Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,205
- 12,702
Wakati wa uongozi wake aliwahi sema kuwa watu wasimuandame kuwa anasafiri sana. Alisema kuwa huko watu wanapesa sana hivyo ni muhimu atoke akahemee.
So kama JK akiombwa ushauri wa kuongoza nchi bila shaka ushauri wa kutoka na kuomba kwa kila anayeonekana ana pesa utakuwa ni wa kwanza kabisa kutoa.
Pengine si vibaya kusafiri na kuomba pesa huku na kule hasa kwa kipindi hiki cha mdororo. Mficha maradhi. Lakini tukumbuke Nyerere alivyosema kuwa nchi maskini haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada kutoka nchi za kigeni. Mtegemea cha nduguye.
Kama nchi tukae tuumize vichwa kuondokana na aibu hii.
So kama JK akiombwa ushauri wa kuongoza nchi bila shaka ushauri wa kutoka na kuomba kwa kila anayeonekana ana pesa utakuwa ni wa kwanza kabisa kutoa.
Pengine si vibaya kusafiri na kuomba pesa huku na kule hasa kwa kipindi hiki cha mdororo. Mficha maradhi. Lakini tukumbuke Nyerere alivyosema kuwa nchi maskini haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada kutoka nchi za kigeni. Mtegemea cha nduguye.
Kama nchi tukae tuumize vichwa kuondokana na aibu hii.