ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,046
- 2,931
Kibiti wao wanafanya matendo wakati rais anapiga mikwara
Naomba kurlewa hapa wamenyooka vipi na wanauona moto vipi ilhali so far mashambuluzi ni upande mmoja na hatujasikia mtu kukamatwa?au ndio wale maiti okotwa zisizojulikana ndio majibu ya serikali?mwenye kuielewa kauli ya jemedari wetu anifafanulie maana mpaka sasa Sirro na vijana wetu wa usalama wameshindwa kutupa jawabu lenye matumaini kama la Amuri Jeshi wetu !Rais John Magufuli amewataka Watanzania wawaombee wanaofanya mauaji mkoani Pwani, waokoke ili wajue kuwa damu ya mtu ina thamani kubwa.
Ameyasema hayo (Jumanne) wakati akihutubia katika mkutano wake wa kwanza katika ziara yake ya siku tatu, mkoani Pwani.
“Niwaombe wananchi wa Pwani, msishirikiane na watu waovu, wanachelewesha maendeleo. Ndiyo maana huko Kibiti hata viwanda hakuna, hakuna imani ya dini inayosema watu kuuana,” amesema.
Amesema Serikali ya Awamu ya Tano si ya kuchezea kwa sababu mpaka sasa wauaji hao wameshaanza kuuona moto.
“Watanyooka, actualy wameshaanza kunyooka, kama wapo hapa wanaotusikiliza, wakapeleke salamu,” amesema na kuongeza;
“Niwaombe sana, tuwaombee hawa watu waokoke, ili wajue damu ya mtu ina thamani kubwa.”
Serikali wanaujua huu ugomvi nje ndani hawasemi kwa maslahi mapana ta nchi na niko upande wao kwa ukimya huu!Hata mm sipendi mauaji kbs. Ni ujinga tuu maana hata wanachokitaka hawasemi.