Rais Mstaafu Jakaya Kikwete agomea eneo la ekari 50, ataka ekari 500

Siyajui maeneo ya Kampasi, lkn kwa vyovyote vile eneo kubwa ni muhimu sana kwa higher learning Institutions zenye hadhi kama UDSM. Let us make a comparison with some USA universities.

1. Berry College​

With 27,000 acres (110 km2),

2. United States Air Force Academy​

This College has approximately 18,455 acres which makes it the 2nd largest campus in the USA

3. US Military Academy​

The area of this largest campus is approximately 16,080 acres. This biggest academy has taken 3rd position by the site in the USA.

4. University of the South​

With the 13,000 acres, the campus has taken 4th place by area in the USA.

Pennsylvania State University​

The region of this University campus is approximately 8,556 acres

6. Stanford University​

It has the largest university campus in America, which contains 8180 acres

7. Liberty University​

The University area has to take 7,000+ acres which reach the 7th position by area in the USA.

8. Michigan State University​

With the 5,239 acres, the campus has taken8th place by area in the USA.

9. Texas A&M University​


With the 5,115 acres, the largest university campus has taken 9th position by area in the United States and the biggest university in Texas.

10. Tuskegee University​

It has another largest university campus in America, which contains 5,000 acres.

11. University of Minnesota​


With the 2730 acres, the campus has taken 11th place by area in the USA.

12. Ohio University​

The University area has to contain 1764+ acres, taking the 12th position by area in the USA.

Eneo kubwa ni muhimu.....
Sijui kama tunaelewana, hao uliowatolea mfano wako unajua walipata lini hayo maeneo yao? wao walijua mapema hivyo vyuo vitahitaji maeneo ta kutosha ndio wakatenga, simply walikuwa na long term plan... long time ago.

Sisi baada ya kuchelewa na hizo fikra ndio tunakuja kukurupuka wakati huu ambao population ya eneo husika imeshaongezeka, ni kulipa fidia tu, au kama kuna taasisi za serikali zenye maeneo waongee nazo wapatiwe eneo wanalohitaji.
 
Sijui kama tunaelewana, hao uliowatolea mfano wako unajua walipata lini hayo maeneo yao? wao walijua mapema hivyo vyuo vitahitaji maeneo ta kutosha ndio wakatenga, simply walikuwa na long term plan... long time ago.

Sisi baada ya kuchelewa na hizo fikra ndio tunakuja kukurupuka wakati huu ambao population ya eneo husika imeshaongezeka, ni kulipa fidia tu, au kama kuna taasisi za serikali zenye maeneo waongee nazo wapatiwe eneo wanalohitaji.
Unasahau, issue ni kuwa 50 acres hazitoshi, ndiyo nikatoa ulingnisho. Hilo tmelimaliza.

Pili, Bado hatujachelewa, kwani maeneo ya USA waliyapata baada ya miaka mingapi ya uhuru wao? Bado tuna maeneo makubwa sana yako tupu au lowly inhabited and therefore can be available for such an important public project.
 
Unasahau, issue ni kuwa 50 acres hazitoshi, ndiyo nikatoa ulingnisho. Hilo tmelimaliza.

Pili, Bado hatujachelewa, kwani maeneo ya USA waliyapata baada ya miaka mingapi ya uhuru wao? Bado tuna maeneo makubwa sana yako tupu au lowly inhabited and therefore can be available for such an important public project.
Naona umeshanifunga mdomo na "hilo tumelimaliza" hahaaa okk.

The rest, paragraph yangu ya pili inakujibu.
 
Muhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.

Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Chuo kikuu ekari 50,unajoki?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ki- geografia eneo la ekari 50, ni kubwa kwa miundobinu ya chuo hapa africa ....
Unless otherwise kama wanataka kufungua chuo cha kilimo.. na Engineering ndo zinakuwa na workshops nyingi za practical...
Ila kwa kawaida ekari 50, si ndogo kwa investment....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.

Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Wajenge magorofa mbona eneo kubwa sana
 
Badala ya chuo kimoja kuwa katika mikoa mingi kwa nini kusiwe na vyuo vipya kabisa vinavyojitegemea katika hiyo mikoa?
Protocal ya kusajili vyuo vipya ni long term plan .. kuliko kuwa na branches..., hata ivyo vyuo vingi vikubwa duniani vinakuwa duniani..
Zinatakiwa viwe branch nyingi ili kukuza kipato chao wenyewe bila kutegemea serikali ..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana mwanzo kabisa nikasema serikali ijiandae kulipa, maana kama mkuu wa chuo amesema hawajapata eneo maana yake maeneo yapo ila yana wenyewe, sio Kikwete anavyolazimisha wanataka hekari 1000 bila kufikiria nini kinachokwamisha kupatikana kwake.
kwaiyo kwa akili yako unafikiri kikwete hajui hilo
 
Tatizo wanaosomea mipango sizani kama UDSMwalikuwa nao.
SUA wana maeneo makubwa sana hapa nchini karibu mikoa mitano.

IFM wana eneo kubwa sana mkoa wa pwani.
UDSM wanangojea mawazo ya wanasiasa wawaamulie.
 
Muhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.

Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Mbeya ni kubwa na kunamaeneo mengi Sana ambayo Yana ukubwa zaidi ya hekari 1000
unaweza jenga chuo sehem moja chenye hadhi sio kujenga hapa na kule kama sijui vitalu....
 
