mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,140
- 5,629
Wakikupa jibu nitagBadala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikupa jibu nitagBadala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Naunga mkono hatua ya JK. Na chuo kikihamishwa utakuwa ni uhujumu. Hapo chuo cha kilimo wana kama ekari zaidi ya 3,000 mjini. Kwa nini wasiwagawie wenzao. Nasikia waliomba Tanganyika packers, wana maelfu ya ekari, kwanini wasiwape UD? Hayo ni maeneo ya wizara ya kilimo, kama waziri wa kilimo na mifugo anagoma kutoa eneo basi aambiwe bosi wake.
Hivi eneo la UD main campus ni ekari ngapi? Na hakuna muda kweli walilikata kata kuliuza kwa majirani na wavamizi?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hamnazo hao, sasa JK unaona ana chochote kichwaniHalafu content ya elimu itaendana na mahitaji ya nchi ama bado tutaendelea na kozi ambazo hazina A wala B.
Sehemu kibao, pale shamba la kilimo kuna eneo kubwa sana. Kule Mbalizi kuna eneo la Tanganyika packers.Acha kujichanganya wewe umesema ardhi ipo nimekuuliza iko wapi?
Viwanja vya Tanganyika packers Mbeya.Tanganyika ni eneo yenye gharama kubwa ukigawa viwanja ukauza haukosi Trillioni
kadhaa. Unapoanzisha chuo kikuu, huduma nyingine za msingi hufuata.
..waache wazubae.
..watasikia fursa hiyo wamepewa ndugu zao wa Makunduchi Zanzibar.
Viwanja vya Tanganyika packers
Kwanini wasijenge majengo marefu kwenda juu ala kumbe mbea imepitiwa na bonde la ufa matetemeko yanaathiri majengo marefu lakini pia walemavu wa miguu nao itakuj Kama yakijengwa majengo marefu.
Kesho au keshokutwa utasikia chuo kinapelekwa Bagamoyo kwa kuwa.....
-Eneo la ekari 600 limepatikana
-Gharama za kuwafidia watu ni kidogo.
-China iko tayari kutusaidia bure kutujengea chuo, lakini lazima iwe Bagamoyo.
-Miundo mbinu muhimu kama maji, umeme, barabara, bandari viko karibu na eneo husika.
Kikwete mimi namjua, ni mjanja mjanja sana na anajua kucheza na bit.
hoja nzuriBadala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Siyajui maeneo ya Kampasi, lkn kwa vyovyote vile eneo kubwa ni muhimu sana kwa higher learning Institutions zenye hadhi kama UDSM. Let us make a comparison with some USA universities.
1. Berry College
With 27,000 acres (110 km2),
2. United States Air Force Academy
This College has approximately 18,455 acres which makes it the 2nd largest campus in the USA
3. US Military Academy
The area of this largest campus is approximately 16,080 acres. This biggest academy has taken 3rd position by the site in the USA.
4. University of the South
With the 13,000 acres, the campus has taken 4th place by area in the USA.
Pennsylvania State University
The region of this University campus is approximately 8,556 acres
6. Stanford University
It has the largest university campus in America, which contains 8180 acres
7. Liberty University
The University area has to take 7,000+ acres which reach the 7th position by area in the USA.
8. Michigan State University
With the 5,239 acres, the campus has taken8th place by area in the USA.
9. Texas A&M University
With the 5,115 acres, the largest university campus has taken 9th position by area in the United States and the biggest university in Texas.
10. Tuskegee University
It has another largest university campus in America, which contains 5,000 acres.
11. University of Minnesota
With the 2730 acres, the campus has taken 11th place by area in the USA.
12. Ohio University
The University area has to contain 1764+ acres, taking the 12th position by area in the USA.
Eneo kubwa ni muhimu.....
Mzee Kikwete anaona mbali hata Chuo Kikuu cha MUHAS ilikua Campus ya Chuo Kikuu Cha DSM. Mbele ya safari huko Campus hiyo ya Mbeya inaweza kuja kuwa Chuo Kikuu.Badala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Siyo eneo huru hilo linamilikiwa na TaasisiSehemu kibao, pale shamba la kilimo kuna eneo kubwa sana. Kule Mbalizi kuna eneo la Tanganyika packers.
Uzoefu unaonesha vyuo vina maeneo mamia ya ekari ila ikiangalia uwekezaji wake nadhani ni below 50 kwa vyuo vingiSafi sana Kikwete. UDSM inapewaje ekari 50 imekuwa sekondari hiyo?
awamu ya nne ilikuwa ya kifisadi mno,
matumizi mabaya ya madaraka,
baba mkuu wa chuo,
Mama Mbunge
Mtoto Mbunge,
Kwa kodi zetu.
Hakuna eneo/ardhi huru isiyo na mtu. Kuna ardhi ya kijiji, watu binafsi, misitu inayomilikiwa na taasisi za serikali nk. Unataka eneo huru utalipata wapi?Siyo eneo huru hilo linamilikiwa na Taasisi
Ndio maana mwanzo kabisa nikasema serikali ijiandae kulipa, maana kama mkuu wa chuo amesema hawajapata eneo maana yake maeneo yapo ila yana wenyewe, sio Kikwete anavyolazimisha wanataka hekari 1000 bila kufikiria nini kinachokwamisha kupatikana kwake.Elimu ni gharama na uwekezaji suala la kufidia ni sehemu ya uwekezaji bro mbona ni simple logic, ninavyojua miradi karibu yote serikali inapotaka kuwekeza huwa wanalipa fidia