme hawafanyi uchunguzi kwenye hayo matukio?
Nimekuuliza Kuna kesi za majambazi wangapi walio pora mali za watu mchana kweupe mpaka leo hawajakamatwa au nao ni jiwe ndio kawatuma ndio maana hawakamatwi?

Kuchukuwa muda mrefu kupatikana kwa majibu juu ya hayo matukio sio ushahidi wa kuhalalisha tuhuma zako juu ya huyo unae muita muuaji, huo ndio ujinga halisi sasa.
 


Wewe unaye watuhumu watu kuwa wauaji bila ushahidi ndiye unaongea ujinga zaidi hapa.

Wewe ndio ulete ushahidi kuwa hao unao watuhumu ndio wauaji kaka.

Wewe ni mmoja wa hao polisi hadi useme hawafanyi uchunguzi kwenye hayo matukio?
Nimekuuliza Kuna kesi za majambazi wangapi walio pora mali za watu mchana kweupe mpaka leo hawajakamatwa au nao ni jiwe ndio kawatuma ndio maana hawakamatwi?

Kuchukuwa muda mrefu kupatikana kwa majibu juu ya hayo matukio sio ushahidi wa kuhalalisha tuhuma zako juu ya huyo unae muita muuaji, huo ndio ujinga halisi sasa.
 


Wewe unaye watuhumu watu kuwa wauaji bila ushahidi ndiye unaongea ujinga zaidi hapa.

Wewe ndio ulete ushahidi kuwa hao unao watuhumu ndio wauaji kaka.

Wewe ni mmoja wa hao polisi hadi useme hawafanyi uchunguzi kwenye hayo matukio?
Nimekuuliza Kuna kesi za majambazi wangapi walio pora mali za watu mchana kweupe mpaka leo hawajakamatwa au nao ni jiwe ndio kawatuma ndio maana hawakamatwi?

Kuchukuwa muda mrefu kupatikana kwa majibu juu ya hayo matukio sio ushahidi wa kuhalalisha tuhuma zako juu ya huyo unae muita muuaji, huo ndio ujinga halisi sasa.
 
Opposition blames Tanzania govt for critic's shooting - France 24

Wewe unaye watuhumu watu kuwa wauaji bila ushahidi ndiye unaongea ujinga zaidi hapa.

Wewe ndio ulete ushahidi kuwa hao unao watuhumu ndio wauaji kaka.

Wewe ni mmoja wa hao polisi hadi useme hawafanyi uchunguzi kwenye hayo matukio?
Nimekuuliza Kuna kesi za majambazi wangapi walio pora mali za watu mchana kweupe mpaka leo hawajakamatwa au nao ni jiwe ndio kawatuma ndio maana hawakamatwi?

Kuchukuwa muda mrefu kupatikana kwa majibu juu ya hayo matukio sio ushahidi wa kuhalalisha tuhuma zako juu ya huyo unae muita muuaji, huo ndio ujinga halisi sasa.
 
Waswahili husema, "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".
Ni ukweli ulio wazi Sasa kuwa Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania katika vizazi vingi vijanyo.
Kipindi chake cha uongozi kimekuwa na mambo mengi makubwa ambayo kiukweli yalihitaji ujasiri mkubwa kuyafanya.

Hakika Magufuli ni mtu mwenye uthubutu hata Kama akifeli baadhi ya mambo lakini watanzania wataiona nia yake njema.

Huu mkataba wa madini kusainiwa kwa mara ya kwanza Tanzania itanufaika na raslimali yake ya madini, hii inamfanya Magufuli kuingie kwenye vitabu vya kumbukumbu vya taifa hili hasa mtu atakapogusa nyanja ya madini. Huu ni ukweli ulio wazi japo Wana siasa wengi watapinga hili.
Vitosho na maneno mengi ya kukatisha tamaa mara kushitakiwa Miga n.k , laikini alisimamia msimamo wake hadi leo matokeo tumeyaona.

Itakapo tajwa kampuni mpya ya TWIGA moja kwa moja utamtaja Magufuli, ukitaja mabadiliko ya sheria za madini hapo lazima utamtaja Magufuli, chimbuko la mawazo ya kuanzishwa vitu hivi vyote ni yeye.

Hebu tuseme ukweli.
1; Wana Mwanza itawachukua miaka mingapi kumsahau Magufuli kwa uwepo la daraja la BUSISI? Waliwahi kuota kuwa wangekuwa na kitu Kama hiki?
Ujenzi wa Meli tano ziwa Victoria itawachukua miaka mingapi hadi kusahau.

2; Itatuchukua miaka mingapi hadi kusahau Tren ya Umeme SGR!!
Kila atakae iona hata Kama ni miaka 70 baadae jina la Magufuli litamjia kichwani.

