VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.Hivi rwekaza hajatumbuliwa tu??
Hahahaha. Dr. Bana na yuke Fransis Michel...Hongera zake Profesa, bana atakufa njaa jamani wampe hata udiwani, mbona kule dodoma kuna Profesa kapewa udiwani wa kuteuliwa
Du bana Nana anatia hurumaHongera zake Profesa, bana atakufa njaa jamani wampe hata udiwani, mbona kule dodoma kuna Profesa kapewa udiwani wa kuteuliwa
Hujui lolote kuhusu mchakato wa kumpata VC wa Chuo kikuu cha umma... kasome university charter pamoja na Universities Act No. 7 ya 2005. Kwa taarifa Mukandala muda wake umeisha Tarehe 04.12.2017.VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
kwan mfinanga ana kosa ganHongera sana Profesa Anangisye. Mtoe huyo Mfinanga atakuharibia kasi yako
ndio alikuwa anategemea kukwaa u vc?Duh Mfinanga kaikosa hiyo nafasi.. Yule Prof Mfinanga si mtu wa mchezo mchezo.
Tatizo la Dr. Bana analingana kitabia na Pascal Mayalla, wote ni vigeugeuDu bana Nana anatia huruma
Kaitetea sana CCm