Rais mstaafu Kikwete aliweza kukuza Gross National Income kutoka USD 500 mwaka 2005 hadi USD 940 mwaka 2015, ni kutokana na kuvutia uwekezaji imara!

Huwezi jshindanisha na mie kwenye kitu kibachoitwa tafiti.
Nimekwambia soma posts no 89.

Almost makampuni yote yaliyofunga biashara kipindi cha awamu hii ya tano sababu ni kubambikiwa makodi na TRA na hata Rhino Cement walikuwa na issues za kodi na TRA na pili ni mazingira magumu ya uwekezaji kutokana na instability kwenye sera zenu za uwekezaji

Mkuu ulitaka makampuni yafanye kazi bila kulipa kodi? Hakuna nchi yoyote duniani inayopiga maendeleo au iliyoendelea ambayo makampuni hayalipi kodi.

Wakati wa JK makampuni mengi yalikuwa hayalipi kodi kwa sababu ya vi-memo. JPM hakuna mtindo huo ni kulipa kodi stahiki. Kama mnaona shida kwa nini sheria ya kodi isibadilishwe? Wacheni kulialia kila mtu/makampuni nk ni lazima kodi ilipwe, tuache mambo ya kiholela na uswahili swahili aliokuwa nao JK.
 
Nafikiri kama hatuelewi economy tusiwe tunajadili hili la nchi kuwa katika uchumi wa kati kwani arguments nyingine zinachekesha kidogo. Kama vile kudifia mtu mmoja kuifikisha nchi hapo ilipo. Nadhani Rais Kikwete alifafanua vizuri katika hotuba yake kwenye msiba wa marehemu Mkapa (RIP) kwamba msingi mkubwa ulijengwa na nani.

Kama ni msingi hakujenga JK wala BWM. Aliyejenga msingi wa Tanzania JKN. To be honest with you JK was a bogus president.
 
Mkuu ulitaka makampuni yafanye kazi bila kulipa kodi? Hakuna nchi yoyote duniani inayopiga maendeleo au iliyoendelea ambayo makampuni hayalipi kodi.

Wakati wa JK makampuni mengi yalikuwa hayalipi kodi kwa sababu ya vi-memo. JPM hakuna mtindo huo ni kulipa kodi stahiki. Kama mnaona shida kwa nini sheria ya kodi isibadilishwe? Wacheni kulialia kila mtu/makampuni nk ni lazima kodi ilipwe, tuache mambo ya kiholela na uswahili swahili aliokuwa nao JK.
Jaribu kutofautisha kati ya kulipa kodi na kubambikiwa kodi iliyo kinyume na kiwango stahiki unachotakiwa kulipa. Inachofanya serikali ya awamu ya tano ni kuwabambika kodi kubwa wafanybiashara na Ndo mana kama umechunguza vizuri awamu hii kuna wachuuzi wengi kuliko walipa kodi.
Kubalini kuwa mmeua uwekezaji na biashara maana kwenye hili hata mtoto mdogo anaona. Kariakoo ya leo sio kariakoo ya Mwaka 2013/2014. Dar es Salaam ya leo kibiashara si sawa na Dar es Salaam ya 2014/15. Nenda shopping malls za mkuki, Quality Centre hata Posta mpya uone maduka yalivyofungwa na biashara zilivyofungwa.
 
Kama ni msingi hakujenga JK wala BWM. Aliyejenga msingi wa Tanzania JKN. To be honest with you JK was a bogus president.
Unamsema Nyerere aliyekimbia ikulu baada ya watu kuanza kupanga foleni kwenye maduka kununua unga??
Unamsema nyerere ambae aliamua kukimbia ikulu baada ya watumishi kuanza kulipwa mshahara wa mwezi wa kwanza mwezi wa tano????

Unamsema Nyerere aliyeifikisha nchi kwenye hatua kuwa na sukari ilikuwa kama kuwa na dhahabu?????

