thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Rais Mama Samia,nakuomba ujaribu kutumia wanajeshi kwenye utumishi wa umma,utafanikiwa sana,hasa kwenye roho ya uchumi wa nchi bandari zote.
Wanajeshi wameonyesha ufanisi sana,mfano ni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru).
Wanajeshi wameonyesha ufanisi sana,mfano ni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru).