Rais Magufuli: Your Excellence I'm trying but I can't reach you

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,533
8,619
Kuna Mgombea amekua akimsema Ndugu yetu kuwa hajui Kingereza ; jana kaongea basi ; full time. Waliokuwa wakisema Hakijui wamenoa; waliokuwa wakisema haendi Ulaya ; UN , ikiwemo kuonana na Malkia Elizabeth wameaibika

Gooo Goooo Gooooo Magufuli Gooooo

 
Kama rais kutoka nchi za commonwealth hawezi kuongea kiingereza huyo ana matatizo makubwa
Jamaa mmoja hapa na muhusika muhimu wa uwepo wa JF ana kamsemo kake kuwa " Ficha .....wako onyesha Hekima yako". Na kuna MwanaJF asubuhi ya leo kanifurahisha anasema, hajawahi kuona kiingereza kinatengeneza kilomita moja ya barabara na mimi namuunga mkono!
 
Msaliti wa Nchi anahisi kingereza Ndio sifa ya kuchaguliwa kuwa Rais

Wasaliti wakubwa wa nchi yetu mnajulikana, ambao mko tayari kubaki Madarakani kwa damu za wenzio, hamtaki kusikia wala kuona yeyote aliyekinyume nanyi miungu watu....ebu wewe bia yao tafakari hayo mambo.
1. Mawazo aliuawa Mchana Kweupe
2. Tundu Lissu anatandikwa risasi si tu mchana Kweupe bali eneo linalolindwa na Serikali
3. Mwandishi wa Habari Azory yuko wapi?
4. Ben Saanane yuko wapi?
5. Mlikatisha Maisha ya Binti Aquilina hivi hivi
6.........................................
7........................................
Mimi nadhani ninyi mmemshinda hata shetani kwa ubaya....yeyote akitokea kuhoji haya mambo mnasema msaliti !!!
 
Kama rais kutoka nchi za commonwealth hawezi kuongea kiingereza huyo ana matatizo makubwa
Baba wa Taifa aliweka wazi kuwa kujiunga Commonwealth ni kwa ajili kuimarisha ushirikiano wala sikuwa Submissive kwa Malkia wa Uingereza! Huo ndiyo msimamo wa Tanzania na watanzania wote wanaojielewa. Kusujudu kiingereza ni kuwa submissive kwa malkia!!! Ninatumia kiingereza kwa sababu ile ile aliyosisitiza Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Leta hoja nyingine!!!
 
Huo uwongo unaenezwa na CHADEMA
Wasaliti wakubwa wa nchi yetu mnajulikana, ambao mko tayari kubaki Madarakani kwa damu za wenzio, hamtaki kusikia wala kuona yeyote aliyekinyume nanyi miungu watu....ebu wewe bia yao tafakari hayo mambo....
 
Mkuu Phillemon Mikael , usiwasikilize wazushi, JPM, lingua Anglo hadi lingua Franca inapanda japo haijanyooka kivile, lakini ni enough kueleweka hadi kuhutubia UNGA na kueleweka. Huyu mtu amefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingereza halafu ashindwe Kiingereza cha kuombea maji, ule ni uzushi tuu wa kupuuzwa.
P
Hiyo PhD unakuja baada ya ground work ya kiingereza. Kama ground wirk haiko vizuri hata uote mvi lugha itakuwa nyota. Mtoto mdogo anaelewa lugha mapema sana yaani in a month ukienda nje na mtoto na say ukampeleka kujichanganya speed yake ya lugha mtu mzima hata nusu ya Robo hawezi kufikia I.e 12.5%
 
Mkuu Phillemon Mikael , usiwasikilize wazushi, JPM, lingua Anglo hadi lingua Franca inapanda japo haijanyooka kivile, lakini ni enough kueleweka hadi kuhutubia UNGA na kueleweka. Huyu mtu amefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingereza halafu ashindwe Kiingereza cha kuombea maji, ule ni uzushi tuu wa kupuuzwa.
P
Unaposema haijanyooka unamaanisha nini? Sema mother tongue yake tu iko hivyo.
 
Kwanza kiingereza siyo lugha yetu kabisa. Kwangu mimi ni lugha ya 4 naada ya lugha ya baba, mama, Kiswahili then English. Hivyo amejitahidi sana huyu. Ujumbe umefika hata kama grammar hazikutani.
Ni kweli tunajitahidi Mimi kingereza ni lugha ya tatu wakati wenzetu waingereza na wamarekani wanajua lugha moja tu kiingereza

Kujilinganisha nao ujinga cha muhimu message ifike full stop

Tuna wahindi Tanzania kiswahili hawawezi lakini wakiongea cha msingi kupata meseji

I am proud of my broken down up English
 
Kwanza kiingereza siyo lugha yetu kabisa. Kwangu mimi ni lugha ya 4 naada ya lugha ya baba, mama, Kiswahili then English. Hivyo amejitahidi sana huyu. Ujumbe umefika hata kama grammar hazikutani.
Uelewa wako unaishia umbali wa futi 2. Yaani unathubutu kuandika ndani ya JF, huku hujui hata official languages za nchi yako!

Lugha rasmi za nchi yetu, ya kwanza ni English, ya pili ni Kiswahili. Ndiyo maana hata sheria zetu zinaandikwa kwa English halafu zinatafsiriwa kwenda Kiswahili. Hata katiba yetu iliandikwa na kufanyiwa marekebisho kwa Kiingereza.

Kama unaweza kufundishwa lugha toka shule ya msingi mpaka university, halafu bado hujui, ina maana hufundishiki. Kama hufundishiki, ina maana una very low IQ. Yaani uwezo wa akili yako ni mdogo sana.
 
Kiingereza gani cha

"We are supposed to change the directions"

Wewe umewahi kuona waaapi kiingereza cha hivyo?
Kwani wewe mwingereza ? Wewe so in mndengereko wa kimanzichana sasa hivi unaishi maeneo ya buguruni kwa kimbengele

Kingereza wewe ulikionea wapi? Kwani kiingereza ni MTU?
 
Back
Top Bottom