Rais Mama Samia Suluhu amtembelea kumfariji Mama Janeth Magufuli

Duuuuuu!!!!! Sasa wale walinzi wake JPM yule jamaa bounsa aliyekuwa anakaa kulia kwa JPM na yule mwenye sigda kwenye paji la uso na yule mpambe wake pamoja na jamaa mmoja bonge alikuwa anashika ki-briefcase fulani ndo basi tena kuonekana kwenye kameras.

Maisha yanaenda haraka na mbio sana!!!
Screenshot_20210319_173606.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemtembelea mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais Samia amepomtembelea Mama Janeth Magufuli nyumbani kwake Jijini Dar es salaam Machi 19, ambapo aliongozana na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Bashiru Ali.

View attachment 1729309
View attachment 1729311
Mama Samia atatuponya majeraha
 
Kama kila mtu atakataa kutangulia kama wewe,atangulie nani sasa ?

Hakuna anaeweza kukataa kutangulia, hata wewe ni hakika kuna watu utawatangulia utake usitake, iwe leo au miaka 100 ijayo. Kaa nalo kichwani hilo.

Sawa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemtembelea mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais Samia amepomtembelea Mama Janeth Magufuli nyumbani kwake Jijini Dar es salaam Machi 19, ambapo aliongozana na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Bashiru Ali.

View attachment 1729309
View attachment 1729311
Hiv huyu mama Janeth Kumbe alishatolewa tayari Ikulu punde baada ya mumewe kufariki? Hii imenifikirisha sana aisee.

Kwa hiyo msiba uko hapo ADA estate? kwa hiyo wamefunga turubai hapo hapo?
 
Duuuuuu!!!!! Sasa wale walinzi wake JPM yule jamaa bounsa aliyekuwa anakaa kulia kwa JPM na yule mwenye sigda kwenye paji la uso na yule mpambe wake pamoja na jamaa mmoja bonge alikuwa anashika ki-briefcase fulani ndo basi tena kuonekana kwenye kameras.

Maisha yanaenda haraka na mbio sana!!!
Wale ndio walikuwa wanampa kichwa ili atutukane vizuri kwenye hotuba zake.

Ila MEKO alikuwa na dharau jamani yaani bajeti ya nchi alikuwa anapanga yeye na mtoto wake DOTO. Ukileta fyoko fyoko unakuwa historia.

R.I.P Lwajabe
 
Dah,kwa kweli ni shida.Watu wengi inaelekea hamjui kwamba mambo kama social distancing,lockdowns na hata barakoa ni conditioning processes for a not very distant future totalitarian World government.Hayana real value and advantage.And people do not also seem to understand that facemasks are extremely dangerous.Yes,they are.
Haya sasa!

Unaonyesha ujuha wa ajabu sana, tena hadharani.

Sijui ni kilaza gani unamlenga hasa kwa upuuzi wa namna hii; au unajiandikia tu kufurahisha roho yako; hakuna lolote unalotaka kueleza watu walifikirie kwa umuhimu wake?
 
Hapo makonda hatii mguu. Sijui yuko wapi maskini. Babae kafa sasa anakimbia kimbia km digi digi anaogopa watu ?
maisha haya?

Babake wa hiari amendoka kwa hiari.

Bila shaka yuko mafichoni!! !Anaulizia ulizia! Kwa watu "vipi kuzika wapi??"

Ajitokeze kifua mbeleeee! Km babake alivomuwekea kifua!! Akaishi Dsm.
 
Ila Jiwe alikuwa ana mke mzuri na mnyenyekevu sana
sana tena sana mke kwakweli alipata!!! Binafsi namuombea!!!

Lkn watoto mbona siwaoni?? Nyerere wa kwake walisindikiza mpaka hatua za mwisho zamu kwa zamu kukaa na mgonjwa!!
Sambamba na mama yao!

Lkn huyu bila shaka alikuwa kauzu sana ligwaride mpaka mezani utamsikia...

"hkn kujifanyafanya hapa!!! eeee!! Mimi Babangu Rais!!
Nendeni haraka mkalime kijijini huko mmsaidie shangazi yenu mahindi yamekomaa mkimaliza mripoti kwa mkuu wa mkoa mrudi shule""
Hkn mtoto wake yeyote aliye soma IST hkn!!! Huenda mpaka sasa hawana habari.kuwa mdingi kavuta.
 
Kuna baadh wa watu akir zao ni finyu mnafulahi mtu kufarik amjui kama kila nafs itaonja mauti kifo ni ibada tunajua kifo kimegusa wanyonge watu wenye mipango yenu nd mnafulahia
acha uchawi usituroge humu jf .....umesikia ngoma wapi au muziki watu wanacheza?

Hapa tuna teta yanayo jiri ndani ya jf km ana kuuma sana na wewe kufwaaa!

Watu tusipumue ebooo!
 
Back
Top Bottom