Hahahahaha..Kwani Zimbabwe si wanaelewa lugha ya kiswahili au na wenyewe ni kidhungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe na heshima japo kidogo !Hahahahaha..
Kuna siku nakumbuka jamaa aliangaika kutamka neno "ENTREPRENEUR" kidogo adondoke.
Mmekalili, hivi Kwa akiri ya kawaida mkuu anaweza asijue kweli kimombo au ni utanitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha..
Kuna siku nakumbuka jamaa aliangaika kutamka neno "ENTREPRENEUR" kidogo adondoke.
Akifanya safari hata mbili tatu mtaanza kusema mzururaji anafuja fedha za wananchi ! Binadamu siku zote haturidhiki, ikija mvua twalalamika, likija jua twa lalama ilimradi tu...Tumpe nafasi mheshimiwa rais, kuna mengi sana ya kunyoosha ndani ya nchi. Tutaja elewa baadae.Cheyo ndani. Safi sana huyo mzee ni mkomavu wa siasa. Sio hao wengine kelele na tamaa ya madaraka wakati hawayawezi. Lini Magufuli atatoka nje ya nchi jamani? What a president!!!
Ha ha ha, aisee!Hahahahaha..
Kuna siku nakumbuka jamaa aliangaika kutamka neno "ENTREPRENEUR" kidogo adondoke.
Mheshimiwa rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alienda sana nje wakati wa utawala wake, watu walisemaje ? MTALII...Huyu haendi nje sijajua kapewa jina gani...Jiwe lugha issue. Wenye akili wote wanajua. Si Kiingereza tu hata Kiswahili. Ana 'firsts' nyingi. Moja ni rais wa kwanza tz asiyeenda ulaya na Marekani. This is not necessarily a good sign.🤔 🤗
atapewa tu subiri au muulize Mh. halima anamwitajeMheshimiwa rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alienda sana nje wakati wa utawala wake, watu walisemaje ? MTALII...Huyu haendi nje sijajua kapewa jina gani...
Kishona ni kama Kiswahili kabisa ila wao nywele wanaita vuziKwani Zimbabwe si wanaelewa lugha ya kiswahili au na wenyewe ni kidhungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu neno heshima halipo kwao kabisa!Tuwe na heshima japo kidogo !