Why achukue Kodi zaoKusini huko walimroga ndo maana hakupendi
Why achukue Kodi zao
Huwezi chukua Kodi zao pasipowaletea maenKodi si wanachukua TRA.yeye kule hafiki Tena
Punguza stress zako za maisha kichaa wewe.Huna akili!
Mi nimeongelea barabara tuuu
Nileteeni GwajimaaaaaAtasema "MAENDELEO HAYANA CHAMA, NASEMA UONGO NDUGU ZANGUUU".
Halafu atamalizia kusema "KAWAOMBE HAYO MAJI NA MAENDELEO HAO WABUNGE/MADIWANI WA UPINZANI MLIOWAPA KURA".
Halina akili Hilo ,Wewe ndo akili huna jua kwanza DMDP ni nn na alichokijibu jamaa.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Yap, nchi inapotegemea Dar kwa kiwango hicho ni lazima iwe na miundombinu ya kisasa. Hatuwezi kuendelea kupoteza 4 billion kwenye traffic jams kwa siku. Hivyo ni lazima Dar patengemae kwanza ili tuweze kukusanya zaidi halafu ndio turudi mikoani kwa nguvu kubwa zaidi.Dar inachangia 70% GDP
Asilimia kubwa ya mapato ya nchi hutoka jijini Dar es Salaam, hivyo jiji hili kwa kipekee mno linapaswa kuangaliwa kama mboni ya jicho kuliko majiji na miji mingine.Kusini huko walimroga ndo maana hakupendi