Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Kuna wakati unawaza sana. Mtu mzima anakuja na kudai eti chanjo haina maana kwanini wameshindwa kupata chanjo ya HIV ila kasahau wamepunguza makali kwa kuleta ARV. Anadai kwanini wameshindwa kuleta chanjo ya maralia kasahu alishapewa vyandarua. Sasa kama yeye anashindana na wazungu kwanini anashindwa kuhimiza maombi HIV na Camcer zipotee kama anavyohamini Corona itapotea kwa maombi. Nachukia sana
Usikute wao tayari washapiga zao za kuwalinda
 
Tiyari ameanza kukubali taratibu, nilivyokuwa nasikia namna anavyozungumza Majaliwa kwenye Msiba wa Balozi kijazi nikajua kabisa anasafisha njia kwa Jiwe kukubali Corona ipo nchini na watu wanapaswa kuchukua taadhari

Mimi nashauri angehutubia Taifa moja kwa moja kuhusu hili suala linalogharimu maisha ya watu na siyo kujificha makanisani kutoa matamko ya chini kwa chini kwa Jambo serious kama hili

Shetani yupo busy alirudisha majeshi nyuma leo Hii mnasema kaangukia pua ngoja arudi.

Chukua tahadhari Corona inaua
Hata akirudi yeye ni wa kukemewa tu Kama mbwa Koko!! Pamoja na Bwana Yesu ushindi ni hakika!!
 
Kuna wakati unawaza sana. Mtu mzima anakuja na kudai eti chanjo haina maana kwanini wameshindwa kupata chanjo ya HIV ila kasahau wamepunguza makali kwa kuleta ARV. Anadai kwanini wameshindwa kuleta chanjo ya maralia kasahu alishapewa vyandarua. Sasa kama yeye anashindana na wazungu kwanini anashindwa kuhimiza maombi HIV na Camcer zipotee kama anavyohamini Corona itapotea kwa maombi. Nachukia sana
Hujamwelewa Rais wetu, naomba nijaribu kukuelewesha Kama kweli hitaji lako ni kueleweshwa.
Rais kasema hivi tuchukue tahadhari lakini huku tukimtanguliza Mungu mbele ya mambo yote. Yaani mwamini Mungu na mtegemee Mungu kwanza kabla ya tahadhari yoyote! Mungu mbele tahadhari nyuma. Siyo kwamba Mungu mbele tahadhari hakuna la hajasema Wala hajawahi kusema hivyo!
Amesema mataifa yaliyotanguliza tahadhari mbele na kubeza kumtanguliza Mungu Kama tulivyofanya sisi, kwenye mataifa hayo wamekufa watu wengi sana kwa maelfu na wanaendelea kufa pamoja na tahadhari zao za kuvas barakoa na kufanya lockdown!! Huo ni ukweli ambao hauwezi kukanushwa! Linganisha Marekani na Tanzania Kisha ulete jibu, linganisha Uingereza na Tanzania Kisha ulete jibu!! Ukweli uko wazi kuwa barakoa na lockdown hazijaweza kuwasaidia.
Halafu amesema hata tukisema watu wavae barakoa wangapi wanamudu kuvaa barakoa na kubadilisha barakoa kila baada ya masaa manne? Maana kila baada ya masaa 4 hizi barakoa Zina expire!!
 
Hujamwelewa Rais wetu, naomba nijaribu kukuelewesha Kama kweli hitaji lako ni kueleweshwa.
Rais kasema hivi tuchukue tahadhari lakini huku tukimtanguliza Mungu mbele ya mambo yote. Yaani mwamini Mungu na mtegemee Mungu kwanza kabla ya tahadhari yoyote! Mungu mbele tahadhari nyuma. Siyo kwamba Mungu mbele tahadhari hakuna la hajasema Wala hajawahi kusema hivyo!
Amesema mataifa yaliyotanguliza tahadhari mbele na kubeza kumtanguliza Mungu Kama tulivyofanya sisi, kwenye mataifa hayo wamekufa watu wengi sana kwa maelfu na wanaendelea kufa pamoja na tahadhari zao za kuvas barakoa na kufanya lockdown!! Huo ni ukweli ambao hauwezi kukanushwa! Linganisha Marekani na Tanzania Kisha ulete jibu, linganisha Uingereza na Tanzania Kisha ulete jibu!! Ukweli uko wazi kuwa barakoa na lockdown hazijaweza kuwasaidia.
Halafu amesema hata tukisema watu wavae barakoa wangapi wanamudu kuvaa barakoa na kubadilisha barakoa kila baada ya masaa manne? Maana kila baada ya masaa 4 hizi barakoa Zina expire!!
Hao watu wengi waliokufa nchi za nje unaona wengi sababu ya uwazi wao. Haya hao wachache waliokufa haoa nchini mwetu ni wangapi? Maana taarifa zote zinafichwa. Kwani ugonjwa wa Umonia unataka watu wavae Barakoa?
 
