Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Watanzania, Taifa linapata Ukombozi;
Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...
NI DR W. P. SLAA....
MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.
Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...
NI DR W. P. SLAA....
MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.