Rais mfute Abubakari Kunenge Ukuu wa Mkoa. Mrudishe Makonda Tafadhali

Hahaha tunammiss sana
IMG-20200730-WA0009.jpg
 
Tatizo lipo kwenu ambao hamjamwelewa mtoa mada he is true in disguise,anamsema makonda jinsi alivyokuwa akifanya mambo ya hovyo hadi akawafanya wana darisalam wote wadharaulike.
Wapo ambao hawajamuelewa! Povu linawatoka! Bado hawajaijua tu hii style ya P. Mayala!
 
Huyu Kunenge ni Muislam hivyo ni mstaarabu anaongoza kama Allah anavyosema uwe na uadilifu kwa unaowaongoza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom