Rais Magufuli, Watanzania wangejua hii historia ya Bulyankulu na Mwadui wangelia hata zaidi

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,769
Nimeguswa na uchungu alioonyesha Raisi Magufuli juu ya udanganyifu tunaofanyiwa katika sekta ya madini.

Nimejiuliza ikiwa Raisi Magufuli na wananchi kwa ujumla wanailewa kihalisi historia ya mgodi wa Bulyankulu (Bulyanhulu) na nani hasa alikuwa chanzo cha sie kuibiwa?

Labda kwa wale msiojua historia, dhahabu ya mgodi wa Bulyankulu iligunduliwa wakati wa Nyerere miaka ya 1970 na kampuni kutoka Sweden. Wakati wa majadiliano kuhusu uzalishaji, Nyerere alitaka Tanzania iwe na hisa ya 51% na wawekezaji wawe na 49%, kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamond mine. Nyerere alitaka mgodi huu uendeshwe na management ya Watanzania kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamonds. Wawekezaji toka Sweden walikataa wakitaka Tanzania iwe na 49% na wao ndio wawe na 51%. Nyerere alikataa, akawaambia kama hawataki Tanzania iwe na 51% waondoke. Nitamnukuu Nyerere alivyowaambia "dhahabu haiozi, kama hamtaki 49% ondokeni, tutaiacha hiyo dhahabu ardhini hadi tuje tuwe na uwezo wetu wenyewe wa kuichimba".

Sasa baada ya Nyerere kuacha uraisi, makubaliano yaliidhinishwa na Mkapa kutoka ile 49% aliyokataa Nyerere hadi kuwa 5% ya Mkapa, ambayo hata hiyo 5% ilikuja kuondolewa na Kigoda na Tanzania ikawa na 0% (ni wazi Kigoda aliagizwa na Mkapa - kwa hiyo suala la kutowachukulia hatua waliokufa linaweza lisiwe relevant). Ile kampuni ya mwanzo toka Sweden iliyogundua dhahabu Bulyankulu iliposikia Mkapa amekubali 5% ilienda mahakamani kuishitaki serikali na kampuni mpya kutoka Canada ya Bulyankulu Mining, wakisema wao ndio waligundua dhahabu ya Bulyanhulu na walikuwa tayari kuipa Tanzania 49% badala ya 5%. Hadi wakati huo hiyo kampuni ya Sweden ilikuwa na majengo yake pale Bulyankulu, ya ofisi na kulala, na haya ndiyo yaliyotumiwa na hii kampuni ya Canada pale mwanzoni. Serikali ya Mkapa ilisaidiana na kampuni mpya ya Canada ya Bulyankulu Gold mine, nadhani Chenge akiwa Mwanasheria Mkuu, kampuni ya Sweden ikashindwa kesi ambayo kwa kweli ilikuwa ni kushindwa kwa Tanzania kwa kutumia wanasheria wetu wenyewe!

Na si Bulyankulu tu ambayo Mkapa aliibadilisha. Baada ya Nyerere kuondoka madarakani, hata zile 51% tulizokuwa nazo Mwadui Diamonds zilibadilishwa na kuwa 25%. Sasa niwaambie kitu cha AJABU kilichotokea Mwadui Diamonds ndio mtaelewa kwa nini Watanzania tumefanywa wajinga waliwao!

Wakati Mwadui Diamonds ikiwa chini ya Tanzania kwa asilimia 51%, wawekezaji walitenga eneo la mgodi na kulifanya kuwa eneo la uwanja wa ndege, ambao pia ulitumika kama uwanja kwa ajili ya ndege za kibisahara (commercial airlines). Sasa kumbe siku zote walijua kwamba hili eneo la uwanja wa ndege ndilo lililokuwa na almasi kwa wingi sana!!!! Siku tu mkataba na serikali ulipobadilishwa kutoka 51% kuwa 25% hapo mwaka 1997 kama sikosei, walitangaza kwamba ule uwanja wa ndege ndani ya Mwadui Diamonds unafungwa ili uchimbwe almasi. Nasikia kuwa lile eneo lililokuwa uwanja wa ndege lilitoa almasi ambazo mgodi haukuwahi kutoa katika historia yote ya Tanzania kuwa na 51%!

