Rais Mstaafu Mkapa: Rwanda ndiyo nchi pekee barani Afrika kwa sasa yenye Sera nzuri ya Elimu na Afya

Sishangai Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kusema hivi kwa nilijua tu kuwa ni lazima kwa ‘ Genius ‘ kama Yeye basi asingeweza kuacha Kuona na Kusifia mambo mazuri na makubwa hasa ya Kimaendeleo ambayo yanafanywa na Mdogo wake ‘ Kimalezi ‘ alipokuwa Tanzania Rais wa Rwanda Shujaa, Mwamba na Jemedari Mheshimiwa Paul Kagame.

Na pia sishangai tena leo hii Kumuona ‘ Genius ‘ mwingine nchini Tanzania Rais Kipenzi change Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli nae akiendeleza Mahusiano mema na nchi ya Rwanda hasa kupitia Rais wake Kagame kwani ni ukweli usiopingika kabisa kwamba ukitaka Kufanikiwa haraka kama si upesi Kimaendeleo, Kijeshi, Kimbinu, Kiakili na Kimkakati basi kuwa karibu sana na Wanyarwanda hasa wa Kabila zuri, bora na lililobarikiwa kabisa la Tutsi.

Vile vile nampongeza mno na sana Rais wa Kwanza wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Yeye kuweza kuwaelewa vyema Wanyarawanda ( hasa Watutsi ) Kuwalea vyema na Kuwajenga zaidi Kisiasa na Kiharakati kiasi cha Kuwafanya Wanyarwanda wote tujione ni sehemu ya Tanzania na tumeifanyia mengi sana Tanzania japo leo hii kuna ‘ Wapuuzi ‘ wachache ama hawalijui au hawalioni hili.

Na ndiyo maana Siku zote Mimi GENTAMYCINE huwa nasema kuwa hakuna Marais ninaowapenda Tanzania kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Rais Mstaafu Mkapa na Rais wa sasa Mheshimiwa Dkt. Magufuli na kwa mbali sana Mzee Mwinyi ila kuna mwingine alitaka ‘ Kuharibu ‘ kabisa huu Uhusiano mwema wa Rwanda na Tanzania.

Nilifurahi sana nilipomuona Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mzee Benjamin Mkapa alipokuwa ‘ akiwasilisha ‘ mawazo yake kama ‘ Genius ‘ kutoka Mtwara nchini Tanzania katika Kongamano ‘ Maalum ‘ la Kuijadili Afrika na Maendeleo yake lililofanyika Jijini Kigali nchini Rwanda ambapo Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Thabo Mbeki alipomaliza tu Kuzungumza akampa Kipaza Sauti Mzee Mkapa ambaye sit u kwamba aliimwagia Sifa nchi ya Rwanda bali aliimiminia ‘ Kongole ‘ kabisa kuwa ndiyo pekee barani Afrika yenye Sera nzuri ya Elimu na Afya huku Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paula Kagame akifurahi na Mzee Mkapa akipigiwa Makofi na Wageni wengi waalikwa waliokuwepo pale Ukumbini ambao nao pia walikiri kuwa Rwanda inaziacha nchi nyingi kwa Maendeleo na karibia Wageni wengi wakiupongeza Utawala na Uongozi wa Rais Kagame.

Akhsante sana Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mzee Benjamin William Mkapa kwa Kusema ukweli wako huu juu ya Taifa bora na ‘ lililobarikiwa ‘ kabisa la Rwanda. Pia nakuomba mno Rais wa sasa wa Tanzania Kipenzi changu Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwa endelea Kushirikiana na Rwanda, usiwasikilize ‘ Wapuuzi ‘ na wenye ‘ Chuki ‘ za ‘ Kipumbavu ‘ dhdi ya Rwanda na Rais wake kwani hata Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere nae pia alikuwa akiwapenda na kushirikiana nao Wanyarwanda hasa katika mambo mazuri, ya Kimaendeleo na yenye Kutumia mno Akili / Fikra nyingi na alisema Taifa hili la Rwanda lipewe Heshima yake kwani ndiyo linaenda kuwa ‘ Israeli ‘ ya Afrika na kweli ‘ Utabiri ‘ wake huo sasa umetimia.