Waliyojenga hii nchi kiuchumi ni watu wawili tu. Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Jaribu kutofautisha kati ya kulipa kodi na kubambikiwa kodi iliyo kinyume na kiwango stahiki unachotakiwa kulipa. Inachofanya serikali ya awamu ya tano ni kuwabambika kodi kubwa wafanybiashara na Ndo mana kama umechunguza vizuri awamu hii kuna wachuuzi wengi kuliko walipa kodi.
Kubalini kuwa mmeua uwekezaji na biashara maana kwenye hili hata mtoto mdogo anaona. Kariakoo ya leo sio kariakoo ya Mwaka 2013/2014. Dar es Salaam ya leo kibiashara si sawa na Dar es Salaam ya 2014/15. Nenda shopping malls za mkuki, Quality Centre hata Posta mpya uone maduka yalivyofungwa na biashara zilivyofungwa.

Sasa unaniambia kwamba hizo electronic machines hazifanyi kazi? Kama kila kitu kipo wazi unakubalije kubambikiwa? Leta ushahidi mkuu.
 
Unamsema Nyerere aliyekimbia ikulu baada ya watu kuanza kupanga foleni kwenye maduka kununua unga??
Unamsema nyerere ambae aliamua kukimbia ikulu baada ya watumishi kuanza kulipwa mshahara wa mwezi wa kwanza mwezi wa tano????

Unamsema Nyerere aliyeifikisha nchi kwenye hatua kuwa na sukari ilikuwa kama kuwa na dhahabu?????

Waliyojenga hii nchi kiuchumi ni watu wawili tu. Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete.
Majungu hayo! Mkapa aliuza kila shirika na Kariakoo ilijaa magenerator kila duka wacha udaku
 
Sasa unaniambia kwamba hizo electronic machines hazifanyi kazi? Kama kila kitu kipo wazi unakubalije kubambikiwa? Leta ushahidi mkuu.
Wewe trilion 490 ya Acacia unaiongeleaje??? Ilikuwa kodi stahiki ya kulipwa na Acacia???

Kwa nini walikubali kulipwa bilioni 700 tena waliyokuja kuipa Jina kama kishika uchumba badala ya trilioni 490 ya awali ya kodi???
 
Majungu hayo! Mkapa aliuza kila shirika na Kariakoo ilijaa magenerator kila duka wacha udaku
Lakini Mkapa huyohuyo ndo Raisi wa kwanza kuanza kulipa wafanyakazi wa Umma mishahara kila mwezi.
Huyo huyo Mkapa ndo raisi aliyeanza kuijaza hifadhi ya fedha za kigeni bank kuu

Huyo huyo Mkapa ndo aliyesababisha nchi ianze upya kuzalisha
Au Wewe ni mtoto ndugu??? Naweza kuwa natumia nguvu kumuelezea mtoto aliyezaliwa mwaka 2000 hapa.
 
Wewe trilion 490 ya Acacia unaiongeleaje??? Ilikuwa kodi stahiki ya kulipwa na Acacia???

Kwa nini walikubali kulipwa bilioni 700 tena waliyokuja kuipa Jina kama kishika uchumba badala ya trilioni 490 ya awali ya kodi???
Acacia mkataba ulikuwa bomu kuna mkataba bora hivi sasa wewe kwa sababu ulikuwa unafaidika na pesa za wapigaji ndio sababu unalialia kama nyau.
 
Lakini Mkapa huyohuyo ndo Raisi wa kwanza kuanza kulipa wafanyakazi wa Umma mishahara kila mwezi.
Huyo huyo Mkapa ndo raisi aliyeanza kuijaza hifadhi ya fedha za kigeni bank kuu

Huyo huyo Mkapa ndo aliyesababisha nchi ianze upya kuzalisha
Au Wewe ni mtoto ndugu??? Naweza kuwa natumia nguvu kumuelezea mtoto aliyezaliwa mwaka 2000 hapa.
Wacha kuwa mjinga wewe, huna ulijualo zaidi ya majungu.
 