Kwahiyo mkuu wewe kuanza kuchukua tahadhari mpaka Rais aongee?

Au kuamini kuwa Corona ipo mpaka Rais aseme?

Kwa Hali kweli ni halali elimu iendelee kutolewa bure.

kwanini anaataa sasa kwamba corona haipo ? hili swala la kukataa kwani tumekataa sisi ? we huoni anasababisha mkanganyiko ? huyu rais mpumbavu kuliko wote dunia nzima
 
Uchumi gani ambao Tanzania iko nao hadi mataifa makubwa yafanye nayo vita? South Afrika, Misri, Nigeria wao watasemaje kama Tanzania itasema ni vita? Tumia hata ka akili kadogo uliko nako kufikiri.

magufuli na vibaraka wake wote ni wapuuzi walopitiliza yan hata kutumia tu common sense haiwezekani kwako ? wanaruka ruka tu mara ooh korona hakuna mara ooh me sijakataza kuvaa barakoa mara oooh tujikinge tusali sana mara ooh ugonjwa wa kupumua daaah masengelema sana haya majamaa
 
Watanzania wenzangu, naomba tutumie uzi huu kumtukuza Sana Mungu kwa kutuponya na kutulinda na corona. Tumponde na kumzomea Sana shetani na corona yake.

Maneno Kama: Corona kwa Tanzania inayomtegemea Mungu imekula wa chuya!

Tuwazomee mawakala wa Corona wanaotaka kuitumia corona Kama mtaji wa kisiasa!

Tutumie uzi huu kumwinua na kumtukuza Sana Mungu, maneno Kama: Mungu wetu ana nguvu kuliko korona!! Mungu
Wetu aliyetuponya na corona mwaka 2020 atatuponya pia 2021!

Kwa Mungu hakuna kisichowezekana, corona ni nini mbele ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi!! Tutumie uzi huu pia kumwombea na kumtia moyo Rais wetu Dr John Pombe Magufuli. Namshukuru Mungu kwa kutupa Magufuli mcha Mungu kuwa Rais wetu!!
Asante Sana Rais wetu kwa kutuongoza vema kwenye Vita hii dhidi ya Corona: You are very smart kwa kuipambanisha corona na Mungu!

Pamoja na Mungu ushindi ni hakika! Asante Rais wetu kwa kudharau vitisho vyao, usiwasikilize, Bwana wa mabwana atawanyamazisha!! Usiogope Vita Ni vya Bwana!

Tunakupenda Rais wetu! I can't imagine ingekuwaje tungekuwa na Rais mwoga kipindi hiki!! Au kama tungekuwa na Rais ambaye Ni kibaraka wa makaburu!

Mungu akulinde Rais wetu na akupe maisha marefu!

Pamoja na Bwana Tanzania tutavuka!

Nyie jamaa msiwabebeshe wazungu lawama wakati upumbavu ni wa magufuli jaman why kila siku mabeberu sijui nini ? why ? wakati aliesema korona haipo magufuli, alosema imeisha magufuli alosababisha watu wakae bila barakoa magufuli manake kwene mamikutano yake anasisitiza hakuna korona na watu wasivae barakoa sababu yeye hana barakoa, mara oooh barakoa zina korona, ivi ninyi Mungu wenu ni yupi ? Me nikisoma vitu vyenu siwaelewi au mimi ndio nimechanganyikiwa ?
 
Jidanganyeni Italia ndio kuna ndio ya Roma na Ulaya yoote hausikii maujinga kama haya ya kumlilia mungu. Arabic countries hawataki kbs ujinga na huu ugonjwa kiasi cha kupunguza msongamano wa watu kwenda kuhiji. Nyie wenzangu na mie mnaosalie kwenye magofu ya pale Kawe mpo busy na kushabikia ujinga. Acha hili dude litutie adabu ndio tutajuana vyema. Eti maombi.

Pumbavu kabisa hawa mtu wanaemwita beberu ndio huyo huyo aloleta christianity na uislam huku anatuona majinga anatucheka, yan wao wanachukua tahadhari za hali ya juu nyie mnadharau ? kwa lipi kwa kusali kwne makanisa ambayo makao makuu yake ni roma italy ? yan waitaliano wao hawana mungu ? hii nchi inawapumbavu sana na na wao hawajijui..Mungu hawez saidia wasioweza jisaidia
 
Kuna wakati unawaza sana. Mtu mzima anakuja na kudai eti chanjo haina maana kwanini wameshindwa kupata chanjo ya HIV ila kasahau wamepunguza makali kwa kuleta ARV. Anadai kwanini wameshindwa kuleta chanjo ya maralia kasahu alishapewa vyandarua. Sasa kama yeye anashindana na wazungu kwanini anashindwa kuhimiza maombi HIV na Camcer zipotee kama anavyohamini Corona itapotea kwa maombi. Nachukia sana

Very stupid aisee
 
Hujamwelewa Rais wetu, naomba nijaribu kukuelewesha Kama kweli hitaji lako ni kueleweshwa.
Rais kasema hivi tuchukue tahadhari lakini huku tukimtanguliza Mungu mbele ya mambo yote. Yaani mwamini Mungu na mtegemee Mungu kwanza kabla ya tahadhari yoyote! Mungu mbele tahadhari nyuma. Siyo kwamba Mungu mbele tahadhari hakuna la hajasema Wala hajawahi kusema hivyo!
Amesema mataifa yaliyotanguliza tahadhari mbele na kubeza kumtanguliza Mungu Kama tulivyofanya sisi, kwenye mataifa hayo wamekufa watu wengi sana kwa maelfu na wanaendelea kufa pamoja na tahadhari zao za kuvas barakoa na kufanya lockdown!! Huo ni ukweli ambao hauwezi kukanushwa! Linganisha Marekani na Tanzania Kisha ulete jibu, linganisha Uingereza na Tanzania Kisha ulete jibu!! Ukweli uko wazi kuwa barakoa na lockdown hazijaweza kuwasaidia.
Halafu amesema hata tukisema watu wavae barakoa wangapi wanamudu kuvaa barakoa na kubadilisha barakoa kila baada ya masaa manne? Maana kila baada ya masaa 4 hizi barakoa Zina expire!!

ni uwongo kwamba barakoa zinaexpire baada ya masaa manne unasema vitu huvijui mkuu, barakoa gani inaexpire baada ya masaa manne ? jaman ivi kwanini magufuli akisema kitu mnachukua kama kilivyo yan hamtumii hata akili tu kujudge hata kidogo, yule nae ni binadamu anakosea na anadanganywa sana kama sio kujiropokea vitu vingine ambavyo havimake sense
 
Nadhani hili linapotosha maana nzima ya uongozi, ikifika kipindi kila mtu aamue basi hakuna umuhimu tena wa kuwa na kiongozi ambaye ni jukumu lake kulinda wananchi kwa sera bora na kulinda taifa, ukiachia kila mtu kivyake basi isiwe katika hili hata na mengine ya kuamua kuandamana au kutoandamana kila mtu shauri yake, ukaimua kukimbia speed 100 au 50 juu yako utaona lipi bora kwako. Hakuna uongozi wa namna hiyo kuna mawili tu black and white, mambo ya shaurieni yenu kesho kitakuja kipindupindu tutasema shauri yako ukitaka kufanya usafi au hutaki juu yako japo usafi ni bora. Kiongozi ni dira kauli yako ndio mwelekeo...
Serikali, kupitia Wizara husika, hutoa miongozo ya jinsi ya kujikinga na maambukizi au hatua za kufuata endapo utakuwa umeambukizwa. Kinachofuata ni mtu mmoja, familia, kikundi au jumuia kutekeleza/kufuata miongozo hiyo.

Je, wewe, familia yako, ndugu zako, rafiko zako, na washirika wako mnatimiza wajibu wenu au mnasubiri msimamiwe?
 
Back
Top Bottom