Mkapa alitetea kwamba tutafaidika na kodi za mauzo - na kwa ujanja kampuni zikawa zinatangaza hasara au faida kidogo sana ili wasilipe kodi. Na hili la migodi na kukubali hizi 5% lilikuwa mojawapo ya mambo yaliyofanya uhusiano wa Mkapa na Nyerere uzorote hadi tuseme ufe, pamoja na suala la kuuza NBC na mashirika mengine. Nyerere alimwambia Mkapa "Nina wasiwasi siku moja nitasikia umebinafsisha magereza".
 
Mimi siku zote naamini sauti ya mwananchi ni BUNGE. Kilichotupata ni kuwa, huko vijijini elimu ni finyu na ndiko kunatuzalishia 'Team Ndiooooo' ndani ya MJENGO.

Siamini kama wapinzani hawakupinga mambo haya, lakini kwa kuwa team ndio uwanja ni wao na refa ni wao, mijadala ya kupinga mikataba hii ilizimwa. Mungu mwenye huruma anisamehe mimi Mwana Mtoka Pabaya kwa kuwa kipindi fulani maishani mwangu, nilishawahi kuwa mwanachama wa CCM.
 
Daahh mungu anamuona jmn inauma sana nampongeza sana raisi kwa kulisimamia hili

sawa Mkuu. Ila mie wasiwasi wangu mkubwa ni kwamba, baada ya miaka kumi ya Magufuli, aina gani ya raisi tutapata kuendeleza hii vita ya kuondoa madudu haya yote?

Nadhani ili kujenga mfumo wa maraisi kuwa na woga wa kuidhinisha madudu, kuna umuhimu sana wa kuondoa kinga ya raisi kushitakiwa. Itafanya maraisi wajao wawe na adabu ya kuiwajibikia nchi hii!
 
Daahh mungu anamuona jmn inauma sana nampongeza sana raisi kwa kulisimamia hili
Ni wajibu wake kulinda mali za taifa ndo maana tunamlipa makupulupu na mshahara mnono! Haina haja ya kumpongeza kwani ni sehemu ya kazi yake
 
Mimi siku zote naamini sauti ya mwananchi ni BUNGE. Kilichotupata ni kuwa, huko vijijini elimu ni finyu na ndiko kunatuzalishia 'Team Ndiooooo' ndani ya MJENGO.

Siamini kama wapinzani hawakupinga mambo haya, lakini kwa kuwa team ndio uwanja ni wao na refa ni wao, mijadala ya kupinga mikataba hii ilizimwa. Mungu mwenye huruma anisamehe mimi Mwana Mtoka Pabaya kwa kuwa kipindi fulani maishani mwangu, nilishawahi kuwa mwanachama wa CCM.

Mfano halisi huu hapa!

 
Nimeguswa na uchungu alioonyesha Raisi Magufuli juu ya udanganyifu tunaofanyiwa katika sekta ya madini.

Nimejiuliza ikiwa Raisi Magufuli na wananchi kwa ujumla wanailewa kihalisi historia ya mgodi wa Bulhankulu (Bulyanhulu) na nani hasa alikuwa chanzo cha sie kuibiwa?

Labda kwa wale msiojua historia, dhahabu ya mgodi wa Bulyankulu iligunduliwa wakati wa Nyerere miaka ya 1970 na kampuni kutoka kutoka Sweden. Wakati wa majadiliano kuhusu uzalishaji, Nyerere alitaka Tanzania iwe na hisa ya 51% na wawekezaji wawe na 49%, kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamond mine. Nyerere alitaka mgodi huu uendeshwe na management ya Watanzania kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamonds. Wawekezaji toka Sweden walikataa wakitaka Tanzania iwe na 49% na wao ndio wawe na 51%. Nyerere alikataa, akawaambia kama hawataki Tanzania iwe na 51% waondoke. Nitamnukuu Nyerere alivyowaambia "dhahabu haiozi, kama hamtaki 49% ondokeni, tutaiacha hiyo dhahabu ardhini hadi tuje tuwe na uwezo wetu wenyewe wa kuichimba".

