kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Allan Gracia ni Rais mstaafu wa Peru, anatuhumiwa kujikwapwalia mamilioni ya Rushwa kutoka kampuni moja ya Brazil wakati akiwa Madarakani.
Natamani polisi wetu na TAKUKURU wangetelekeza kwa vitendo kauli mbiu ya SHERIA NI MSUMENO AU HAKUNA ALIYEJUU YA SHERIA.
Nani atapona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani polisi wetu na TAKUKURU wangetelekeza kwa vitendo kauli mbiu ya SHERIA NI MSUMENO AU HAKUNA ALIYEJUU YA SHERIA.
Nani atapona?
Sent using Jamii Forums mobile app