Rais Mstaafu Jakaya Kikwete agomea eneo la ekari 50, ataka ekari 500

Naunga mkono hatua ya JK. Na chuo kikihamishwa utakuwa ni uhujumu. Hapo chuo cha kilimo wana kama ekari zaidi ya 3,000 mjini. Kwa nini wasiwagawie wenzao. Nasikia waliomba Tanganyika packers, wana maelfu ya ekari, kwanini wasiwape UD? Hayo ni maeneo ya wizara ya kilimo, kama waziri wa kilimo na mifugo anagoma kutoa eneo basi aambiwe bosi wake.


Tanganyika ni eneo yenye gharama kubwa ukigawa viwanja ukauza haukosi Trillioni
kadhaa. Unapoanzisha chuo kikuu, huduma nyingine za msingi hufuata.
 
Kwanini wasijenge majengo marefu kwenda juu ala kumbe mbea imepitiwa na bonde la ufa matetemeko yanaathiri majengo marefu lakini pia walemavu wa miguu nao itakuj Kama yakijengwa majengo marefu.
 
..waache wazubae.

..watasikia fursa hiyo wamepewa ndugu zao wa Makunduchi Zanzibar.

Haha
Viwanja vya Tanganyika packers

Ok, wawape, baada ya miaka 20 kitakuja kuwa chuo kikuu kamili. Muhimu kusogeza huduma muhimu karibu na watu sehemu zote kama vyuo, hospitali, ofisi kuu za serikali, mahakama, polisi nk.

Wanaweza kuanza hata na 100, 150, 200.
 
Kwanini wasijenge majengo marefu kwenda juu ala kumbe mbea imepitiwa na bonde la ufa matetemeko yanaathiri majengo marefu lakini pia walemavu wa miguu nao itakuj Kama yakijengwa majengo marefu.

Umeme, maji yenyewe shida. Utaweza kweli kuyapandisha juu, lift, AC, usalama kwenye ngazi, zinatohitaji mwanga muda wote. Itabidi watu washuke kuyachota chini na ndoo zao kichwani na kupanda ngazi?
 
Kesho au keshokutwa utasikia chuo kinapelekwa Bagamoyo kwa kuwa.....
-Eneo la ekari 600 limepatikana
-Gharama za kuwafidia watu ni kidogo.
-China iko tayari kutusaidia bure kutujengea chuo, lakini lazima iwe Bagamoyo.
-Miundo mbinu muhimu kama maji, umeme, barabara, bandari viko karibu na eneo husika.

Kikwete mimi namjua, ni mjanja mjanja sana na anajua kucheza na bit.

Dah. Aisee.
 
Siyajui maeneo ya Kampasi, lkn kwa vyovyote vile eneo kubwa ni muhimu sana kwa higher learning Institutions zenye hadhi kama UDSM. Let us make a comparison with some USA universities.

1. Berry College​

With 27,000 acres (110 km2),

2. United States Air Force Academy​

This College has approximately 18,455 acres which makes it the 2nd largest campus in the USA

3. US Military Academy​

The area of this largest campus is approximately 16,080 acres. This biggest academy has taken 3rd position by the site in the USA.

4. University of the South​

With the 13,000 acres, the campus has taken 4th place by area in the USA.

Pennsylvania State University​

The region of this University campus is approximately 8,556 acres

6. Stanford University​

It has the largest university campus in America, which contains 8180 acres

7. Liberty University​

The University area has to take 7,000+ acres which reach the 7th position by area in the USA.

8. Michigan State University​

With the 5,239 acres, the campus has taken8th place by area in the USA.

9. Texas A&M University​


With the 5,115 acres, the largest university campus has taken 9th position by area in the United States and the biggest university in Texas.

10. Tuskegee University​

It has another largest university campus in America, which contains 5,000 acres.

11. University of Minnesota​


With the 2730 acres, the campus has taken 11th place by area in the USA.

12. Ohio University​

The University area has to contain 1764+ acres, taking the 12th position by area in the USA.

Eneo kubwa ni muhimu.....


Kumbuka hivyo vyuo walivijenga zamani sana, hata sasa wakitaka kujipanua wananua ardhi, majengo ya karibu kwa gharama kubwa sana.

Fees zao ni kubwa sana kwa viwango vyetu, makampuni binafsi, taasisi na matajiri wanatabia ya kuchangia, kuacha sehemu ya utajiri wao kwa vyuo. Sisi kila kitu kinategemea kodi, pesa za serikali.
 
Badala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?

Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Mzee Kikwete anaona mbali hata Chuo Kikuu cha MUHAS ilikua Campus ya Chuo Kikuu Cha DSM. Mbele ya safari huko Campus hiyo ya Mbeya inaweza kuja kuwa Chuo Kikuu.
 
awamu ya nne ilikuwa ya kifisadi mno,

matumizi mabaya ya madaraka,

baba mkuu wa chuo,

Mama Mbunge

Mtoto Mbunge,

Kwa kodi zetu.

Kama upo usalama wa taifa aisee jiuzulu tu

Watu wa usalama wa taifa angalieni watu wenu wanachokifanya humu, baadhi ya watu wenu wamekuwa mashabiki wa watu badala ya kuwa wazalendo
 
Siyo eneo huru hilo linamilikiwa na Taasisi
Hakuna eneo/ardhi huru isiyo na mtu. Kuna ardhi ya kijiji, watu binafsi, misitu inayomilikiwa na taasisi za serikali nk. Unataka eneo huru utalipata wapi?

Hii ya taasisi ya serikali ndiyo rahisi kupata, maana taasisi zinaweza kuongea au rais akaitoa bila habari za fidia.
 
Elimu ni gharama na uwekezaji suala la kufidia ni sehemu ya uwekezaji bro mbona ni simple logic, ninavyojua miradi karibu yote serikali inapotaka kuwekeza huwa wanalipa fidia
Ndio maana mwanzo kabisa nikasema serikali ijiandae kulipa, maana kama mkuu wa chuo amesema hawajapata eneo maana yake maeneo yapo ila yana wenyewe, sio Kikwete anavyolazimisha wanataka hekari 1000 bila kufikiria nini kinachokwamisha kupatikana kwake.
 
50 Reactions
Reply
Back
Top Bottom