Sasa baada ya Nyerere kuacha uraisi, makubaliano yaliidhinishwa na Mkapa kutoka ile 49% aliyokataa Nyerere hadi kuwa 5% ya Mkapa, ambayo hata hiyo 5% ilikuja kuondolewa na Kigoda na Tanzania ikawa na 0% (ni wazi Kigoda aliagizwa na Mkapa - kwa hiyo suala la kutowachukulia hatua waliokufa linaweza lisiwe relevant). Ile kampuni ya mwanzo toka Sweden iliyogundua dhahabu Bulyankulu iliposikia Mkapa amekubali 5% ilienda mahakamani kuishitaki serikali na kampuni mpya kutoka Canada ya Bulyankulu Mining, wakisema wao ndio waligundua dhahabu ya Bulyanhulu na walikuwa tayari kuipa Tanzania 49% badala ya 5%. Hadi wakati huo hiyo kampuni ya Sweden ilikuwa na majengo yake pale Bulyankulu, ya ofisi na kulala, na haya ndiyo yaliyotumia na hii kampuni ya Canada pale mwanzoni. Serikali ya Mkapa ilisaidiana na kampuni mpya ya Canada ya Bulyankulu Gold mine, nadhani Chenge akiwa Mwanasheria Mkuu, kampuni ya Sweden ikashindwa kesi ambayo kwa kweli ilikuwa ni kushindwa kwa Tanzania kwa kutumia wanasheria wetu wenyewe!

Na si Bulyankulu tu ambayo Mkapa aliibadilisha. Baada ya Nyerere kuondoka madarakani, hata zile 51% tulizokuwa nazo Mwadui Diamonds zilibadilishwa na kuwa 25%. Sasa niwaambie kitu cha AJABU kilichotokea Mwadui Diamonds ndio mtaelewa kwa nini Watanzania tumefanywa wajinga waliwao!

Wakati Mwadui Diamonds ikiwa chini ya Tanzania kwa asilimia 51%, wawekezaji walitenga eneo la mgodi na kulifanya kuwa eneo la uwanja wa ndege, ambao pia ulitumika kama uwanja kwa ajili ya ndege za kibisahara (commercial airlines). Sasa kumbe siku zote walijua kwamba hili eneo la uwanja wa ndege ndilo lililokuwa na almasi wa wingi sana!!!! Siku tu mkataba na serikali ulipobadilishwa kutoka 51% kuwa 25% hapo mwaka 1997 kama sikosei, walitangaza kwamba ule uwanja wa ndege ndani ya Mwadui Diamonds unafungwa ili uchimbwe almasi. Nasikia kuwa lile eneo lililokuwa uwanja wa ndege lilitoa almasi ambazo mgodi haukuwahi kutoa katika historia yote ya Tanzania kuwa na 51%!

Mkapa alitetea kwamba tutafaidika na kodi za mauzo - na kwa ujanja kampuni zikawa zinatangaza hasara au faida kidogo sana ili wasilipe kodi. Na hili la migodi na kukubali hizi 5% lilikuwa mojawapo ya mambo yaliyofanya uhusiano wa Mkapa na Nyerere uzorote hadi tuseme ufe, pamoja na suala la kuuza NBC na mashirika mengine. Nyerere aliwambia Mkapa "Nina wasiwasi siku moja nitasikia umebinafsisha magereza".
Mr. Clean buana...na rafiki yake AG
 
Nimeguswa na uchungu alioonyesha Raisi Magufuli juu ya udanganyifu tunaofanyiwa katika sekta ya madini.

Nimejiuliza ikiwa Raisi Magufuli na wananchi kwa ujumla wanailewa kihalisi historia ya mgodi wa Bulhankulu (Bulyanhulu) na nani hasa alikuwa chanzo cha sie kuibiwa?

