Rais Magufuli yupo vizuri katika kuainisha matatizo changamoto inakua katika kutatua hayo matatizo

Cvez

JF-Expert Member
May 19, 2018
4,344
13,073
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu katika kipaji ambacho Mungu amemjalia ni uwezo mkubwa na ujasiri wa kuainisha tatizo na kuliongelea bila kung'ata maneno. Kupitia njia hii imemsaidia kumpatia mashabiki lukuki kabla na baada ya kua rais.

Kuna issue ya ufisadi alionyesha ujasiri kuiongelea, mikataba mibovu, vyeti feki na watumishi hewa, nidhamu makazini, watu kuendekeza siasa badala ya kazi, haja ya kua na ndege zetu, na miradi mikubwa ya kimaendeleo. Yote haya yalikua ni matatizo ndani ya jamii za Watanzania na akiongelea kila mwananchi ana afiki.

Tatizo linaanzia hapa sasa, kwenye kutatua hayo matatizo solutions zake unachoka kabisa. Solutions hewa kabisa na akijaribu kutatua pitia hizo njia zake matokeo yanakuwa mabovu au kutokuleta matokeo yenye kuridhisha.
 
Hicho sio kipaji mkuu, nakuambia hata umlete mmarekan hapa anaweza pengine kutaja matatizo yetu kuliko hata huyo na wengine wengi

Tatizo tulilonalo ni namna ya kutatua, si leo wala jana, ni tatizo kwa waafrika wengi

Mie nimekuwa mara zote nawaambia watu tuchague rais anayesema namna ya kutatua tatizo na sio yule anayeweza kulitaja tatizo kwa hisia, wengine (tabia ya wanasiasa) wanaweza hata kulia wanapotaja matatizo lakin tatizo hawana namna ya kutatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu katika kipaji ambacho Mungu amemjalia ni uwezo mkubwa na ujasiri wa kuainisha tatizo na kuliongelea bila kung'ata maneno. Kupitia njia hii imemsaidia kumpatia mashabiki lukuki kabla na baada ya kua rais.

Kuna issue ya ufisadi alionyesha ujasiri kuiongelea, mikataba mibovu, vyeti feki na watumishi hewa, nidhamu makazini, watu kuendekeza siasa badala ya kazi, haja ya kua na ndege zetu, na miradi mikubwa ya kimaendeleo.... Yote haya yalikua ni matatizo ndani ya jamii za Watanzania na akiongelea kila mwananchi ana afiki.

Tatizo linaanzia hapa sasa, kwenye kutatua hayo matatizo solutions zake unachoka kabisa. Solutions hewa kabisa na akijaribu kutatua pitia hizo njia zake matokeo yanakua mabovu au kutokuleta matokeo yenye kuridhisha.
Mtoa mada nakupongeza kwa kuliona hili. Lakini nikukumbushe kitu.

Rais Magufuli anapotaja matatizo nia yake si kuyatatua. Huwa anayataja hayo kama tuhuma kuchafua serikali za awamu zilizopita ili zionekane si lolote si chochote bali yeye serikali yake ndo bora zaidi.

Na inapotokea anataja matatizo/tuhuma kwa idara au watendaji chini ya serikali yake basi tambua anafanya hivyo kwakuwa kwa misingi ifuatayo.

1. Idara hizo au watendaji hao wamejipatia umaarufu fulani kutokana na utendaji wao na yeye anajawa na husda kwanini umaarufu/sifa hizo ziwahusu wao badala yeye. Kwahiyo anaibua tuhuma ili kuharibu umaarufu wao. Ukitaka kujua hili angalia kilichotokea kwa January Makamba (mafanikio vita dhidi ya plastiki), CAG Mussa Asad (kuibua upotevu wa sh1.5T), Kumbuka alimpa maagizo CAG mpya akasafishe NAOT eti kuna mambo mengi ya hovyo.

2. Anafanya hivyo kuhalalisha nia ya "kutumbua" kama "kafara" katika "kuzuga" uozo fulani ambao unaihusu serikali yake ili isionekane kuwa Rais ni mzeme. Mfano wa hii ni utumbuaji wa mawaziri katukana na matatizo katika wizara ya mambo ya ndani, kilimo na viwanda na Kamishna wa TRA.
 
