Rais Mama Samia na Waziri wa Nishati Kalemani, tunaomba msaada

Meneja Ruler

Member
Apr 2, 2021
9
2
Kwanza kabisa naomba niwape pole nyingi kwa majukumu makubwa mliyonayo. Mungu awaongoze mtufikishe sehemu sahihi.

Pili naomba nitoe ombi langu la dhati kwenu kuhusu TANESCO hasa Kanda yangu ya Magharibi iliyo na ofisi mkoani TABORA.

Naomba niwafikishie malalamiko kuhusu mkuu wa kitengo cha manunuzi kanda ya MAGHARIBI (WEST ZONE).

Huyu jamaa anaitwa KABENDELA na ofisi yake ipo TABORA akisimamia manunuzi mikoa ya KIGOMA, TABORA, KATAVI na SHINYANGA.

Huyu jamaa ni mtu anayerudisha nyuma shirika la umeme Tanesco katika eneo hili kupitia idara ya MANUNUZI.

Huyu mzee Kabendela ni mla Rushwa. Kiufupi hafuati taratibu za manunuzi wala taratibu zilizowekwa na mifumo ya MANUNUZI kwa maana ya TANEPs. Kwa mfano anaweza kutoa letter of intention to award kwa mzabuni X alafu baada ya siku chache akatoa barua nyingine kwa mzabuni P baada ya kuhaidiana 10%. Taarifa za malalamiko zimeshamfikia Meneja wa Kanda, na baadhi ya vyombo husika lakini hakuna hatua stahiki na sahihi zinazochukuliwa.

Hakuna mfanyakazi hata mmoja wa Tanesco ndani ya Kanda asiyejua tabia mbaya na ulafi wa mzee Kabendela. Hivyo basi kwa kuwapa taarifa hizi naomba mfuatilie malalamiko haya na mfanye uchunguzi wa suala hili ili mchukue hatua mnazoona zitafaa kisafisha shirika lenu la TANESCO hasa idara ya Manunuzi kanda ya Magharibi.

Mzee Kabendela amekuwa kitovu na alama ya Rushwa kwa kanda nzima ya MAGHARIBI. Hivyo naomba uchunguzi wa kuproove malalamiko yangu ufanyike na hatua mtahiki zichukuliwe kwa mtuhumiwa huyu bila kuonewa apewe haki yake.
 
Je upo tayari kutoa ushahidi hata kwa siri dhidi ya tuhuma ulizotoa?kama ndio tunaomba namba yako ya simu hata kwa siri inbox tuifanyie kazi
Anzeni uchunguzi ndio nitawapa ushirikiano wakutosha,anzeni kuwahoji Meneja wa Kanda na wafanyakazi mikoa husika plus makao makuu ya kanda. Hii issue ipo wazi sana. Ulizeni ni barua ngapi zimeletwa ofisi ya kanda zikilalamikia michakato ya manunuzi ilivyoharibiwa na mzee Kabendera then mkishapata hizo barua wahojiwe walioandika hizo barua. Kiufupi Tanesco wajibikeni kwenye ishu kama hii na sio kujifungia ofisini kusema tunaomba namba za simu. Ukipewa taarifa onyesha kuchukua hatua na kwenye hushughulikia/kuchukua hatua ndipo utapata ukweli zaidi wa jambo husika.
 
Anzeni uchunguzi ndio nitawapa ushirikiano wakutosha,anzeni kuwahoji Meneja wa Kanda na wafanyakazi mikoa husika plus makao makuu ya kanda. Hii issue ipo wazi sana. Ulizeni ni barua ngapi zimeletwa ofisi ya kanda zikilalamikia michakato ya manunuzi ilivyoharibiwa na mzee Kabendera then mkishapata hizo barua wahojiwe walioandika hizo barua. Kiufupi Tanesco wajibikeni kwenye ishu kama hii na sio kujifungia ofisini kusema tunaomba namba za simu. Ukipewa taarifa onyesha kuchukua hatua na kwenye hushughulikia/kuchukua hatua ndipo utapata ukweli zaidi wa jambo husika.
Kumbe hauko tayari kutoa ushahidi pale itakapobidi!
Naona huu Uzi umekaa kimajungu majungu na inaelekea wewe ni mfanyakazi wa hilo Shirika na uko ofisi moja na huyo mtuhumiwa.
 
Kumbe hauko tayari kutoa ushahidi pale itakapobidi!
Naona huu Uzi umekaa kimajungu majungu na inaelekea wewe ni mfanyakazi wa hilo Shirika na uko ofisi moja na huyo mtuhumiwa.
Soma nilichoandika kielewe,kama ni majungu nasemaje ufanyike uchunguzi ?Mkuu tulia kuna watu muhimu wamenicheki na wanashughulikia hii ishu nadhani tutakutana hapa baada ya ukwel kuwekwa wazi. Usibeze vitu kama hivi mkuu.
 
Ndugu, umeombwa utoe ushirikiano wewe unadai uchunguzi ufanyike kwanza; kwani huoni kuwa wewe kutoa ushirikiano ni sehemu mojawapo ya kufanya uchunguzi?
 
