Wajumbe wanampa shida.Siku hizi ni Pastor Makonda hana shida na vyeo vya kidunia
Hivi anahudumu kanisa gani??Siku hizi ni Pastor Makonda hana shida na vyeo vya kidunia
Mtoa mada ni fundi sana wa lugha aiseee.Hivi hata jf Kuna watu hawaelewi hii lugha ya mtoa mada?...
Wapo ambao hawajamuelewa! Povu linawatoka! Bado hawajaijua tu hii style ya P. Mayala!Tatizo lipo kwenu ambao hamjamwelewa mtoa mada he is true in disguise,anamsema makonda jinsi alivyokuwa akifanya mambo ya hovyo hadi akawafanya wana darisalam wote wadharaulike.
Hata sijui namuona mtandaoni tu anashika vichwa vya waumini
Yawezekana Mungu amemwita kwenye huduma hiyoHata sijui namuona mtandaoni tu anashika vichwa vya waumini
Mleta mada hujitambui wewe.
Kunenge anafanya kazi kiutu uzima, hakuna drama
Soma post yote, usijibu uzi kwa kutumia heading ya uzi.Mleta mada hujitambui wewe.
Kunenge anafanya kazi kiutu uzima, hakuna drama
Tangia afukuzwe kwenye sherehe ya bawacha pale mlimani city Makonda na vitisheti vyake nilimwona kiongozi mgangafuMwambie Bashite afungue bendi ya Singeli na atoe wimbo kila mwezi.
Itapendeza.
Hez humble you know at down town ha ha ha ha.Yaani Le Mutuz ana maisha magumu mjini
Ungenielewa ungekaa kimyaHakika wewe ndio kilaza maana hujamwelewa mtoa post hata kidogo!