Nawasilisha.
Hongera sana kwa kuonyesha hisia zako toka ndani ya moyo wako.

Hata hivyo kwa heshima yako ya kuwa humu na kwa vile umejipa jukumu la kutaka kutushirikisha, ulitakiwa angalau utueleze:

a). Alisema kwanini mfumo wao wa Elimu ni bora Afrika? Wana nini cha ziada kwa majibu wa Benjamin Mkapa.

b). Mfumo wa huduma zao za afya kwanini ni bora kuliko nchi nyingine yoyote Afrika? Wana nini cha ziada kwa mujibu wa Benjamin Mkapa
 
Nipo hapa Tanzania ili kuwaambukizeni Akili zangu / zetu Kubwa Wanyarawanda hasa za Kitutsi ili nanyi msiendelee Kuchelewa Kusuasua hivi Kimaendeleo wakati mna nchi Kubwa na mlitutangulia kupata Uhuru enzi hizo.
Inyenzi
 
Rais Nyerere, Rais Mkapa na Rais Magufuli ni marafiki wa kweli wa Rwanda. Anachoongea Rais Mkapa ni sahihi kabisa. Rwanda chini ya utawala wa PK imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo. Huu ndio undugu wa afrika ya mashariki. Sio upuuzi wa genocidaire kuwaunga mkono wahalifu na wauaji wa FDLR, RNC, FNL wanaotaka kuiangusha serikali halali na tiifu kwa Rais Kagame. Hongera Baba Mkapa kwa kuuweka ukweli hadharani.
Kwani Kagame ajaua?
 
Sisi huku kwetu wanyarwanda kazi zao ni kutuchungia n'gombe na kulima magugu kwenye mashamba yetu ya migomba..
Tunawaita hivi..EBINYUKUZI,ABASHUTI,ABAPAKASI
 
Usipojibizana nami hapa JamiiFforums na Kuitaja ID yangu kila mara najua hutoweza Kujulikana upesi hivyo sishangai pamoja na kwamba kila Siku unanidhihaki na kusema vibaya lakini ni Wewe huyu huyu huwezi Kuingia hapa Jamvini ( JamiiForums ) ama usichungulie nimeanzisha Uzi gani au nimejibu nini na wapi. Ningekuona una Akili na Mwerevu kama baada ya Kuonyesha Chuki zako nami basi ama ungenibloku ( Ignore ) au hata Kuachana tu nami lakini bado ' Nyota ' yangu Kali inakuvuta tu Kwangu hadi Kukufanya uzidi Kunipenda na Kunikubali.

Na ndiyo maana ' Signature ' yangu ina majibu yako / yenu ' Wapumbavu ' ambayo inasema GENTAMYCINE " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ". Kama una tatizo la Lugha ya Malkia ( Kiingereza ) mtafute ' Wordsmith ' yoyote hapo Jirani nawe ili akutafsirie kwa Kiswahili uweze Kuelewa maana halisi ya hayo maneno.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
MIMI HUWA SIJI KUKUCHUNGULIA WEWE HAPA.

HUWA NAKUJA KUANGALIA BROAD MINDED PEOPLE WAMEPOST NINI.

NINAPOINGIA NAKUTA UMEPOST UHARO,AMBAO DAIMA ILI KUJIPA CREDIBILITY LAZIMA UITAJE TZ NA VIONGOZI WAKE.

MIMI KAMA MTZ NILIOIVA KWA ELIMU YA URAIA KAMWE SIWEZI KUKUBALI POST ZENYE PROPAGANDA ZA KUINASABISHA TZ ILI KUJIONGEZEA CREDIBILITY.

SIJAWAHI KUKUDHIHAKI HATA SIKU MOJA ILA NATUMIA LUGHA KAMA YAKO KUKUJIBU." We can not teach our childrens how to use baseball bate while our enemies teaches their childrens how to use guns"

SIWEZI TUMIA LUGHA LAINI WAKATI WEWE UNAPOROMOSHA LUGHA HIYOHIYO UNAYONILALAMIKIA.

Hope MKIMBIZI utakuwa umenielewa
 
Huyu s
Hao ndio Watz,yaani raisi mtaafu anatoa maoni kama hayo huku akijua wao ma ccm ndio walioharibu mitaala ya elimu na kuifanya elimu ya Tanzania kuwa ya kichekesho kati ya mataifa yanayotuzunguka kisha na yeye anashanga hili tktka ndio liliondoa michezo likamteua kapuya mkenya kuwa waziri hta yy akuwa mtz NI mmakonde wa msumbiji simbilisi yule
 
S

Sio povu kaka ila inasikitisha kuona upotoshaji wa namna hii. Hauna tofauti na Kangura ya Hassan Ngeze. Walianza hivi hivi matokeo yake Tutsi zaidi ya milioni moja wakachinjwa kama kuku. Sio mambo ya kuyachekea haya.
mimi sikusema eti "PAKA" kawa wa kwanza kuleta WANYARWANDA UDSM ,la hasha !

habari kuwa walikula SUP semester tu ya kwanza MUZIKI WA BONGO UDSM
 
MWANAUME WA SHOKA HUYU THE FUTURE PRESIDENT OF RWANDA.

HIS EXCELLENCE GENERAL FAUSTINE KAYUMBA NYAMWASA
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    17.3 KB · Views: 13
Kwa mara nyingine tena napenda kunukuu maelezo yako GENTAMYCINE "Sishangai Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kusema hivi kwa nilijua tu kuwa ni lazima kwa ‘ Genius ‘ .......asingeweza kuacha Kuona na Kusifia mambo mazuri na makubwa hasa ya Kimaendeleo ambayo yanafanywa na Mdogo wake ‘ Kimalezi ‘ alipokuwa Tanzania Rais wa Rwanda ....... Paul Kagame."

"Na ndiyo maana Siku zote Mimi GENTAMYCINE huwa nasema kuwa hakuna Marais ninaowapenda Tanzania kama ............. Rais Mstaafu Mkapa ......."

Nikukumbushe wakati Mkapa akiwa madarakani uhusiano wake na Kagame haukuwa kama unavyouelezea. Rejea mahojiano BBC-kipindi "Hard talk" ya Mkapa akihojiwa juu ya mahusiano yake na Rwanda. Povu lilimtoka Mkapa kwani alilaumiwa na Kagame kwa kuwasaidia waasi wa Rwanda kwa nia ya kumtoa Kagame madarakani.

Rudisha kumbukumbu yako vizuri kwani mwanadamu ni mwepesi kusahau.
 
Mkuu Subiri jibu
Nashukuru kwa Maelezo mazuri...
Kwa Faida ya wengine pia na Kupqnua wigo
Hivi Sisi Watanzania ni Wavivu?
Tunapima Vigezo gani kujua sisi ni Wavivu...nataka kujua kama namimi nimo ili Tuanze kujiondoa kwenye Uvivu,Uvivu ni Kitu Kibaya Mkuu..
Nasikia wanasema hata Wakenya wanatuzidi
Yaani ni wachapa kazi!
Je wanaangalia matokeo?
Au namma tuu ya kufanya kazi haraka haraka?
Au Seriousness?
Au matokeo ya kile kinachofanywa?
Au Muda wa Kumaliza task Fulani?
Cc
Pascal Mayalla
Nimeishi na wanyarwanda ni watu safi wachapakazi. Wanapenda mchapakazi. Hawajifichi kupenda maisha mazuri.

Ole wako uwe mzembe, lazima uwachukie.

Keep it up wanyarwanda.
 
Back
Top Bottom