Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,061
Habari,
Nadhani wote tunajua ni zaidi ya miaka mitatu sasa tangu Magufuli achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania.
Ndani ya muda huu Tanzania imekuwa na mahusiano mabaya sana na nchi za wazungu kutokana na matendo na maamuzi ya Rais Magufuli.
Tanzania ni mali ya watanzania, hivi wazungu wanakosea nini kukwambia uheshimu taratibu tulizojiwekea wenyewe na wewe uligombea uongozi ukijua zipo tena ni kwa faida ya watu wako waliokuchagua ??!
Kabla hujagombea uliona kabisa urais ni mzigo, kuna kukosolewa, kutukanwa, kuzodolewa na kulalamikiwa na watu wanaokulipa mshahara na kila kitu, sasa kama ulijua huwezi kuvumilia hayo ni kwanini uligombea, maana siyo lazima ?
Leo wachina wanakujua kuwa huna altenative na watakuburuza sana kwa mikopo isiyolipika na bond za raslimali, huna tena pa kukimbilia ?
Nadhani wote tunajua ni zaidi ya miaka mitatu sasa tangu Magufuli achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania.
Ndani ya muda huu Tanzania imekuwa na mahusiano mabaya sana na nchi za wazungu kutokana na matendo na maamuzi ya Rais Magufuli.
Tanzania ni mali ya watanzania, hivi wazungu wanakosea nini kukwambia uheshimu taratibu tulizojiwekea wenyewe na wewe uligombea uongozi ukijua zipo tena ni kwa faida ya watu wako waliokuchagua ??!
Kabla hujagombea uliona kabisa urais ni mzigo, kuna kukosolewa, kutukanwa, kuzodolewa na kulalamikiwa na watu wanaokulipa mshahara na kila kitu, sasa kama ulijua huwezi kuvumilia hayo ni kwanini uligombea, maana siyo lazima ?
Leo wachina wanakujua kuwa huna altenative na watakuburuza sana kwa mikopo isiyolipika na bond za raslimali, huna tena pa kukimbilia ?