KALIMIMBILI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 205
- 362
Wasukuma bwana kazi yao kujimwambafai,anaona kama Kikwete hakufanya kazi yoyote kwa vile siyo Msukuma,sasa ukabila basi anayetaka kuendekeza ukabila amfuate hayati kaburini.Mbona Kikwete hajafanya kosa lolote ndugu yangu? Kaeleza alivyomlea Hayati mpaka akawa Rais. Hukutaka tufahamu? Kama Kikwete kasema wongo kuna watu lukuki watakaomkosoa ambao wako hai ndani ya CCM. Hajamsema Hayati vibaya kiasi cha wewe kusema angemsema akiwa hai ili ajitetee. Are you sure huna lako rohoni?