Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,217
Mimi binafsi Kuna mengi ambayo nimefurahi hasa kwenye ziara ya Mama huko Kenya, ikiwemo kuwauzia gesi maana tutapata faida kubwa.
Kikwete anahesabika moja ya maraisi wapole,wenye busara na diplomasia ya Hali ya juu. Lakini pamoja na yote hayo Mh. Kikwete aliwahi kupata shuruba ya Hawa majirani hasa Kenya tu kwa sababu ya kuwakatalia baadhi ya mambo yao waliokuwa wakihitaji.
Kikwete kwa haiba aliyonayo na alivyokuwa akisemwa kuwa anachekacheka basi isingekuwa ngumu kwake kukataa hayo mambo, Ila hadi anadiriki kukataa tafsiri yake Kuna vitu alivyiona.
Mama Samia Mimi ni mfuasi wako, hivyo pamoja na Huo ujirani mwema Kuna vitu inabidi kuvikataa katakata, Wala ukwepeshe.
Kwenye kikao wanakubaliana wakatae kusani ila nyuma ya pazia Kenya anaenda kusaini, mfano ni: EPA
Ilifikia kipindi wakawa wanafanya meetings za EAC bila hata kumjulisha Mh. Kikwete.
Hivyo Mama nakuomba usifurahie Sana maneno yao matamu bali Pima maslahi ya watanzania.
Chini ni habari ya kipindi hicho 2013 Kikwete akilalamikia Hawa majirani zetu.
Zaidi soma > Hotuba ya Rais Kikwete, Bungeni Dodoma - Novemba 07, 2013
Kikwete anahesabika moja ya maraisi wapole,wenye busara na diplomasia ya Hali ya juu. Lakini pamoja na yote hayo Mh. Kikwete aliwahi kupata shuruba ya Hawa majirani hasa Kenya tu kwa sababu ya kuwakatalia baadhi ya mambo yao waliokuwa wakihitaji.
Kikwete kwa haiba aliyonayo na alivyokuwa akisemwa kuwa anachekacheka basi isingekuwa ngumu kwake kukataa hayo mambo, Ila hadi anadiriki kukataa tafsiri yake Kuna vitu alivyiona.
Mama Samia Mimi ni mfuasi wako, hivyo pamoja na Huo ujirani mwema Kuna vitu inabidi kuvikataa katakata, Wala ukwepeshe.
Kwenye kikao wanakubaliana wakatae kusani ila nyuma ya pazia Kenya anaenda kusaini, mfano ni: EPA
Ilifikia kipindi wakawa wanafanya meetings za EAC bila hata kumjulisha Mh. Kikwete.
Hivyo Mama nakuomba usifurahie Sana maneno yao matamu bali Pima maslahi ya watanzania.
Chini ni habari ya kipindi hicho 2013 Kikwete akilalamikia Hawa majirani zetu.
Zaidi soma > Hotuba ya Rais Kikwete, Bungeni Dodoma - Novemba 07, 2013