Rais mpya wa tanzania, na matumaini mapya ya watanzania

Not_Yet_Uhuru

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,304
431
Watanzania, Taifa linapata Ukombozi;

Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...

NI DR W. P. SLAA....

MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.
 

Attachments

  • Slide2.JPG
    Slide2.JPG
    147.2 KB · Views: 53
  • Slide1.JPG
    Slide1.JPG
    161.4 KB · Views: 51
  • Slide3.JPG
    Slide3.JPG
    96.5 KB · Views: 52
Watanzania, Taifa linapata Ukombozi;

Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...

NI DR W. P. SLAA....

MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.

Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: 'LIVE'MAHOJIANO YA DK SLAA HIVI SASA REDIO COUNTYR FM(88.5)
 
Watanzania, Taifa linapata Ukombozi;

Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...

NI DR W. P. SLAA....

MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.

Nimekusoma mkuu tuko pamoja:yield:
 
Back
Top Bottom