Kwenye michezo hatuna mambo vyama kafie mbele na ukute hata ufaidiki na chochote kwenye siasa zaidi ya kutaka kuaminisha humu JF kila mtu mwanasiasaChadema watapinga
Tatizo mnapenda kuitamka Tanzania bara ndo maana ikafungwa lakini ingeitwa Tanganyika tungetusua mbona Zanzibar hawakujiita Tanzania VisiwaniHapo Znz inasimama Kama Znz tusijipendekeze sie Timu yetu ya Tanzania Bara imekojolewa Mechi zote
Kwny Challenge Hakuna Tanzania kuna Znz na Tanganyika
Chadema imetoka wapi hapo?. Mbona unaakili za kushikiwa.Chadema watapinga
Achana na huyo Elibwege.Kwenye michezo hatuna mambo vyama kafie mbele na ukute hata ufaidiki na chochote kwenye siasa zaidi ya kutaka kuaminisha humu JF kila mtu mwanasiasa
Poor usZnz wakichukua Ubingwa utaskia sifa kwa JPM kwa kujitoa kwake kuhakikisha Znz inakuwa Mabingwa