lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Habari familia ya jf.
Mh Rais,watu wa Kilosa watafurahi sana kama WEMBE ule uliotumia kumtumbua jipu KITWANGA ugeuze upande wa pili umtupumbu jipu mkuu wa mkoa wa morogoro Steven kebwe.
RC huyu ni jipu linafurumia halihitaji WEMBE mkali maana liguswa hata na WEMBE ulotumika linapasuka
Hivi karibu kebwe alipewa jukumu na Katibu mkuu wa ccm,baada ya kusikiliza matatizo ya wakulima kuporwa mashamba yao zoezi lililoongozwa na afisa tarafa ya Magole ndugu nchimbi na kundi lake, la kuchukua hatua dhidi ya afisa tarafa ya Magole ndugu nchimbi, kwa tuhuma ya kuomba rushwa ya kulimiwa shamba na mkulima mmoja ili asiligawe shamba la mkulima huyo kwa Rafiki zake.
Rc kebwe alihaidi kufanya hivyo,na papo hapo alimsimamisha kazi Ndg nchimbi ili kupisha uchunguzi.
Kumbe Rc kebwe alikuwa anafunika Kombe mwanaharamu apite.
Rc hakuunda tume ya uchunguzi,kama haitoshi afisa tarafa nchimbi bado yupo kazini.
Sasa imefahamika na kudhihirika wazi kuwa nyuma ya uporaji mashamba ya wanyonge yupo mkuu huyo wa mkoa ndugu kebwe.
Mh Bashiru Rc kebwe anawaumiza sana wananchi wa tarafa za kimamba na Magole kwa maslahi yake.
Wananchi walihisi kuwa DC ndiye jipu,kumbe ni Rc.
Mh Rais komesha uozo uliopo wilaya hiyo kwa kuwatumbua RC NA DC ILI WENGINE WATAKAOKUJA KUWATUMIKIA WANA MOROGORO WOTE WAOGOPE.
Mh Rais,watu wa Kilosa watafurahi sana kama WEMBE ule uliotumia kumtumbua jipu KITWANGA ugeuze upande wa pili umtupumbu jipu mkuu wa mkoa wa morogoro Steven kebwe.
RC huyu ni jipu linafurumia halihitaji WEMBE mkali maana liguswa hata na WEMBE ulotumika linapasuka
Hivi karibu kebwe alipewa jukumu na Katibu mkuu wa ccm,baada ya kusikiliza matatizo ya wakulima kuporwa mashamba yao zoezi lililoongozwa na afisa tarafa ya Magole ndugu nchimbi na kundi lake, la kuchukua hatua dhidi ya afisa tarafa ya Magole ndugu nchimbi, kwa tuhuma ya kuomba rushwa ya kulimiwa shamba na mkulima mmoja ili asiligawe shamba la mkulima huyo kwa Rafiki zake.
Rc kebwe alihaidi kufanya hivyo,na papo hapo alimsimamisha kazi Ndg nchimbi ili kupisha uchunguzi.
Kumbe Rc kebwe alikuwa anafunika Kombe mwanaharamu apite.
Rc hakuunda tume ya uchunguzi,kama haitoshi afisa tarafa nchimbi bado yupo kazini.
Sasa imefahamika na kudhihirika wazi kuwa nyuma ya uporaji mashamba ya wanyonge yupo mkuu huyo wa mkoa ndugu kebwe.
Mh Bashiru Rc kebwe anawaumiza sana wananchi wa tarafa za kimamba na Magole kwa maslahi yake.
Wananchi walihisi kuwa DC ndiye jipu,kumbe ni Rc.
Mh Rais komesha uozo uliopo wilaya hiyo kwa kuwatumbua RC NA DC ILI WENGINE WATAKAOKUJA KUWATUMIKIA WANA MOROGORO WOTE WAOGOPE.