Rwabugonzi
Member
- Sep 27, 2020
- 70
- 125
Astaghfirullah! Waswahili wana msemo wao kuwa mnyonge mnyongeni, na haki yake mpeni. Hii siyo kauli njema ya kumtuhumu mzee wetu huyu.Viongozi wa South Sudan na maafisa wao wa jeshi ni wezi wazuri sana wa mabilioni ya umma,mkwerere ni mzoefu wa upigaji na ni balozi mzuri wa kuwashawishi wafiche Tanzania badala ya kenya na Uganda apige 10% yake.