Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,335
- 17,840
Hata huyo Jiwe ni mkabila sana. Angalia teuzi zake na matumuzi ya hovyo ya fedha kwa kanda ya ziwa na wilaya ya ChattoEthiopia wamegawanyika sana kiukabila, mimi naona hayo ndiyo maendeleo ambayo Tz ndio tunajaribu kuyaiga kutoka kwao chini ya huu utawala wa kiimla.