Rais Mkapa pekee ndiye alitoka madarakani akiwa amepunguza deni la taifa badala ya kulikuza

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,311
Hii rekodi aliyoiwekaga Rais BWM sijui kama kuna Rais atakayekuja kuivunja. Hii check mark aliyoiwekaga ni kubwa sana, atakaivunja basi atakuwa mwamba haswa na ikiwezekana tutamuongezea mihula kadhaa..

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Toka 1961 - 1985, ambayo ni miaka 24 ilikua 3T.

Ally Hassan Mwinyi 1985 -1995 yaani miaka 10 lilikua kutoka 3T mpaka 18T.

1995 - 2005, Benjamine Willium Mkapa mzee mwenye rekodi nzuri kiuchumi alipambana kutoka deni la 18T na kubakia 10T.

2005 - 2015 Jakaya Mrisho Kikwete miaka 10 likatoka 10T mpaka 35T.

Kwa JPM sasa kabla hata ya kumaliza miaka 5, 2019 deni la taifa lilikua kutoka 35T mpaka 61.8T.
 
Mkapa ana rekodi gani Bora ya uchumi!!..kasome 'makuwadi wa soko huria' na 'mibaka uchumi' vya marehemu Prof chachage
 
Hii rekodi aliyoiwekaga Rais BWM sijui kama kuna Rais atakayekuja kuivunja. Hii check mark aliyoiwekaga ni kubwa sana, atakaivunja basi atakuwa mwamba haswa na ikiwezekana tutamuongezea mihula kadhaa..

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Toka 1961 - 1985, ambayo ni miaka 24 ilikua 3T.

Ally Hassan Mwinyi 1985 -1995 yaani miaka 10 lilikua kutoka 3T mpaka 18T.

1995 - 2005, Benjamine Willium Mkapa mzee mwenye rekodi nzuri kiuchumi alipambana kutoka deni la 18T na kubakia 10T.

2005 - 2015 Jakaya Mrisho Kikwete miaka 10 likatoka 10T mpaka 35T.

Kwa JPM sasa kabla hata ya kumaliza miaka 5, 2019 deni la taifa lilikua kutoka 35T mpaka 61.8T.
Get this right fella, for a record:Mkapa ndio rais aliyesamehewa madeni mengi zaidi wakati ule wa mpango wa HDC nchi zilizokua hazilipiki zinanuka madeni hasa za Afrika na yetu ilikuwemo. Sasa kama kuomba omba kupunguziwa madeni ni kuisadia nchi hapo sawa.

Hakuna economic strategies zilizofanyika za kujenga uchumi wa kujilipa bali ni msamaha.
That's why yalipanda tu afterwards kwa sababu hatuna sustainable means ya kujiendesha na hatuna Think Tank ya kusimamia uchumi wetu.

Cha muhimu kabisa mkiwa mnaleta figures za madeni msilete Trillions TZS figures, leteni USD ili tuifanyie na accounts as inflation at par. Uchumi sio gologolo.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
The late Magufuli ndiye Rais aliyekopa kuliko Rais yeyote yule katika historia ya Nchi yetu.

Magufuli afufuliwe atuambie hiyo mikopo alikua anafanyia nini wakati alitekeleza miradi yote kwa fedha za ndani kupitia makusanyo ya kodi!!

Kweli Magufuli alikua shujaa wa Afrika.
 
Hii rekodi aliyoiwekaga Rais BWM sijui kama kuna Rais atakayekuja kuivunja. Hii check mark aliyoiwekaga ni kubwa sana, atakaivunja basi atakuwa mwamba haswa na ikiwezekana tutamuongezea mihula kadhaa..

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Toka 1961 - 1985, ambayo ni miaka 24 ilikua 3T.

Ally Hassan Mwinyi 1985 -1995 yaani miaka 10 lilikua kutoka 3T mpaka 18T.

1995 - 2005, Benjamine Willium Mkapa mzee mwenye rekodi nzuri kiuchumi alipambana kutoka deni la 18T na kubakia 10T.

2005 - 2015 Jakaya Mrisho Kikwete miaka 10 likatoka 10T mpaka 35T.

Kwa JPM sasa kabla hata ya kumaliza miaka 5, 2019 deni la taifa lilikua kutoka 35T mpaka 61.8T.
Mkapa alikuwa na akili, tofauti kabisa na lile nyapara
 
The late Magufuli ndiye Rais aliyekopa kuliko Rais yeyote yule katika historia ya Nchi yetu.

Magufuli afufuliwe atuambie hiyo mikopo alikua anafanyia nini wakati alitekeleza miradi yote kwa fedha za ndani kupitia makusanyo ya kodi!!

Kweli Magufuli alikua shujaa wa Afrika.
Lakini ndiye Rais aliyekaa kwa muda mfupi madarakani, labda angemalizia ngwee yake angerekebisha vitu vingine
 
Get this right fella, for a record:Mkapa ndio rais aliyesamehewa madeni mengi zaidi wakati ule wa mpango wa HDC nchi zilizokua hazilipiki zinanuka madeni hasa za Afrika na yetu ilikuwemo. Sasa kama kuomba omba kupunguziwa madeni ni kuisadia nchi hapo sawa.

Hakuna economic strategies zilizofanyika za kujenga uchumi wa kujilipa bali ni msamaha.
That's why yalipanda tu afterwards kwa sababu hatuna sustainable means ya kujiendesha na hatuna Think Tank ya kusimamia uchumi wetu.

Cha muhimu kabisa mkiwa mnaleta figures za madeni msilete Trillions TZS figures, leteni USD ili tuifanyie na accounts as inflation at par. Uchumi sio gologolo.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app

Kuna msemo unasema "you are as good as the deal you can negotiate"

Hata kama hayo madeni aliyapunguza kwa njia za porojo, maneno maneno na nisamehe nisamehe nyingi, pasi na kulipa, lakini mwisho wa siku deni lilipungua.

Tunapaswa kumpongeza kulipunguza deni hilo (kama kweli tunaamini kwamba ukubwa wa deni ni kitu kibaya kwetu kama nchi).

Vinginevyo labda kama una hoja yoyote ambayo haujaizungumza kuonyesha ubaya wa njia aliyoitumia mzee Mkapa kupunguza deni la taifa.
Karibu.

"Za mezani, nazo ni pointi pia."
 
Tumshukuru Samia..angalau anasema kweli tunakopa nje na anaruhusu mijadala ya madeni kama hivi
 
Back
Top Bottom