3; Wananchi wa kigoma watamsahau vipi Magufuli kwa ujenzi wa mabarabara yanayounganisha mkoa wa kigoma na mikoa jirani, mkoa ambao Kama vile ulikuwa umesahaulika kabisa.

4; Tutakapoanza kutumia Umeme kutoka Bwawa la Nyerere tutamsahau vipi Magufuli watanzania.?

5; Utakapoona ndege za ATCL zikipasua anga atamsahau vipi Magufuli?

Hakika huyu ni shujaa wa taifa hili, wanasiasa watakataa kwasababu nawao pia wanahitaji kushika dola hivyo usitegemee kuwa watamuunga mkono Magufuli hata mara moja.
Lakini vitu anavyo vifanya vinajieleza.

Prof Lumumba hakuwa mnafiki aliposema " the Magufulification of Africa."

Licha ya mapungufu yake kiuongozi lakini hakika huyu ni kiongozi wa mfano wa kuingwa barani Africa.
Hasa watoto( vizazi) vya Lissu na mke wa Ben Saanane na wazazi wake,hawa kwa kweli watamkumbuka vizazi na vizazi.
 
Namba 2 na namba 5 uongo

1. Namba 2
Kikwete kafanya kazi kubwa sana mkoa wa kigoma, daraja la malagarasi, barabara toka tabora hadi urambo..

JK kesha jenga kigoma vs manyovu

Awamu ya 5 imeshindwa kuumganisha uvinza na urambo

Pia imeshindwa kunganisha kigoma, kasulu.


Wameishia kutoa tenda hadi leo hakuna barabara imejengwa huko.

Namba 5.. hizo ndege 2025 shirika litakua na madeni kufa mtu.
 
Waswahili husema, "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".
Ni ukweli ulio wazi Sasa kuwa Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania katika vizazi vingi vijanyo.
Kipindi chake cha uongozi kimekuwa na mambo mengi makubwa ambayo kiukweli yalihitaji ujasiri mkubwa kuyafanya.

Hakika Magufuli ni mtu mwenye uthubutu hata Kama akifeli baadhi ya mambo lakini watanzania wataiona nia yake njema.

Huu mkataba wa madini kusainiwa kwa mara ya kwanza Tanzania itanufaika na raslimali yake ya madini, hii inamfanya Magufuli kuingie kwenye vitabu vya kumbukumbu vya taifa hili hasa mtu atakapogusa nyanja ya madini. Huu ni ukweli ulio wazi japo Wana siasa wengi watapinga hili.
Vitosho na maneno mengi ya kukatisha tamaa mara kushitakiwa Miga n.k , laikini alisimamia msimamo wake hadi leo matokeo tumeyaona.

Itakapo tajwa kampuni mpya ya TWIGA moja kwa moja utamtaja Magufuli, ukitaja mabadiliko ya sheria za madini hapo lazima utamtaja Magufuli, chimbuko la mawazo ya kuanzishwa vitu hivi vyote ni yeye.

Hebu tuseme ukweli.
1; Wana Mwanza itawachukua miaka mingapi kumsahau Magufuli kwa uwepo la daraja la BUSISI? Waliwahi kuota kuwa wangekuwa na kitu Kama hiki?
Ujenzi wa Meli tano ziwa Victoria itawachukua miaka mingapi hadi kusahau.

2; Itatuchukua miaka mingapi hadi kusahau Tren ya Umeme SGR!!
Kila atakae iona hata Kama ni miaka 70 baadae jina la Magufuli litamjia kichwani.

3; Wananchi wa kigoma watamsahau vipi Magufuli kwa ujenzi wa mabarabara yanayounganisha mkoa wa kigoma na mikoa jirani, mkoa ambao Kama vile ulikuwa umesahaulika kabisa.

4; Tutakapoanza kutumia Umeme kutoka Bwawa la Nyerere tutamsahau vipi Magufuli watanzania.?

5; Utakapoona ndege za ATCL zikipasua anga atamsahau vipi Magufuli?

Hakika huyu ni shujaa wa taifa hili, wanasiasa watakataa kwasababu nawao pia wanahitaji kushika dola hivyo usitegemee kuwa watamuunga mkono Magufuli hata mara moja.
Lakini vitu anavyo vifanya vinajieleza.

Prof Lumumba hakuwa mnafiki aliposema " the Magufulification of Africa."

Licha ya mapungufu yake kiuongozi lakini hakika huyu ni kiongozi wa mfano wa kuingwa barani Africa.
SAFI SANA.

UMENENA KWELI.

