Ameongea vizur mno Mh. Rais hongera sana
Huyu jiwe atakuwa siyo mzimaHii paragraph imehitimisha nia ya serekali katika kupambana na Corona ni ipi.Imagine social distancing pamoja na kuvaa barakoa vimepondwa na kuonekana havina maana!View attachment 1708025
Msiba ukiwa kwa jirani wala husikii maumivu, msiba ukiwa kwako sasa ukagusa ndugu, jamaa, rafiki yako ndiyo utajua jirani yako alipofiwa ilikuwaje?He is now coming to his sense.
Alikua anawasifia watu wasipovaa barakoa sasa akili inaanza kumrudia.
Alisema corona haipo sasa akili inamrudia kua huu msala upo na hauna utani.
Ameongea vizuri mno kwa kusema kuwa uvaaji wa barakoa pamoja na social distancing havina maana?Au umesoma taarifa ipi?Ameongea vizuri mno Mh. Rais hongera sana
Pia watu waliokufa kwa Corona wanazikana hovyo na kuongeza maambukizi mara dufu!Wahanga wa cororna walitakiwa wawe traced na watibiwe eneo maalum sio kujichanganya hospital na wagonjwa wengine. Na pia ukishajua huyu ni mgonjwa wa corona unatakiwa atibiwe kwa tahadhari lakini imekuwa kinyume. Wagonjwa wa covid wametapakaa kwenye zahanati...