Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kwani huyu wa sasa ndio hafugi majizi,wala rushwa na mafisadi?Alifuga mafisadi na majizi serikalini ila life halikuwa hivi.
Kwa mfano,hii kashifa alioibua Zitto ya Mchuchuma na Liganga nani anatajwa?
Ile ya pass za kielekroniki iliyokuwa ikiandikwa na gazeti la Jamuhuri ilihusu ofisi ya nani?
Anaehuaika na ununuzi wa wanasiasa ni nani?
Nani anawapandisha cheo wanaonunua wanasiasa?
Huu ni ukoo wa panya asikudanganye mtu!