1.Ameajiri sana kila mwaka. 🤣🤣🤣


2.Trion 1.7 kibindoni 🤣🤣🤣

3.Amepandisha mishahara 40% lila mwaka toka 2015.🤣🤣🤣


4.Ameleta Uhuru wa vyombo vya habari (Bunge) live.🤣🤣🤣


5.WAKULIMA KOROSHO ufuta bei nzuri. 🤣🤣🤣

6.Fly overs, meli madaraja MTU mwenye NJAA akiona ANASHIBA ghafla 🤣🤣.

7.Hospitali zenye wafanyakazi wengi, madawa mengi mpaka yana expire.
8.Ameweka mazingira mazuri 🤣🤣MPAKA BIASHARA ZINAKUFA 🤣🤣.

Msipompa KURA Miundombinu Itampihia Kura.....

NB.KINYWAJI (MBOPE) sio CHAKULA, MWAGA kinywaji.🤣🤣🤣🤣

Naam 2020 ni mwaka wa Kumwaga KINYWAJI (MBOPE)

😄😄😁😁🤣🤣
 
Waswahili husema, "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".
Ni ukweli ulio wazi Sasa kuwa Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania katika vizazi vingi vijanyo.
Kipindi chake cha uongozi kimekuwa na mambo mengi makubwa ambayo kiukweli yalihitaji ujasiri mkubwa kuyafanya.

Hakika Magufuli ni mtu mwenye uthubutu hata Kama akifeli baadhi ya mambo lakini watanzania wataiona nia yake njema.

Huu mkataba wa madini kusainiwa kwa mara ya kwanza Tanzania itanufaika na raslimali yake ya madini, hii inamfanya Magufuli kuingie kwenye vitabu vya kumbukumbu vya taifa hili hasa mtu atakapogusa nyanja ya madini. Huu ni ukweli ulio wazi japo Wana siasa wengi watapinga hili.
Vitosho na maneno mengi ya kukatisha tamaa mara kushitakiwa Miga n.k , laikini alisimamia msimamo wake hadi leo matokeo tumeyaona.

Itakapo tajwa kampuni mpya ya TWIGA moja kwa moja utamtaja Magufuli, ukitaja mabadiliko ya sheria za madini hapo lazima utamtaja Magufuli, chimbuko la mawazo ya kuanzishwa vitu hivi vyote ni yeye.

Hebu tuseme ukweli.
1; Wana Mwanza itawachukua miaka mingapi kumsahau Magufuli kwa uwepo la daraja la BUSISI? Waliwahi kuota kuwa wangekuwa na kitu Kama hiki?
Ujenzi wa Meli tano ziwa Victoria itawachukua miaka mingapi hadi kusahau.

2; Itatuchukua miaka mingapi hadi kusahau Tren ya Umeme SGR!!
Kila atakae iona hata Kama ni miaka 70 baadae jina la Magufuli litamjia kichwani.

3; Wananchi wa kigoma watamsahau vipi Magufuli kwa ujenzi wa mabarabara yanayounganisha mkoa wa kigoma na mikoa jirani, mkoa ambao Kama vile ulikuwa umesahaulika kabisa.

4; Tutakapoanza kutumia Umeme kutoka Bwawa la Nyerere tutamsahau vipi Magufuli watanzania.?

5; Utakapoona ndege za ATCL zikipasua anga atamsahau vipi Magufuli?

Hakika huyu ni shujaa wa taifa hili, wanasiasa watakataa kwasababu nawao pia wanahitaji kushika dola hivyo usitegemee kuwa watamuunga mkono Magufuli hata mara moja.
Lakini vitu anavyo vifanya vinajieleza.

Prof Lumumba hakuwa mnafiki aliposema " the Magufulification of Africa."

Licha ya mapungufu yake kiuongozi lakini hakika huyu ni kiongozi wa mfano wa kuingwa barani Africa.

Mkuu kuwa na akiba kidogo ya maneno.

Wakati wa Nyerere ilikua ukimaliza form four unapatiwa kazi.... Walisema hatutamsahau Nyerere.

Wakati wa Mkapa alivyojenga daraja la Mkapa ikawa hivyo hivyo....Ila walipopewa umeme wa uhakika na lami wakamsahau wanasema Jk...... Hivyo hivyo Magufuli atakumbukwa kwa Yale aliyoyafanya kwa ufanisi na baada ya muda atasahaulika maana kutakuwa na mengine makubwa zaidi aliyoyafanya
 
Mpuuzi wewe hata ashuke Mungu kukwambia kwamba huyo ni Muuaji bado utakataa tu. Sheria ya kutoshtakiwa kwa MAOVU yake aliyotenda akiwa madarakani ambapo muswaada aliupeleka yeye Bungeni, je unaweza kutwambia ni MAOVU gani aliyoyatenda akiwa madarakani hadi AOGOPE kushtakiwaÉ Mbona waliomtangulia hawakupeleka Bungeni muswaada kama huo?