Mtoa mada nakupongeza kwa kuliona hili. Lakini nikukumbushe kitu.

Rais Magufuli anapotaja matatizo nia yake si kuyatatua. Huwa anayataja hayo kama tuhuma kuchafua serikali za awamu zilizopita ili zionekane si lolote si chochote bali yeye serikali yake ndo bora zaidi.

Na inapotokea anataja matatizo/tuhuma kwa idara au watendaji chini ya serikali yake basi tambua anafanya hivyo kwakuwa kwa misingi ifuatayo.

1. Idara hizo au watendaji hao wamejipatia umaarufu fulani kutokana na utendaji wao na yeye anajawa na husda kwanini umaarufu/sifa hizo ziwahusu wao badala yeye. Kwahiyo anaibua tuhuma ili kuharibu umaarufu wao. Ukitaka kujua hili angalia kilichotokea kwa January Makamba (mafanikio vita dhidi ya plastiki), CAG Mussa Asad (kuibua upotevu wa sh1.5T), Kumbuka alimpa maagizo CAG mpya akasafishe NAOT eti kuna mambo mengi ya hovyo.

2. Anafanya hivyo kuhalalisha nia ya "kutumbua" kama "kafara" katika "kuzuga" uozo fulani ambao unaihusu serikali yake ili isionekane kuwa Rais ni mzeme. Mfano wa hii ni utumbuaji wa mawaziri katukana na matatizo katika wizara ya mambo ya ndani, kilimo na viwanda na Kamishna wa TRA.
Kabisa nilikua nalifikiria hili ila jinsi ya kuwasilisha nilikua nashindwa. Asante kwa uchambuzi mujarab
 
Tanzania tunajivunia Rais Magufuli Mzalendo
Afadhali watanzania wameanza kuelewa mchezo unaochezwa awamu hii. Ni kutunga show kubwa kubwa lakini utekelezaji hakuna. Ndio maana vyombo vya habari vimepokwa na vyama vya upinzani vimeuwawa kwa nguvu yote ili kuficha ukweli. Tumechoka na sasa tunataka mabadiliko ya kweli.
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu katika kipaji ambacho Mungu amemjalia ni uwezo mkubwa na ujasiri wa kuainisha tatizo na kuliongelea bila kung'ata maneno. Kupitia njia hii imemsaidia kumpatia mashabiki lukuki kabla na baada ya kua rais.

Kuna issue ya ufisadi alionyesha ujasiri kuiongelea, mikataba mibovu, vyeti feki na watumishi hewa, nidhamu makazini, watu kuendekeza siasa badala ya kazi, haja ya kua na ndege zetu, na miradi mikubwa ya kimaendeleo. Yote haya yalikua ni matatizo ndani ya jamii za Watanzania na akiongelea kila mwananchi ana afiki.

Tatizo linaanzia hapa sasa, kwenye kutatua hayo matatizo solutions zake unachoka kabisa. Solutions hewa kabisa na akijaribu kutatua pitia hizo njia zake matokeo yanakuwa mabovu au kutokuleta matokeo yenye kuridhisha.
Bangi ya wapi umevuta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu katika kipaji ambacho Mungu amemjalia ni uwezo mkubwa na ujasiri wa kuainisha tatizo na kuliongelea bila kung'ata maneno. Kupitia njia hii imemsaidia kumpatia mashabiki lukuki kabla na baada ya kua rais.

Kuna issue ya ufisadi alionyesha ujasiri kuiongelea, mikataba mibovu, vyeti feki na watumishi hewa, nidhamu makazini, watu kuendekeza siasa badala ya kazi, haja ya kua na ndege zetu, na miradi mikubwa ya kimaendeleo. Yote haya yalikua ni matatizo ndani ya jamii za Watanzania na akiongelea kila mwananchi ana afiki.

Tatizo linaanzia hapa sasa, kwenye kutatua hayo matatizo solutions zake unachoka kabisa. Solutions hewa kabisa na akijaribu kutatua pitia hizo njia zake matokeo yanakuwa mabovu au kutokuleta matokeo yenye kuridhisha.
Biblia yasema.Ukiwaumiza ukiwaonea masikini Hakuna utakalofanya likafaulu
 
Back
Top Bottom