Rais, Majaji na wote wasiokatwa kodi kwenye mishahara yao ni muda muafaka nao waanze kulipa kodi

nnhhh, nimejaribu kupitia sheria za kodi ya mapato (Second Schedule), sikuona mahali majaji wamesamehewa kulipa kodi ya PAYE. Ni Rais wa URT na yule wa Zanzibar ndio wamesamehewa. Labda kama kuna kitu kinafichwa, ambacho tecnically ni illegal
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Uko sahihi....kodi ni swala la kizalendo kwa kila raia...kama kweli ni uzalendo. Na kila mtu alipe kutokana na kipato chake. Majaji, Wabunge na vigogo wote walipe, maana wao ndio wazalendo zaidi wanajiita.
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Hii nchi ni kichwa cha mwenda wazimu wanaochukua mishahara mikubwa na marupurupu wao hawalipi kod et walim manes polis n.k
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Rais halipi kodi kwasababu inchi na pesa yote ni yake pamoja na hii hewa na pumnzi yetu ni mali yake

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!

Enyi wanufaika wa malipo bila kodi stahiki oneni japo aibu basi?
 
Hakuna namna inabidi nao walipe kodi.

Hatuwezi kuwa na Taifa la "walipa kodi" na "watumia kodi". Lazima usawa uwepo kwenye kulipa kodi, sote tujenge nchi

Kibaya zaidi hao waliopewa upendeleo wa kutokulipa kodi, ndio sehemu ya kukandamiza haki za wananchi wengine!
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Ni kweli kabisa. Katika mataifa mengine uzalendo hupimwa kwa namna mtu anavyochangia katika uchumi kwa njia ya kulipa kodi. Tanzania misamaha imewekwa kwa wale wenye kipato cha mshahara mkubwa, misamaha ya kosi kwenye mishahara, ankara za umeme, simu na maji wanalipiwa Hapa kwetu ukwepaji kodi na misamaha ya kodi ndiyo kipimo cha ukaribu na wale wanaojiita wazalendo kwa maana wale waliokaribu na watawala wanaoweza kutoa maelekezo kwa watoza kodi kwa kupiga simu au vimemo. Mzigo mkubwa anatwishwa mlalahoi.
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Mbali ya kutolipa Kodi, anakula bure, ananunuliwa nguo, kila kitu bure tu
 
Uzalendo uanze na viongozi wenyewe

Walipe Kodi kwanza kwanini wao hawalipi???

Kwa maoni yangu wanaopaswa kuwa exempted na Kodi ni Watu wa vyombo vya Ulinzi Na Usalama tu.
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Uko sahihi mkuu, kama wanatangaza kulipa kodi ndo uzalendo basi na wao walipe kodi maana wanatuibia mchana kweupe halafu wanatulaghai eti tuwe wazalendo, nyooooo....!!!!! Machinga endeleeni kuchukua bidhaa kutoka kwenye maduka makubwa muuze bila kuzilipia kodi maana ni ujambazi tunafanyiwa na Rais, Majaji, Wabunge, Askari na wengineo wasiolipa kodi
 
Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja.

Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji ambao hawakatwi kodi kabisa kwenye mishahara yao

Majuzi hapa waziri wa fedha amesema bungeni kuwa katika mwaka huu wa fedha wameweka kodi kwenye laini ya Simu, kwamba watu watakuwa wakikatwa kuanzia shilingi 10 hadi 200 kila siku kulingana na uingizaji wao wa salio, wao wanaita eti kodi ya "Uzalendo".

Waziri wa fedha anasema eti pesa hizo zinatakiwa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa mahospitalini. Ngoja nimkumbushe Waziri wa fedha Chanzo kizuri cha mapato ya serikali, Waziri ajue kuwa kuna wananchi nchi hii hawalipi kodi kwenye mishahara yao mfano ni RAIS na MAJAJI.

CCM huwa wanapenda kujitangaza kuwa nchi hii ni nchi ya kijamaa, Umewahi kuona ujamaa wa wapi wenye matabaka ya wazi ya namna hii ikiwemo ukosefu wa Usawa kwenye kulipa kodi?

Yaani sisi walalahoi kila siku tukamuliwe kodi ila top Class wao wale tu mishahara itokanayo na kodi zetu lakini wao wasilipe kodi, hii fairness ya wapi?

Tunataka sheria ibadilishwe, Kila anayepaswa kulipa kodi alipe kodi. Rais alipe kodi, Majaji walipe kodi na yeyote yule aliyepewa kinga ya kulipa kodi alipe.

Haiwezekani ionekane eti rais kulipa kodi ni kitu kibaya kwake lakini eti kiwe wajibu kwa raia wa kawaida!
Labda Kwa KATIBA MPYA sio hii ya CCM
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom