Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Makumbele

Member
May 9, 2009
65
390
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?

---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.

Lissu A.JPG
 
Pole Mukulu utapata ahueni tu. jPM amepumuzika anaswalia home, kinàkukera chipim
Umeona eeeh!??? Mara hawataki kumwona mara yuko wapi!??? Hawa mburura ni noma. Kuna mtu aliwahi kusema hawa jamaa hata hawajui wanataka nini, nimeamini hiyo kauli.

Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndiyo hatari
Naogopa asijepata madharaaaa

Credits: Zuhura Zuchu
 
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine... Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
Ilikuwa asali kkkt azania naona imepigwa azuwea.
Naomba niishie hapo tafadhali
 
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
Mheshimiwa akienda kanisani kama mlei wa kawaida huwezi kusikia habari zake, ila akienda kama Rais na kutoa neno la shukurani ndipo habari zake husambaa haraka kama moto wa nyikani.
 
BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
 
Back
Top Bottom