Labda kwa wale msiojua historia, dhahabu ya mgodi wa Bulyankulu iligunduliwa wakati wa Nyerere miaka ya 1970 na kampuni kutoka kutoka Sweden. Wakati wa majadiliano kuhusu uzalishaji, Nyerere alitaka Tanzania iwe na hisa ya 51% na wawekezaji wawe na 49%, kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamond mine. Nyerere alitaka mgodi huu uendeshwe na management ya Watanzania kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamonds. Wawekezaji toka Sweden walikataa wakitaka Tanzania iwe na 49% na wao ndio wawe na 51%. Nyerere alikataa, akawaambia kama hawataki Tanzania iwe na 51% waondoke. Nitamnukuu Nyerere alivyowaambia "dhahabu haiozi, kama hamtaki 49% ondokeni, tutaiacha hiyo dhahabu ardhini hadi tuje tuwe na uwezo wetu wenyewe wa kuichimba".

Sasa baada ya Nyerere kuacha uraisi, makubaliano yaliidhinishwa na Mkapa kutoka ile 49% aliyokataa Nyerere hadi kuwa 5% ya Mkapa, ambayo hata hiyo 5% ilikuja kuondolewa na Kigoda na Tanzania ikawa na 0% (ni wazi Kigoda aliagizwa na Mkapa - kwa hiyo suala la kutowachukulia hatua waliokufa linaweza lisiwe relevant). Ile kampuni ya mwanzo toka Sweden iliyogundua dhahabu Bulyankulu iliposikia Mkapa amekubali 5% ilienda mahakamani kuishitaki serikali na kampuni mpya kutoka Canada ya Bulyankulu Mining, wakisema wao ndio waligundua dhahabu ya Bulyanhulu na walikuwa tayari kuipa Tanzania 49% badala ya 5%. Hadi wakati huo hiyo kampuni ya Sweden ilikuwa na majengo yake pale Bulyankulu, ya ofisi na kulala, na haya ndiyo yaliyotumia na hii kampuni ya Canada pale mwanzoni. Serikali ya Mkapa ilisaidiana na kampuni mpya ya Canada ya Bulyankulu Gold mine, nadhani Chenge akiwa Mwanasheria Mkuu, kampuni ya Sweden ikashindwa kesi ambayo kwa kweli ilikuwa ni kushindwa kwa Tanzania kwa kutumia wanasheria wetu wenyewe!

Na si Bulyankulu tu ambayo Mkapa aliibadilisha. Baada ya Nyerere kuondoka madarakani, hata zile 51% tulizokuwa nazo Mwadui Diamonds zilibadilishwa na kuwa 25%. Sasa niwaambie kitu cha AJABU kilichotokea Mwadui Diamonds ndio mtaelewa kwa nini Watanzania tumefanywa wajinga waliwao!

Wakati Mwadui Diamonds ikiwa chini ya Tanzania kwa asilimia 51%, wawekezaji walitenga eneo la mgodi na kulifanya kuwa eneo la uwanja wa ndege, ambao pia ulitumika kama uwanja kwa ajili ya ndege za kibisahara (commercial airlines). Sasa kumbe siku zote walijua kwamba hili eneo la uwanja wa ndege ndilo lililokuwa na almasi wa wingi sana!!!! Siku tu mkataba na serikali ulipobadilishwa kutoka 51% kuwa 25% hapo mwaka 1997 kama sikosei, walitangaza kwamba ule uwanja wa ndege ndani ya Mwadui Diamonds unafungwa ili uchimbwe almasi. Nasikia kuwa lile eneo lililokuwa uwanja wa ndege lilitoa almasi ambazo mgodi haukuwahi kutoa katika historia yote ya Tanzania kuwa na 51%!

