Rais mstaafu Jakaya Kikwete alikuwa na utu na huruma, aliposikia mauaji ya wafanyabiashiara wa madini aliunda tume. Vipi kuhusu kiongozi wetu wa sasa?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,568
Kila mtu anajua kilichowakuta waliokuwa wachimbaji wa madini huko Morogoro. Mauti iliwakuta pasipokuwa na hatia.

Sauti zikapazwa kupinga uonevu uliofanyika. Polisi wakasema walikuwa ni majambazi. Jakaya Kikwete akaunda tume. Ukweli ukajulikana na kesi ikaunguruma.

Je, kiongozi wetu wa sasa anaweza kusikia kilio kama alivyofanya Jakaya mpaka haki ikapatikana?
 
Kila mtu anajua kilichowakuta waliokuwa wachimbaji wa madini huko Morogoro. Mauti iliwakuta pasipokuwa na hatia.

Sauti zikapazwa kupinga uonevu uliofanyika. Polisi wakasema walikuwa ni majambazi. Jakaya Kikwete akaunda tume. Ukweli ukajulina na kesi ikaunguruma.

Je kiongozi wetu wa sasa anaweza kusikia kilio kama alivyofanya Jakaya mpaka haki ikapatikana?
Usisahau JK alikuwa ni Kiongozi! Na huyu wa sasa ni Mtawala! Hivyo usitegemee kumuona akifanya mambo mazuri kama yale aliyofanya Mtangulizi wake.
 
"Hizi tume ndio zirimariza hela kwa miaka mingi, kwa sasa hakuna kuunda tume yeyote, nataka watanzania wenzangu munierewe, hatuna muda wa kupoteza, ariyekufa kafa tu, na sisi sote tutakufa, ra muhimu ni kuchapa kazi, tupo katika vita kubwa sana na mabeberu! Nasema uongo ndugu zangu?"
sasahivi hakuna tume pesa iko wap?
 
Mnyika: Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete.

Lazima akili ziwakae sawa tu hata kama ni kwa lazima.
Sasa mimi ni mtumishi tu wa umma tangu enzi za JK! Huoni hiki ulicho kiandika hapo hakinihusu? 😇

Mimi sikuwahi kumuona JK kama dhaifu kwa sababu alipandisha daraja langu kwa wakati, aliniongezea mshahara mara kadhaa! Siyo huyo mungu mtu wenu asiye na faida yoyote ile kwa wafanyakazi.
 
Sasa mimi ni mtumishi tu wa umma tangu enzi za JK! Huoni hiki ulicho kiandika hapo hakinihusu?

Mimi sikuwahi kumuona JK kama dhaifu kwa sababu alipandisha daraja langu kwa wakati, aliniongezea mshahara mara kadhaa! Siyo huyo mungu mtu wenu asiye na faida yoyote ile kwa wafanyakazi.
Jk hakuwa na faida kwa mnyika ila alikuwa na faida kwako! Huyo mungumtu hana faida kwako ila ana faida kwa wengine?
Unaona sasa mzunguko wa maisha ulivyo?
 
Mnyika: Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete.

Lazima akili ziwakae sawa tu hata kama ni kwa lazima.
Sasa hivi pale The Hague mama Fatou Bensuda amestaafu sasa yupo kijana mdogo Karim.
 
Kila mtu anajua kilichowakuta waliokuwa wachimbaji wa madini huko Morogoro. Mauti iliwakuta pasipokuwa na hatia.

Sauti zikapazwa kupinga uonevu uliofanyika. Polisi wakasema walikuwa ni majambazi. Jakaya Kikwete akaunda tume. Ukweli ukajulina na kesi ikaunguruma.

Je kiongozi wetu wa sasa anaweza kusikia kilio kama alivyofanya Jakaya mpaka haki ikapatikana?

Kikwete aliunda tume ya uchaguzi wa yale mauaji maana hakuwa muhusika wa mauaji yale, lakini kama yeye ndio angekuwa muhusika asingeunda hiyo tume.
 
Kila mtu anajua kilichowakuta waliokuwa wachimbaji wa madini huko Morogoro. Mauti iliwakuta pasipokuwa na hatia.

Sauti zikapazwa kupinga uonevu uliofanyika. Polisi wakasema walikuwa ni majambazi. Jakaya Kikwete akaunda tume. Ukweli ukajulina na kesi ikaunguruma.

Je kiongozi wetu wa sasa anaweza kusikia kilio kama alivyofanya Jakaya mpaka haki ikapatikana?
Huwa nawashangaa sana na mno wale mnaomsifia Rais Mstaafu Kikwete huku mkimpamba kwa Mazuri wakati tunayemjua vyema tunajua hakuwa hivi ambavyo mnamsifu na Kumpenda. Ngoja ninyamaze tu.
 
Huwa nawashangaa sana na mno wale mnaomsifia Rais Mstaafu Kikwete huku mkimpamba kwa Mazuri wakati tunayemjua vyema tunajua hakuwa hivi ambavyo mnamsifu na Kumpenda. Ngoja ninyamaze tu.
Tunajua hakuwa mzuri kwa asilimia lakini hapa tunazungumzia huruma na kupenda haki.
 
"Hizi tume ndio zirimariza hela kwa miaka mingi, kwa sasa hakuna kuunda tume yeyote, nataka watanzania wenzangu munierewe, hatuna muda wa kupoteza, ariyekufa kafa tu, na sisi sote tutakufa, ra muhimu ni kuchapa kazi, tupo katika vita kubwa sana na mabeberu! Nasema uongo ndugu zangu?"
mecheeeekaa
 
Back
Top Bottom