JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Kwani mbeya hawana chuo kikuu?
..kuna chuo kikuu tayari.
..lakini watakuwa mabwege wakiichezea fursa hii iliyowaangukia.
..kuna mikoa na maeneo mengi hapa Tz yanamezea mate fursa ambayo Mbeya wameipata.