Rais Mh. Dk. Slaa

C.K

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
394
162
Hope hamjambo wana JF. Naomba mwenye updates toka kwa Rais wangu Dk. Slaa anihabarishe kwani kwa mara ya mwisho nilisikia ataitisha press confr. Wengine tunakoishi gazeti la leo tunalipata baada ya siku tatu.

Any update pls!
 
Tatizo lako unang'ang'ania upande mmoja tu. Nenda kwenye wall yake fb utapata maelezo.
 
okay! kaulizie kwa mtendaji wa kijiji au ofisi ya usalama wa taifa wilaya kwenu utapata jibu.:A S angry:

Ungesoma kwanza post ya MM ndipo ukaendelea na haya yako.

Shida yenu mnakurupuka kama mtu anaekimbia mvua ya mawe.

FIKIRI KWANZA
 
No wisdom no understanding, no understanding no trust, no trust no peace, no peace no love, no love no unity, no unity no progress. Step out u wisdomless JF members.., great demoralizers!



WISDOM IS AS IMPORTANT AS LIFE
 
Tatizo lako unang'ang'ania upande mmoja tu. Nenda kwenye wall yake fb utapata maelezo.

okay! kaulizie kwa mtendaji wa kijiji au ofisi ya usalama wa taifa wilaya kwenu utapata jibu.:A S angry:

Ungesoma kwanza post ya MM ndipo ukaendelea na haya yako.

Shida yenu mnakurupuka kama mtu anaekimbia mvua ya mawe.

FIKIRI KWANZA

Click Dr. Wilbroard slaa au Chadematz utapata habari zake kwenye facebook

lakini mbona kauliza kwa upole....ilikuwa kuna haja gani ya kumjibu kama mmekimbizwa mkapitiliza kwenu.....angejua kote huko angekuja kuuliza hapa....kama hujui jamani kunyamaza si bora zaidi....mi nadhani hamjamtendea haki mwenzenu.....kama hujui nyamaza watakuja wanaojua watamjibu
 
lakini mbona kauliza kwa upole....ilikuwa kuna haja gani ya kumjibu kama mmekimbizwa mkapitiliza kwenu.....angejua kote huko angekuja kuuliza hapa....kama hujui jamani kunyamaza si bora zaidi....mi nadhani hamjamtendea haki mwenzenu.....kama hujui nyamaza watakuja wanaojua watamjibu

Una busara sana... Wakati nikisoma michango ya wenzetu nilidhani majibu hayo yenye hasira ndaani yake yana sababu nyingine wala siyo swali alilouliza. Kwa hiyo nami nakuunga mkono kuwa majibu hayo hayakumstahili CK ukizingatia ni mgeni hapa JF.

CJ, rais wetu Dr. Slaa aliahirisha mkutano wake na wandishi wa habari uliokuwa ufanyike jana kwa maelezo kuwa kuna michakato inaendelea. Hivyo ataongea nao akiwa tayari (michakato hiyo ikkisha). Kwa maelezo zaidi tembelea face book yake.
 
No wisdom no understanding, no understanding no trust, no trust no peace, no peace no love, no love no unity, no unity no progress. Step out u wisdomless JF members.., great demoralizers!



WISDOM IS AS IMPORTANT AS LIFE

Asante umeliona hilo!!! baadhi ya members humu ni wajuaji mno , lakini wanasahu ulimwengu huko huku!!

baadhi ya wanachadema ni vichwa maji wanachojua ni kutukana na kujibu hovyo, no matter what wo kila aanayeuliza au kushauri tofauti ni ADUI!!! I fail to understand these guys!!

Angalau Slaa ameshindwa Urais, maana angeshika urais , kama aangekuwa anakosea kitu, humu ndani msingekalika, I simply hate many chadema fans who dont think just ushabiki tu.

afadhali umeliona! siku hizi unashindwa mpaka kukaribisha watu jamii forums,
 
Asante umeliona hilo!!! baadhi ya members humu ni wajuaji mno , lakini wanasahu ulimwengu huko huku!!

baadhi ya wanachadema ni vichwa maji wanachojua ni kutukana na kujibu hovyo, no matter what wo kila aanayeuliza au kushauri tofauti ni ADUI!!! I fail to understand these guys!!

Angalau Slaa ameshindwa Urais, maana angeshika urais , kama aangekuwa anakosea kitu, humu ndani msingekalika, I simply hate many chadema fans who dont think just ushabiki tu.

afadhali umeliona! siku hizi unashindwa mpaka kukaribisha watu jamii forums,

Rekebisha sentensi yako. kuwa kichwa maji hakuhisianin na chama CHADEMA
 
lakini mbona kauliza kwa upole....ilikuwa kuna haja gani ya kumjibu kama mmekimbizwa mkapitiliza kwenu.....angejua kote huko angekuja kuuliza hapa....kama hujui jamani kunyamaza si bora zaidi....mi nadhani hamjamtendea haki mwenzenu.....kama hujui nyamaza watakuja wanaojua watamjibu
Preta, Pole kwa kutokunielewa, NIMEMJIBU ILIVYOSTAHILI, NA HUYO SI MGENI KAMA UNAVYODHANI BALI NI MGENI MWENYEJI. NAPENDA KUKUAMBIA KWAMBA MHE. RAIS TULIYENAYE NI MMOJA TU NAE NI DOKTA JAKAYA MRISHO KIKWETE. Je huoni kwamba kumuita Rais mwingine asiyekuwa yeye hatutendi haki? Preta vipi mtu asiyekuwa mume wako, akikuita wewe kama mkewe inakubalika? Lazima tukubaliane na UKWELI hata kama HATUUTAKI. JK ndiye Rais halali kwa mapenzi ya Mungu mpaka :wink1:2015 hata kama hatutaki, hata kama hatumpendi ITABAKI HIVYO.
 
Asante sana Domo Zege... kumbe wenye akili wamo humu JF na wasio nazo pia wamo., tena wengi tu. Mimi sijasema Dr. Slaa ni rais wa tz, bali ni rais wangu mimi C.K kama alivyo Nyerere mpaka kesho kama ipo.








What you understand and believe is what you hold and live.
 
Hv huyu babu slaaa mbona anazeeka vibaya ? natamani slaa angekuwa na miaka 40 ili miaka 5 ijayo agombee tena lkn ndy hivyo Babuuuuuuuuuuuu Babuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
tatizo kubwa kwetu watanzania na nchi zinazoendelea ni kutoheshimu uhuru wa mawazo na pia kutotambua ni wakati gani wa kuwajibika na wakati gani wa kutofautiana kwa mitazamo ya kisiasa na mawazo mbadala,

mungu ibariki tanzania na watu wake pia
 
lakini tutawajibika vipi bila kuwapo na haki katika nchi yetu??

au uwajibikaji ni hata bila kuwapoa haki??
 
Maaskofu walimshukia jana kumsihi akubali matokeo angoje 2015...................
 
Back
Top Bottom