Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,600
Nyukilia na kichwa kibovu.na kweli kamshkaji kanasumbua kinyama yn, cjui kanajivunia nin
Nyukilia na kichwa kibovu.na kweli kamshkaji kanasumbua kinyama yn, cjui kanajivunia nin
Umarekanism feverWewe kweli dunia haujui, nchi yenye nyuklia warheads nyingi ya kwanza urusi then Marekani. Hiyo North Korea hamna kitu ukilinganisha na mataifa makubwa duniani, nyinyi ndio miaka ya nyuma mlikua mnasifia sadam hussein na scud missiles, hakuna kitu hapo, huyo dogo wakimtaka seriously hawezi pona,tatizo Marekani na nchi za magharibi ushambulia sehemu zenye rasilimali, Korea kaskazini hakuna kitu so akitaka kuchapwa ashambulie American interest atakiona.
Hawawezi kumpiga hao,north Korea ni mfumuko wa king jumong tawala iliojiamini katika vita miak kibao.Siku sio nyingi watakanyoosha.
Hakana akilina kweli kamshkaji kanasumbua kinyama yn, cjui kanajivunia nin
Wewe unatakiwa ujue kwamba N. Korea ni mojawapo ya nchi yenye usiri wa hali ya juu na hata hao C.I.A (World Fact Book) huwa wanafanya makadirio ya uchumi na nguvu ya kijeshi ya N. Korea ila hawana data kamili kuhusiana na nguvu ya N. Korea.Wewe kweli dunia haujui, nchi yenye nyuklia warheads nyingi ya kwanza urusi then Marekani. Hiyo North Korea hamna kitu ukilinganisha na mataifa makubwa duniani, nyinyi ndio miaka ya nyuma mlikua mnasifia sadam hussein na scud missiles, hakuna kitu hapo, huyo dogo wakimtaka seriously hawezi pona,tatizo Marekani na nchi za magharibi ushambulia sehemu zenye rasilimali, Korea kaskazini hakuna kitu so akitaka kuchapwa ashambulie American interest atakiona.
UmarekanismHakuna mbabe mbele ya marekani na washirika wake ..sema cku hazija fika tu za kumuadhibu