Leta master plan yenu ya mnachotaka kujenga... Jengeni hizo hamsini kwanza,tuone mtaishia wapi. Kikubwa kabisa tuhakikishieni mtapata fedha wapi za kufanya yote hayo. Tuwape 500 ama 1000 Halafu eneo likae miakia hamsini halijaendelezwa, hilo halikubaliki.
Lakini niulize swali? hicho chuo kinataka kulima au kufundisha wanafunzi? hivi kweli unahitaji hekali 500 za chuo kwa ajiri ya nini? Pale Dar sidhani hata kama zinafika hizo hekali 1000 na zimewashinda wameanza wamezijengea mlimani city & more are coming.
[/QUOTE]
mbeya kuna dhahabu labda wanataka kuimarisha ulinzi.
 
Lakini niulize swali? hicho chuo kinataka kulima au kufundisha wanafunzi? hivi kweli unahitaji hekali 500 za chuo kwa ajiri ya nini? Pale Dar sidhani hata kama zinafika hizo hekali 1000 na zimewashinda wameanza wamezijengea mlimani city & more are coming.
mbeya kuna dhahabu labda wanataka kuimarisha ulinzi.[/QUOTE]Hiko chuo kilicho.jengwa mo. Kina miaka mingapi?

Halafu fikilia miaka 100 ijayo.baada ya hiyo iliyopita.
 
Rais wa awamu ya nne, Dk Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amekataa kupokea ekari 50 ambazo Serikali ya Mkoa wa Mbeya imezitoa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Chuo Kikuu cha Dar es Saalam kampasi ya Mbeya na kutaka wapewe eneo lenye ukubwa wa ekari 500 au 1,000.

Kikwete amesema kama mkoa huo hautawapa eneo wanalolihitaji watahamishia chuo hicho katika mkoa mwingine ambao utakuwa tayari kuwapa ardhi yenye ukubwa wanaouhitaji.

Kauli hiyo ameitoa leo Jumamosi, Novemba 27,2021 wakati wa mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Ndaki ya Afya na Sayansi Shirikishi kampasi ya Mbeya yaliyofanyika jijini hapa.

Kikwete amesema hawawezi kukubali kupokea ekari 50 walizopewa kwakuwa chuo hicho kina hadhi kubwa hivyo wanahitaji ekari 500 hadi 1000 kwa ajili ya kujenga hosteli, makazi ya wahadhiri, wafanyakazi na hospitali.

Kauli hiyo ameitoa baada ya hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Mwanaidi Mtanda kusema kuwa ukosefu wa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ni miongoni mwa changamoto zinazowakabili licha ya kuwasilisha maombi yao kwa Serikali ya mkoa tangu mwaka jana.

"Ingawa simuoni hapa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Juma Homera) lakini naamini viongozi wa Mkoa watamfikishia ujumbe, tunaomba kiwanja tujenge chuo cha kisasa na hili lipewe kipaumbele" amesema Mwanaidi.

Mara baada ya hotuba hiyo, Kikwete amesema hawawezi kukubali kupokea ekari 50 walizopewa kwakuwa hazikidhi mahitaji yao

"Hii siyo sekondari kupewa ekari 50, tunataka eneo kubwa la ekari 500 hadi 1000 tenga hata kule Forest, mkishindwa tunahamia mkoa mwingine utakaoweza kutoa eneo kubwa, huu ni ujumbe kwa nyie viongozi" amesema Kikwete.
Ni ajabu Sana viongozi wa Mkoa wa Mbeya kuwa wazembe kiasi hiki.

Hii ni fursa si tuu ya chuo bali kitajengwa hospital ya kufundishia ambayo itatoa huduma kwa watu wa kawaida kama ile ya Benjamin MKapa Dom na Mlonganzila .

Mh.Mstaafu kama wanazingua hamishieni chuo hapa Sumbawanga Rukwa kuna maeneo ya kutosha na MUST Wana kampasi yao huku pia.
 
Mbeya tayari kuna vyuo vya serikali vya MUST na Mzumbe kwa nini visipanuliwe hivyo na viwe vikubwa kama UDSM badala ya kuendelea kuhamishia matawi ya vyuo vingine huko?
Kawaulize wenye hivyo vyuo ila Udsm wanataka koleji yao inayotoa gani za udaktari ,hivyo ulivyovitaja havina kozi za udaktari.
 
JK hajaanza leo kuongelea hili suala.
Kila mahafari analiongelea,sijui maviongozi ya Mbeya yana shida gani,wanashindwa kwenda kwa Waziri wa kilimo wachukue mashamba ya hapo uyole? Mashamba yanafanya nini mjini? Na kule jirani na MUST kuna mashamba ya kutosha plus hapo ulipo mnara wa TBC kuna maelfu ya ekari za wazi..

Huu ni.uzembe nanuhujimu..Opposite na Songwe airport kuna eneo pia tatizo nini hapo Mbeya?
 
kwa sasa hawezi maana angetaka angefanya akiwa Raisi na hata kama itawezekana itakua ni mpango mwingine
Anaweza mfuata Rais akamuomba issue hii maana Hawa wapuuzi wanazingua kila mahafari hoja huwa ni hiyo tuu..

Na Waziri wa elimu yupo kimya ,wanataka kuhujumu Mbeya.
 
50 Reactions
Reply
Back
Top Bottom