Rais Magufuli: Your Excellence I'm trying but I can't reach you

Sasa kwani hoja ni nini, kama siyo kuelewa? Mwenzako Dr. Chakwera naye kakubaliana na mwenyeji wake kwa kupiga makofi, yaani KAELEWA. English fake hapo iko wapi!?

Hayo mnayo site sisi tulifundishwa kuwa "ni common mistakes in English" ambayo hata wakati fulani PM wa Uingereza aliwahi kuyafanya lakini audience yake ilimwelewa. Halafu why dwell on petty issues na kuacha kuzungumzia kushindwa kwa wapinzani in the coming GE hapo 28/10/2020!?
Hoja ni kwa nini amiliki phD kisha hajui kingereza? Kama vipi afute hiyo phD abakie na vyeti vya darasa la saba kama Msukuma na kibajaji
 
Kiingereza na kiswahili ndizo lugha rasmi za taifa, na kiingereza ndicho kinatumika zaidi kwenye kutunga sheria zetu na kumpelekea rais aipitishe au aikatae.
Mpaka leo mahakama kuu hutumia kingereza kutoa hukumu zake
 
My God. What are trying to write.

We are supposed to focus accordingly, of course what you oppose is what you support

I hate much know people like you .
What are trying to write.
What are you trying to write
 
Katika Utawala huu wa Kidikteta wa Msukuma toka Chato asiyejua kutema Mayai sawasawa kuna maneno 3 yamepoteza kabisa maana yake Halisi:
1. MZALENDO.
2. MSALITI.
3. BEBERU
.
Wanatumia hivi vineno vitatu kwa kudhani watanzania ni wajinga kuliko wao, mbumbumbu wote wa CCM wamevikariri hayo maneno matatu utazani yana vitamini vya kutibu majaraha waliyowasababishia wapinzani na wafanyabiashara wakubwa
 
Ila Pascal haya mambo ya kaka yako ungejitoa na kukaa pembeni maana unazidi kumchora tuu.
Au ndio nia yako kisayansi kumchapa? Mfano ukiambiwa andika tafsiri hapa utaandikaje?

View attachment 1595071
Mkuu Chakaza , lugha is not a big deal, WaChina hawazungumzi lugha nyingine yoyote zaidi ya Kichina and they are ahead of everything na soon wanakwenda kuitawala dunia!.

Magufuli baada ya kumpa mitano tena hapo October 28, 2025 tukiamua kumuongeza 10, Tanzania inakuwa kinara wa uchumi Africa
P
 
Mkuu Chakaza , lugha is not a big deal, WaChina hawazungumzi lugha nyingine yoyote zaidi ya Kichina and they are ahead of everything na soon wanakwenda kuitawala dunia!.

Magufuli baada ya kumpa mitano tena hapo October 28, 2025 tukiamua kumuongeza 10, Tanzania inakuwa kinara wa uchumi Africa
P
Hao wachina hivi sasa wanajifunza lugha nyingi ili wafanye biashara na dunia, hata bidhaa zao hawaziandiki kichina kama zamani.
 
Huu ni upotoshaji. Alisema dola inapotumika ipasavyo kutekeleza ilani ya chama kinachotawala, chama hicho lazima kiwe na uhakika wa kubaki madarakani. Chama kama chama kazi yake ni kutoa dira na kusimamia utekelezaji wake hiyo dira (ambao unafanywa na serikali)!
Jukumu la kusimamia ilani ya chama ni la serikali, jukumu la dola ni ulinzi tu.
Hapa naona unashindwa kupambanua dola (ulinzi) na serikali.
 
Amusing! How people cleverly find ridiculous ways of defending incompetence...

If a politician who delivers on his or her promises is incompetent, then we definitely need more of such politicians. In fact, I would urge them to be even more incompetent!
 
Mkuu Chakaza , lugha is not a big deal, WaChina hawazungumzi lugha nyingine yoyote zaidi ya Kichina and they are ahead of everything na soon wanakwenda kuitawala dunia!.

Magufuli baada ya kumpa mitano tena hapo October 28, 2025 tukiamua kumuongeza 10, Tanzania inakuwa kinara wa uchumi Africa
P
Mkuu Pascal Mayalla hebu nawe acha kujivesha hilo joho wajiveshalo wasio utaka ukweli.
Lugha sio big deal ni kweli, lakini kama hujui lugha uliyojifunzia hadi kiwango cha juu kabisa cha elimu huoni inatia mashaka?
Hao Wachina wasio jua lugha zingine sio hoja maana wanajifunza kwa lugha yao hadi popote watakapo.
 
Mkuu Pascal Mayalla lakini kama hujui lugha uliyojifunzia hadi kiwango cha juu kabisa cha elimu huoni inatia mashaka?
Mkuu Chakaza, haya ya kutilia mashaka, shauri yako, mii simo!, kuna mtu alitilia mashaka kitufulani, he just vanished into thin air!, usije ukasema sikukuambia!. Kuna watu wa kutiliwa mashaka na kuna vitu ukiambiwa unatakiwa kuamini tuu 100% kwa 100%

Mfano kama unanijua mimi kila siku niko kila siku niko bongo kisha mara ghafla nikatunukiwa Ph.D ya Juris Doctor kutoka Harvard, ulipofungua prospectus ya kupata JD ya Harvard ukakuta ni kozi ya Full Time 4-year course, na inasomwa kwa coursework and dissertation hivyo mtu lazima ukae darasani miaka 4!. Ukiniangalia hakuna siku nimeondoka Tanzania, au nimechukua sabbatical leave, mtu kama mimi, you can doubt me, lakini watu wengine sio wa ku doubt hata kidogo!, utapotea!.
P
 
Back
Top Bottom