Mkapa alitetea kwamba tutafaidika na kodi za mauzo - na kwa ujanja kampuni zikawa zinatangaza hasara au faida kidogo sana ili wasilipe kodi. Na hili la migodi na kukubali hizi 5% lilikuwa mojawapo ya mambo yaliyofanya uhusiano wa Mkapa na Nyerere uzorote hadi tuseme ufe, pamoja na suala la kuuza NBC na mashirika mengine. Nyerere aliwambia Mkapa "Nina wasiwasi siku moja nitasikia umebinafsisha magereza".
Nawaza tu,hivi tusingemuweka JPM madarakani,hali ingekuwaje?walai nadhani mkataba wa Tanzania kupata -0.01% ungepitishwa...
 
Mimi siku zote naamini sauti ya mwananchi ni BUNGE. Kilichotupata ni kuwa, huko vijijini elimu ni finyu na ndiko kunatuzalishia 'Team Ndiooooo' ndani ya MJENGO.

Siamini kama wapinzani hawakupinga mambo haya, lakini kwa kuwa team ndio uwanja ni wao na refa ni wao, mijadala ya kupinga mikataba hii ilizimwa. Mungu mwenye huruma anisamehe mimi Mwana Mtoka Pabaya kwa kuwa kipindi fulani maishani mwangu, nilishawahi kuwa mwanachama wa CCM.

Sidhani kama suala ni ubaya wa CCM au Chadema au chama kingine. Ni mentality ya Watanzania kwa ujumla ambao siku zote hawaweki maslahi ya taifa mbele. CCM wako so consumed na kuendelea kuwa caha tawala, kiasi kwamba chchote Chadema wakishauri wanaona kuwa wakikubali watahatarisha kuendelea kuwapo kwao madarakani. Chadema nao wako so consumed kuingia madarakani kiasi kwamba wamesahau kwamba mara nyingne wao ndio kisababishi cha mgongano na wanasiasa wa chama tawala - wako so focused na kuwakosoa.

Sasa siku tukibadilisha mentality hii ya chama changu na mimi kwanza na taifa baadaye, nadhani tutaenda mbali sana. Nyerere alijitahidi sana kutupa mentality ya uzalendo katika utawala wake wa miaka 23, ambayo ilikuja kupotea katika utawala wa miaka 10 tu ya awamu iliyofuata chini ya Mwinyi. Najiuliza sana kwa nini tulibadilika haraka na ghafla kiasi kile?
 
Acha longo longo. Mbona ulikuwa kimya miaka yote hii!? Peleka mikataba yote ya Nchi bungeni haraka iwezekanavyo ili Wabunge wakaichambue kwa kina.

Mkuu BAK, unaheshimika humu JF. Toa comments kulingana na reputation yako. Kwa mfano hili la 5% Tundu Lissu alilipigia sana kelele kwa Mkapa. Nakumbuka sana juu ya hilo. Na nadhani kuna wakati wabunge walikuja juu sana juu ya kubinafsishwa kwa NBC - Mkapa akawatishia, na kwa jinsi wabunge wa CCM wanavyolelewa, wanafyata mkia wakati wakijua kabisa walikuwa na support ya Nyerere kukataa kubinafsishwa kwa NBC.
 
Nimeguswa na uchungu alioonyesha Raisi Magufuli juu ya udanganyifu tunaofanyiwa katika sekta ya madini.

Nimejiuliza ikiwa Raisi Magufuli na wananchi kwa ujumla wanailewa kihalisi historia ya mgodi wa Bulhankulu (Bulyanhulu) na nani hasa alikuwa chanzo cha sie kuibiwa?

Labda kwa wale msiojua historia, dhahabu ya mgodi wa Bulyankulu iligunduliwa wakati wa Nyerere miaka ya 1970 na kampuni kutoka kutoka Sweden. Wakati wa majadiliano kuhusu uzalishaji, Nyerere alitaka Tanzania iwe na hisa ya 51% na wawekezaji wawe na 49%, kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamond mine. Nyerere alitaka mgodi huu uendeshwe na management ya Watanzania kama ilivyokuwa kwa Mwadui Diamonds. Wawekezaji toka Sweden walikataa wakitaka Tanzania iwe na 49% na wao ndio wawe na 51%. Nyerere alikataa, akawaambia kama hawataki Tanzania iwe na 51% waondoke. Nitamnukuu Nyerere alivyowaambia "dhahabu haiozi, kama hamtaki 49% ondokeni, tutaiacha hiyo dhahabu ardhini hadi tuje tuwe na uwezo wetu wenyewe wa kuichimba".