Ndugu, umeombwa utoe ushirikiano wewe unadai uchunguzi ufanyike kwanza; kwani huoni kuwa wewe kutoa ushirikiano ni sehemu mojawapo ya kufanya uchunguzi?
Mkuu wewe ni mgeni Tanzania?! Sio kila mtu ni mwaminifu. Namba hutoi kwenye ishu kama hizi kizembe zembe. Lazima ujiridhishe ni mtu yupi anataka namba na hatua zipi zinaelekea kuchukuliwa laah sivyo hatari imlangoni mwako. Bye theway kuna mtu atanifikia wiki kesho jumanne nitampa ushirikiano kwenye hii ishu.
 
Member since 02 April, 2021!
Ukiwa member mpya huruhusiwi kuelezea chochote kwa lengo la kusaidia nchi yetu?! Mkuu tulia,huyo mzee kama kakutuma lazima akae maana atabanwa haswa. Lazima watu wanaoichafua nchi yetu kwa rushwa washughulikiwe
 
Meneja Ruler anafanya kazi chini ya Mzee Kaflag. Hivyo sio rahisi atoe number halafu watu fulani wa TANESCO wakampa Kaka kabendera hiyo simu.
Kumbuka Kabendera is very powerful kwasababu ana pesa nyingi haram
 
Anzeni uchunguzi ndio nitawapa ushirikiano wakutosha,anzeni kuwahoji Meneja wa Kanda na wafanyakazi mikoa husika plus makao makuu ya kanda. Hii issue ipo wazi sana. Ulizeni ni barua ngapi zimeletwa ofisi ya kanda zikilalamikia michakato ya manunuzi ilivyoharibiwa na mzee Kabendera then mkishapata hizo barua wahojiwe walioandika hizo barua. Kiufupi Tanesco wajibikeni kwenye ishu kama hii na sio kujifungia ofisini kusema tunaomba namba za simu. Ukipewa taarifa onyesha kuchukua hatua na kwenye hushughulikia/kuchukua hatua ndipo utapata ukweli zaidi wa jambo husika.
Tumeanza uchunguzi hivyo uongozi umeomba namba yako ukisikilize kwa kuwa zipo taratibu za kitender
 
Kwanza kabisa naomba niwape pole nyingi kwa majukumu makubwa mliyonayo. Mungu awaongoze mtufikishe sehemu sahihi.

Pili naomba nitoe ombi langu la dhati kwenu kuhusu TANESCO hasa Kanda yangu ya Magharibi iliyo na ofisi mkoani TABORA.

Naomba niwafikishie malalamiko kuhusu mkuu wa kitengo cha manunuzi kanda ya MAGHARIBI (WEST ZONE).

Huyu jamaa anaitwa KABENDELA na ofisi yake ipo TABORA akisimamia manunuzi mikoa ya KIGOMA, TABORA, KATAVI na SHINYANGA.

Huyu jamaa ni mtu anayerudisha nyuma shirika la umeme Tanesco katika eneo hili kupitia idara ya MANUNUZI.

Huyu mzee Kabendela ni mla Rushwa. Kiufupi hafuati taratibu za manunuzi wala taratibu zilizowekwa na mifumo ya MANUNUZI kwa maana ya TANEPs. Kwa mfano anaweza kutoa letter of intention to award kwa mzabuni X alafu baada ya siku chache akatoa barua nyingine kwa mzabuni P baada ya kuhaidiana 10%. Taarifa za malalamiko zimeshamfikia Meneja wa Kanda, na baadhi ya vyombo husika lakini hakuna hatua stahiki na sahihi zinazochukuliwa.

Hakuna mfanyakazi hata mmoja wa Tanesco ndani ya Kanda asiyejua tabia mbaya na ulafi wa mzee Kabendela. Hivyo basi kwa kuwapa taarifa hizi naomba mfuatilie malalamiko haya na mfanye uchunguzi wa suala hili ili mchukue hatua mnazoona zitafaa kisafisha shirika lenu la TANESCO hasa idara ya Manunuzi kanda ya Magharibi.

Mzee Kabendela amekuwa kitovu na alama ya Rushwa kwa kanda nzima ya MAGHARIBI. Hivyo naomba uchunguzi wa kuproove malalamiko yangu ufanyike na hatua mtahiki zichukuliwe kwa mtuhumiwa huyu bila kuonewa apewe haki yake.
Tanesco tabora na wilaya zake zote,wameoza kabisa,hawatoi huduma kwa haki,hivi sasa kika anayeomba kufungiwa umeme,ni lazima aote rushwa
 
Kama
Kwani hujui Ofisi za PCCB zilipo?

Peleka PCCB ndizo kazi zao hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani hujui Ofisi za PCCB zilipo?

Peleka PCCB ndizo kazi zao hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa ameshindwa kutoa namba ili kweli na mbichi ijulikane, unadhani anaweza kwenda PCCB? Thubutu!
Kwani hujui Ofisi za PCCB zilipo?

Peleka PCCB ndizo kazi zao hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom