Rais Magufuli: Watanzania kuamini kila kitu cha kwenye mtandao ni kutokana na sisi kutoi-control mitandao

Kutokana na kuzidi kwa umbea na porojo za hapa na pale kwa viongozi wetu wakubwa na TAASISI KUBWA YA RAIS naunga hoja ya mitandao ya kijamii kusitishwa kwa kila mida ya Asubuhi mpaka jioni.
Na watu wafanye kazi kuliko kushinda mitandaoni facebook,whatsapp,jamiiforums. N.k

Na pia jamiiforums members wake woteee kutumia majina yao halisi na sio fake id.

Nakaa siti ya mbele kabisaa kusaidia juhudi hizi endapo litafanikiwa na kupitishwa.
Anza kutumia jina lako kuanzia sasa
 
Mfyuuuuuuuuu hao watu unawalisha wewe walishawahi kukuomba hata siku moja hela ya kula
 
Acha niweke dislike yangu
20180424_171311.jpg
 
Kutokana na kuzidi kwa umbea na porojo za hapa na pale kwa viongozi wetu wakubwa na TAASISI KUBWA YA RAIS naunga hoja ya mitandao ya kijamii kusitishwa kwa kila mida ya Asubuhi mpaka jioni.
Na watu wafanye kazi kuliko kushinda mitandaoni facebook,whatsapp,jamiiforums. N.k

Na pia jamiiforums members wake woteee kutumia majina yao halisi na sio fake id.

Nakaa siti ya mbele kabisaa kusaidia juhudi hizi endapo litafanikiwa na kupitishwa.
mtu kama wewe unatakiwa kufutwa hata huju jf, kama unaomba ifungiwe unafanya nini humu sasa, huo ujumbe wako kwamba ifungiwe ungeutoa kupitia nini kama jf isingekuwepo? kolomije weee
 
Kutokana na kuzidi kwa umbea na porojo za hapa na pale kwa viongozi wetu wakubwa na TAASISI KUBWA YA RAIS naunga hoja ya mitandao ya kijamii kusitishwa kwa kila mida ya Asubuhi mpaka jioni.
Na watu wafanye kazi kuliko kushinda mitandaoni facebook,whatsapp,jamiiforums. N.k

Na pia jamiiforums members wake woteee kutumia majina yao halisi na sio fake id.

Nakaa siti ya mbele kabisaa kusaidia juhudi hizi endapo litafanikiwa na kupitishwa.
Ukiona watu wengi wanashinda mitandaoni ujue hawana kazi. Mitandao ifungwe kwan huyo mwenyekiti wako anatoa hela ya chakula kwa wananchi wake?
 
Wewe ni tahaila isipokuwa una smartphone


Ni ujinga na upunguani eti kuamini watu wanaoshinda mitandaoni hawana shughuli za kufanya, haya ni mawazo ya watu wa jamii maskini.
Wengi wanaoshnda kwenye mitandao ya jamiiforums ni full umbea tu wachache sanaaa wanaofanya kwa maendeleo na isitoshe si hata jioni waweza ingia kwenye mitandao ya kijamii itakapofunguliwa.

Inatakiwa tu kufungwa kwa mida ya asubuhi.
 
Ni mawazo yako pia, sababu una Uhuru wa kuongea we ongea tuu
Na wewe pia una uhuru wa kukubali maoni haya kwa maendeleo ya Taifa letu na Rais wetu mpendwa Dr. John Joseph pombe magufuli.

Ahsante.
 
Kutokana na kuzidi kwa umbea na porojo za hapa na pale kwa viongozi wetu wakubwa na TAASISI KUBWA YA RAIS naunga hoja ya mitandao ya kijamii kusitishwa kwa kila mida ya Asubuhi mpaka jioni.
Na watu wafanye kazi kuliko kushinda mitandaoni facebook,whatsapp,jamiiforums. N.k

Na pia jamiiforums members wake woteee kutumia majina yao halisi na sio fake id.

Nakaa siti ya mbele kabisaa kusaidia juhudi hizi endapo litafanikiwa na kupitishwa.
Na hao wanaoishi na kukipa kodi za serikali kwa kutegemea mitandao ya kijamii wakale wapi ndg?
 
Na hao wanaoishi na kukipa kodi za serikali kwa kutegemea mitandao ya kijamii wakale wapi ndg?
Sasa mkuu kwani itafungwa siku nzma ni kwa masaa kadhaa tu ..
Kama biashara zitafanyika tu wala hakuna tatizo tena matangazo ya biashara mida ya jioni ndo yanatazamwa na watu wengi sababu mida ya jioni wengi wame relax.

Kwahyo ni vizuri mitandao ya kijamii ikazimwa tu mida ya asubuhi.
 
Hayo ni maoni yangu tu mkuu
Acha kutuletea thread ambazo hazina kichwa wala miguu. Kwan wanajf wanakula kwa magufuli? Mtu afanye au asifanye kaz wala haikuhusu ww na Magufuli wako. Angejua km kuna kufanya kazi angefuta ajira za walimu wa arts na NIDA?
 
Sasa mkuu kwani itafungwa siku nzma ni kwa masaa kadhaa tu ..
Kama biashara zitafanyika tu wala hakuna tatizo tena matangazo ya biashara mida ya jioni ndo yanatazamwa na watu wengi sababu mida ya jioni wengi wame relax.

Kwahyo ni vizuri mitandao ya kijamii ikazimwa tu mida ya asubuhi.
Wazime ili iweje? Watanzania wanakula kwa Magufuli mpaka mitandao izimwe?
 
Sasa mkuu kwani itafungwa siku nzma ni kwa masaa kadhaa tu ..
Kama biashara zitafanyika tu wala hakuna tatizo tena matangazo ya biashara mida ya jioni ndo yanatazamwa na watu wengi sababu mida ya jioni wengi wame relax.

Kwahyo ni vizuri mitandao ya kijamii ikazimwa tu mida ya asubuhi.
Suggestion yako ni cross-cutting. Kampuni za simu wanauza muda wa hewani muda wote na wanalipa kodi kwa serikali. Ukisema wazime data kuna mambo yatakwama jumla jumla. Tunategemeana ktk sekta mbalimbali. Ni ngumu hio kutekelezeka
 
Kutokana na kuzidi kwa umbea na porojo za hapa na pale kwa viongozi wetu wakubwa na TAASISI KUBWA YA RAIS naunga hoja ya mitandao ya kijamii kusitishwa kwa kila mida ya Asubuhi mpaka jioni.
Na watu wafanye kazi kuliko kushinda mitandaoni facebook,whatsapp,jamiiforums. N.k

Na pia jamiiforums members wake woteee kutumia majina yao halisi na sio fake id.

Nakaa siti ya mbele kabisaa kusaidia juhudi hizi endapo litafanikiwa na kupitishwa.
Mimi siungi mkono
Hata kidogo!!!!
 
Back
Top Bottom