Wwe wasema.Kwa hiyo unamaanisha hata huyu rais wetu ni kibaka?
Mimi nilijua penye wema na wabaya hawakosi maana hata watoto wako nyumbani hawafanani
Wwe wasema.Kwa hiyo unamaanisha hata huyu rais wetu ni kibaka?
Mimi nilijua penye wema na wabaya hawakosi maana hata watoto wako nyumbani hawafanani
Bora tuongozwe na wazanzibar twende SAwa kanda ya ziwa zamu wasubirie miaka 50 ijayo tumalize kanda zingine kwanza.Uongozi ni mzunguko KILA kandaWabara Sasa Ni muda wenu kupata mirindimo ya mama.
SI mnaongea Kama mmetafuna kinyesi
Nimefika dear
Lakini si mniache nimalizie maombolezo jamani?
ameshasema atakuwa anapima mabega, yakinyanyuka tu...anakula kichwa.Napenda mama anavyofanya ila na wasiwasi.
Ustaarabu wa Raisi Samia utafanya kazi kama anao waambia na kuwaongoza pia ni wastaarabu. La sivyo watampanda mpaka kichwani.
Ni hivi, ukiwa kwenye kundi la wastaarabu wakati na wewe ni mstaarabu mambo yataenda, lakini ukiwa wewe ni mstaarabu katika kundi la washenzi watakupanda kichwani.
Sasa viongozi wetu na sisi wananchi ni wastaarabu?
Tusubiri tuone.
Wale ni mataahila!Wale mliokuwa mnazimia uwanjani mpo wapi
Niache tindoJizi la kura uachwe ili iweje labda?
Mi ni yule injinia wa Jafo nilizimia na soda yangu mkononiWale mliokuwa mnazimia uwanjani mpo wapi
Ametenda vyema,hakuna "tumsifu yesu kristo"Wala asalaam aleikum,Hakika!
Mama yetu huyu ni kiongozi na uwasilishaji wa hotuba anautendea haki sana.
Kwenye hotuba zake hatukani wala hafoki hovyo
Tunahitaji viongozi wa namna hii wenye uwezo wa kutoa hotuba zikaeleweka kwa njia nyepesi tena hata bila kutoa mifano ya ngono, Hongera Rais Wetu.
Yule aliyekuwa anasubiri tv camera ndio azimie?Ngoja nikuitie mmoja
mama D
AMENUkiwa civilized huwezi kuwa mkali.Ukali ni udhaifu,
Mwingine alimwambia "baki na mavi yako nyumbani"Best yale matusi ya nguoni ya mwendazake umeyasahau? Ndo useme ana nafuu? Mwendazake amewah muuliza mama mmoja unataka kupanuliwa wapi? Imagine
Niache tindo
Ukiwa civilized huwezi kuwa mkali.Ukali ni udhaifu,
VyemaMkuu ukali ni sifa, yeye hakuwa mkali, bali alikuwa na jazba.
Bandari. Jafo. Bashiru.Mpaka sasa hivi tokea akiwa Makamu wa raisi, sijaona kitu kinacho niambia kuwa ni strict kama unavyo sema.
Nampenda huyu mama wasiwasi wangu ni sisi, hatuja staarabika kujiongoza bila kubanwa.