Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,439
- 50,960
nnhhh, nimejaribu kupitia sheria za kodi ya mapato (Second Schedule), sikuona mahali majaji wamesamehewa kulipa kodi ya PAYE. Ni Rais wa URT na yule wa Zanzibar ndio wamesamehewa. Labda kama kuna kitu kinafichwa, ambacho tecnically ni illegal
Ni kweli mishahara ya Majaji Tanzania haikatwi kodi?
Ukaguzi hauwezi kuwaacha salama? There is no positive discrimination? Unakwenda na kurudi, mind you! Rushwa anazoziita Mkuchika ni ndogo its just the scale huwa zina tabia ya kukua as they grow they become corporate corrupt and then state corruption that is when decay and failure starts...
www.jamiiforums.com