King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,614
I'm traingi small small......Mkuu King Kong III , naona Lingua Franca inapanda sana
p
I'm traingi small small......Mkuu King Kong III , naona Lingua Franca inapanda sana
p
Majitu ya ovyo bado yapo.. Japan na China wanafundishwa shuleni kwa kiingereza?Unategemea na mwalimu wake wa awali wa Kiingereza alikuwa vipi. Isitoshe kiingereza ni lugha ya mabeberu. Huko Japan na China mbona hamuwasemi?
Kujua na kutumia ni vitu viwili tofauti...Kwa hiyo unataka kusema yeye ni mshamba kwa kutumia lugha ya watu!
Ukishaona unakasirishwa na kuanza kuandika kwaku ropoka ujue kabisa, inahitaji matukio kadhaa yakujifunza upate busara na utulivu wa moyo...Ukikua utaacha🤣🤣🤣Upumbavu ni kipaji.
Ukilaza ni laana.
Utumwa wa kimagharibi upo kwenye lugha tu!?
Kifaa ulichotumia kuandikia huo upupu wako ni zao la uhuru wa Kitanzania?
Hizo nguo zako ulizovaa ni zao la uhuru wa Kitanzania!?
Hizo "lamivudine" unazomeza ni zao la uhuru wa Kitanzania!?
Jifunze kuandika kwa ufasaha kwanza ndio urudi JF.Ukishaona unakasirishwa na kuanza kuandika kwaku ropoka ujue kabisa, inahitaji mtukio kadhaa yakujifunza upate busara na utulivu wa moyo...Ukikua utaacha
Utatumia bila kujua!Kujua na kutumia ni vitu viwili tofauti...
Kwa muda mrefu Wachina wamekua wakipeleka top Cream ya wanafinzi wao vyuo voluut vya Marekani na Uingereza. Pamoja na kujifunza utaalamu pia wanajifunza lugha. Top officials wa China wengi wanaongea Kiingereza.Mkuu Chakaza , lugha is not a big deal, WaChina hawazungumzi lugha nyingine yoyote zaidi ya Kichina and they are ahead of everything na soon wanakwenda kuitawala dunia!.
Magufuli baada ya kumpa mitano tena hapo October 28, 2025 tukiamua kumuongeza 10, Tanzania inakuwa kinara wa uchumi Africa
P
Achana na mmWewe umeshika madaraka yoyote nchi hii?
Kile hakikuwa kiingereza ila ni lugha chafu inayofanana na kiingereza
Batcrap..Kuna Mgombea amekua akimsema Ndugu yetu kuwa hajui Kingereza ; jana kaongea basi ; full time. Waliokuwa wakisema Hakijui wamenoa; waliokuwa wakisema haendi Ulaya ; UN , ikiwemo kuonana na Malkia Elizabeth wameaibika
Gooo Goooo Gooooo Magufuli Gooooo
View attachment 1593611