nuna mtu kaniuliza unamuona je huyu wa kwetu?ndo nikamjibu.
Angalia hapa chini tumetokea wapi kisha ujitutumue kwa hoja nzito kumtetea kikwete nitakuelewa, jenga hoja acha majibu ya kisiasa mkuu.
migogoro ipi mkuu hebu agalia hapa chini halafu utoe ufafanuzi.
1. Richmond mpaka leo anakaa na kula nao
2. Kiwira coal mine mpaka leo anakaa na kula nao pamoja
3. Rada mpaka leo anakaa na kula nao pamoja
4. Iptl mpaka leo wanavuna kwa mkataba feki kwa kwenda mbele yeye hana habari
5. Rushwa ndani ya ccm makada wanalalama kila siku yeye haon kama huo ni mgogoro
6. Madaktari na haki ya malipo mazuri alitatua vipi huu mgogoro kwa kuwafukuza au huu sio mgogoro
7. Waalimu na haki ya malipo mazuri alitatua vipi kwa kutishia kuwapiga, kuwapeleka mahakani na kutishia kuwa fukuza kazi
8. Mgogoro wa mafuta ya petrol na diesel je mpaka sasa ametoa tamko gani kuhakikisha hatutarudia tena kwenye aibu ya kukosa mafuta
9. Mgogoro wa ubaguzi kidi upo wazi lakini inapofikia makanisa zaid ya 20 kuchomwa zanzibar amefikia wapi na nan nani wanahusika kama rais wa jamhuri ya tanzania.....
10. Mgogoro wa kidin chin kwa chin makanisa kadhaa yamechomwa tanzania bara amechukuwa hatua gan kutufanya kupendana
11. Anashughulikiaje mgogoro wa fedha za watanzania huko uswis kama rais wa inch
13. Anashughulikiage mgogoro wa wananchi maskini kukosa afya na elimu bora
kumbe wewe unaona kwa malyenge na kufikili kwa malyenge mkuu kama ilivo avata yako nilikuwa sijafahamu ati.
mgogoro wa watumishi wa serikali kugoma nchi nzima aliushughulikia ki diplomasia,mgogoro wa madakrari aliushughulikia ki diplomasia,chadema kumsusia bungeni na kumuwekea vikwazo vya kila aina,akawaalika ikulu, akawapa juice walivyotoka hapo wanajisikia wepesiiiii! Kuanzia hapo hadi sasa mambo safi! Na sasa hivi anashughulikia mgogoro wa mpaka na malawi katika hali ya utulivu kabisa.hana jazba huyu mzee!
kama nilivosema siasa za mzaha ndizo zinafanya wakenya kilasiku watuone watanzania kasuku wa maneno. Umeongea nini sasa hapo juu, hebu soma alafu utafakali!
Kiwira coal mine ????
Richmond .......????
Chenge na vijisent vipi?
Rushwa ndani ya ccm na serikalin ????
Waalimu na madaktari??
Ukiona kiongozi wa nchi anasaidia nyumba ndogo kama ray c badala ya vikundi hajuwi wajibu wake kama kiongozi wa taifa.