Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.

d4ace0cbe53f12991e5e36b71e6329ed.jpg

7ef9773ed0e835c4288ee60495a099e7.jpg
 
Hivi rwekaza hajatumbuliwa tu??
VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
 
VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
Hujui lolote kuhusu mchakato wa kumpata VC wa Chuo kikuu cha umma... kasome university charter pamoja na Universities Act No. 7 ya 2005. Kwa taarifa Mukandala muda wake umeisha Tarehe 04.12.2017.
 
Back
Top Bottom