Acacia mkataba ulikuwa bomu kuna mkataba bora hivi sasa wewe kwa sababu ulikuwa unafaidika na pesa za wapigaji ndio sababu unalialia kama nyau.
Kumbe umekalia mipasho badala ya kujenga hoja?? Usiku mwema ndugu!!
 
Kumbe umekalia mipasho badala ya kujenga hoja?? Usiku mwema ndugu!!
Wewe wa kujiunga JF 2015 baada ya kitumbua ku-katika ndio uje na kulaumu wengine. We know what is happening and we will not allow idiots to rule this country again.
 
Labda kama na Wewe ni mpolipoli wa kundi la wapwa tuinuane ambao mnafungua account humu kwa mikakati maalum ili kumtetea huyo magufuli wenu.

Nakutajia hapa list fupi tu ya makampuni na wawekezaji waliopotea/ kukimbia kipindi cha Magu

1. Rhino Cement
2. Steers Restaurants
3. Smoothy Restaurants
4. Quality Group- Humu kuna makampuni zaidi ya 10 yaliyokuwa yanajihusisha na uuzaji wa mbolea, ununuzi wa korosho na mbaazi pamoja na ujenzi
5. Slchumberger- hawa walikuwa wanajihusisha na uchimbaji wa gesi LINDI na mtwara
6. Shoprite Supermarkets
7. Nakumatt Supermarkets
8. Choppies Supermarkets
9. Smile communications
10. Shivacom
11. Petra diamonds
12. Fastjet- hawa walifirisika kutokana na fitna za serikali
13. Barclays Bank
14. Bank ya Wakulima
15. Bank M
16. Mbinga Bank
17. Ephata Bank
18. Naura spring Hotel
19. Ngurdoto Hotel
20. Maisha club
21. Billcanas
22. Mkono Advocates
23. Escape One

Hapa nimelist makampuni machache tu tena maarufu.

Kuna makampuni mengine kama 50 ambayo nayafahamu yalikuwa kwenye sekta ya hotel, uuzaji wa vifaa vya ujenzi, consultancy na uzalishaji.


Kiufipi ni kuwa Magufuli kaua uchumi. Pambo zote zinazofanywa ni propaganda tu
Hujui hata nchi inavyokwenda endelea kuimba mapambio ya hapo ufipa.
 
Wewe wa kujiunga JF 2015 baada ya kitumbua ku-katika ndio uje na kulaumu wengine. We know what is happening and we will not allow idiots to rule this country again.
Mie nimejiunga JF kipindi cha Mkwele. Nchi ikiwa pazuri kiuchumi na uwekezaji ukiwa unakuwa imara na wa hakika. Mwaka 2015 nilishiriki humu kumjengea hoja Magu hadi akashinda na akawa raisi nifuatilie humu uone michango yangu.

Ukiona watu wenye akili wanashtuka na kuanza kuunga mkono Sera mbadala ndugu shtuka.Nimejiridhisha vya kutosha kuwa Magu hatoshi na kwa Sera zake tusahau kupata maendeleo ya kweli ya watu na vitu.
 
Mie nimejiunga JF kipindi cha Mkwele. Nchi ikiwa pazuri kiuchumi na uwekezaji ukiwa unakuwa imara na wa hakika. Mwaka 2015 nilishiriki humu kumjengea hoja Magu hadi akashinda na akawa raisi nifuatilie humu uone michango yangu.

Ukiona watu wenye akili wanashtuka na kuanza kuunga mkono Sera mbadala ndugu shtuka.Nimejiridhisha vya kutosha kuwa Magu hatoshi na kwa Sera zake tusahau kupata maendeleo ya kweli ya watu na vitu.

Nyege zinakusumbua sasa? I ignore you officially kwa sababu huna hoja bali mipasho.
 
Suala la maji na umeme nakukatalia, nakaa Mwanza city sio kijijini, hapa nnapoishi hakuna maji wala umeme muda huu.
Samahani. Nilikuwa siko mtandaoni kwa mudando naingia tu.. Swali? Kwani mtakosaje maji na Ziwa lijko hapo hapo? Pengine ni matatizo ya kawaidaama vipi?
 
Back
Top Bottom