Rais mstaafu TLS - Mfumo wa Haki Jinai Tanzania uundwe upya, haki ipatikane

Wewe ulikuwa Rais wa Tls,kwani unachokieleza hukukiona wakati ukiwa Rais?
T L S ni chama cha wanasheria hakina mamlaka yoyote serikalini, hicho alichokisema ni maoni yake binafsi sawa na ambavyo wewe ungesema, members wa JF tujifunze kufuatilia mambo muhimu tusikalie kubishana tu.
 
Back
Top Bottom