mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 38,978
- 44,304
Hivi sasa rais wa TANZANIA.anaonekana ameingia kwenye mtihani mkubwa.wa kutamanishwa madaraka.sijui hawa watu wana agenda gani.mtu hata miaka 5 hajamaliza mmamtabiria apewe miaka 100.wakati kila mtu anajua.vipindi vya kuongoza ni miaka mitano.alaf uchaguzi.
Akishinda anapewa mingine mitano ya MWISHO.
NYIE HYO 100 MMEITOA WAPI?
NIA YENU MNATAKA UPINZANI WAANZISHE KAMPENI YA KUPINGA ILI NCHI ICHAFUKE?
KAMA HAUJUI KUNA KUFA BASI KACHUNGULIE KABURI.
HATUTAKI YA MAJIRANI ZETU YATUTOKEE.
NA KAMA MNAVYOJUA,WAZUNGU NA MAGHARIBI WANAPOONA MACHAFUKO NCHINI HAWASHINDWI KUTULETEA VYUMA TUUANE WENYEWE KWA WENYEWE.
HILI NI PEPO BAYA LINAHITAJI KUKEMEWA KWA NGUVU ZOTE.
N.B.mimi si mwandishi mzuri,ila naamini ujumbe umefika.
Akishinda anapewa mingine mitano ya MWISHO.
NYIE HYO 100 MMEITOA WAPI?
NIA YENU MNATAKA UPINZANI WAANZISHE KAMPENI YA KUPINGA ILI NCHI ICHAFUKE?
KAMA HAUJUI KUNA KUFA BASI KACHUNGULIE KABURI.
HATUTAKI YA MAJIRANI ZETU YATUTOKEE.
NA KAMA MNAVYOJUA,WAZUNGU NA MAGHARIBI WANAPOONA MACHAFUKO NCHINI HAWASHINDWI KUTULETEA VYUMA TUUANE WENYEWE KWA WENYEWE.
HILI NI PEPO BAYA LINAHITAJI KUKEMEWA KWA NGUVU ZOTE.
N.B.mimi si mwandishi mzuri,ila naamini ujumbe umefika.