Sasa baada ya Nyerere kuacha uraisi, makubaliano yaliidhinishwa na Mkapa kutoka ile 49% aliyokataa Nyerere hadi kuwa 5% ya Mkapa, ambayo hata hiyo 5% ilikuja kuondolewa na Kigoda na Tanzania ikawa na 0% (ni wazi Kigoda aliagizwa na Mkapa - kwa hiyo suala la kutowachukulia hatua waliokufa linaweza lisiwe relevant). Ile kampuni ya mwanzo toka Sweden iliyogundua dhahabu Bulyankulu iliposikia Mkapa amekubali 5% ilienda mahakamani kuishitaki serikali na kampuni mpya kutoka Canada ya Bulyankulu Mining, wakisema wao ndio waligundua dhahabu ya Bulyanhulu na walikuwa tayari kuipa Tanzania 49% badala ya 5%. Hadi wakati huo hiyo kampuni ya Sweden ilikuwa na majengo yake pale Bulyankulu, ya ofisi na kulala, na haya ndiyo yaliyotumia na hii kampuni ya Canada pale mwanzoni. Serikali ya Mkapa ilisaidiana na kampuni mpya ya Canada ya Bulyankulu Gold mine, nadhani Chenge akiwa Mwanasheria Mkuu, kampuni ya Sweden ikashindwa kesi ambayo kwa kweli ilikuwa ni kushindwa kwa Tanzania kwa kutumia wanasheria wetu wenyewe!

Na si Bulyankulu tu ambayo Mkapa aliibadilisha. Baada ya Nyerere kuondoka madarakani, hata zile 51% tulizokuwa nazo Mwadui Diamonds zilibadilishwa na kuwa 25%. Sasa niwaambie kitu cha AJABU kilichotokea Mwadui Diamonds ndio mtaelewa kwa nini Watanzania tumefanywa wajinga waliwao!

Wakati Mwadui Diamonds ikiwa chini ya Tanzania kwa asilimia 51%, wawekezaji walitenga eneo la mgodi na kulifanya kuwa eneo la uwanja wa ndege, ambao pia ulitumika kama uwanja kwa ajili ya ndege za kibisahara (commercial airlines). Sasa kumbe siku zote walijua kwamba hili eneo la uwanja wa ndege ndilo lililokuwa na almasi wa wingi sana!!!! Siku tu mkataba na serikali ulipobadilishwa kutoka 51% kuwa 25% hapo mwaka 1997 kama sikosei, walitangaza kwamba ule uwanja wa ndege ndani ya Mwadui Diamonds unafungwa ili uchimbwe almasi. Nasikia kuwa lile eneo lililokuwa uwanja wa ndege lilitoa almasi ambazo mgodi haukuwahi kutoa katika historia yote ya Tanzania kuwa na 51%!

Mkapa alitetea kwamba tutafaidika na kodi za mauzo - na kwa ujanja kampuni zikawa zinatangaza hasara au faida kidogo sana ili wasilipe kodi. Na hili la migodi na kukubali hizi 5% lilikuwa mojawapo ya mambo yaliyofanya uhusiano wa Mkapa na Nyerere uzorote hadi tuseme ufe, pamoja na suala la kuuza NBC na mashirika mengine. Nyerere alimwambia Mkapa "Nina wasiwasi siku moja nitasikia umebinafsisha magereza".

Mkuu INASIKITISHA SANA, hii inatokana hii inatokana na wabunge tulionao hasa kutoka CHAMA TAWALA, ambao wamekuwa wakipitisha mambo ya hovyo kwa UWINGI wao BUNGENI...hii inatokea TANZANIA TU...
 
Back
Top Bottom