Huna hoja wewe umebaki KUBWABWAJA UPUUZI TU!

Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

Kwahiyo huu ndio ushahidi wako kuwa jiwe ndio muuaji et eeh? Doh kazi ni hivi basi tuna kazi nzito Kama taifa.
 
Katika ngazi ya juu katika uongozi sijawahi kuona mtu jasiri na kujiamini kama JPM. Mungu akubariki ili ukomboe taifa kutoka mikono ya mafisadi. Kwa sasa tunaona faida yetu ya madini mf. Tanzanight
 
Mpuuzi wewe hata ashuke Mungu kukwambia kwamba huyo ni Muuaji bado utakataa tu. Sheria ya kutoshtakiwa kwa MAOVU yake aliyotenda akiwa madarakani ambapo muswaada aliupeleka yeye Bungeni, je unaweza kutwambia ni MAOVU gani aliyoyatenda akiwa madarakani hadi AOGOPE kushtakiwaÉ Mbona waliomtangulia hawakupeleka Bungeni muswaada kama huo?

Huna hoja wewe umebaki KUBWABWAJA UPUUZI TU!

Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani
Sasa hapo huoni Kama wewe ndio mpuuzi kaka, yani unaleta ushahidi eti ni shekhe Ponda ndio kasema wewe kwako huo ndio unauona ushahidi! Si vichekesho kabisa hivi.
 
Hebu toa UZWAZWA wako hapa. Nakuuliza maswali ya msingi kabisa huna majibu unaleta UTAAHIRA WAKO!!!

UTAAHIRA WAKO huko huko Lumumba siyo humu.

[UOTE="BAK, post: 36244954, member: 1397"]
Mpuuzi wewe hata ashuke Mungu kukwambia kwamba huyo ni Muuaji bado utakataa tu. Sheria ya kutoshtakiwa kwa MAOVU yake aliyotenda akiwa madarakani ambapo muswaada aliupeleka yeye Bungeni, je unaweza kutwambia ni MAOVU gani aliyoyatenda akiwa madarakani hadi AOGOPE kushtakiwaMbona waliomtangulia hawakupeleka Bungeni muswaada kama huo?

Huna hoja wewe umebaki KUBWABWAJA UPUUZI TU!

Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

[/QUOTE]


Sasa hapo huoni Kama wewe ndio mpuuzi kaka, yani unaleta ushahidi eti ni shekhe Ponda ndio kasema wewe kwako huo ndio unauona ushahidi! Si vichekesho kabisa hivi.
 
Hebu toa UZWAZWA wako hapa. Nakuuliza maswali ya msingi kabisa huna majibu unaleta UTAAHIRA WAKO!!!

UTAAHIRA WAKO huko huko Lumumba siyo humu.

[UOTE="BAK, post: 36244954, member: 1397"]
Mpuuzi wewe hata ashuke Mungu kukwambia kwamba huyo ni Muuaji bado utakataa tu. Sheria ya kutoshtakiwa kwa MAOVU yake aliyotenda akiwa madarakani ambapo muswaada aliupeleka yeye Bungeni, je unaweza kutwambia ni MAOVU gani aliyoyatenda akiwa madarakani hadi AOGOPE kushtakiwaMbona waliomtangulia hawakupeleka Bungeni muswaada kama huo?

Huna hoja wewe umebaki KUBWABWAJA UPUUZI TU!

Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani
[/QUOTE]
Sasa hasira za nini hapa? Usipanic hatugombani hapa mkuu.

Mimi nimekujibu kuhusu huo ushahidi wako ulio uleta hapa. Yani we kabisa umekaa ukaona Shekhe Ponda ndio ushahidi kuwa Jiwe muuaji!! Huoni kama ni tatizo hilo aisee, yani Shekhe Ponda kasema basi wewe kwako ni ushahidi tayari daah!

Siwezi kufanya kazi ya kujibu kila hoja unayo ikurupukia kaka, Mana tangu tumeanza umekuwa ukipuyanga na kila hoja hapa. Nikakuomba ushahidi ukaleta matamko ya Ponda na sasa unakurupukia hoja nyingine ya mabadiriko ya Sheria na nina shaka kuwa hujakielewa vizuri hicho unachotaka tukijadili umebebwa tu na upepo wa kisiasa wewe. Sasa nitafanyaje kazi ya kujibu hoja za namna hiyo Kaka.
 
Back
Top Bottom