Rais Magufuli: Waliopo mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi, kama wapo tayari kuomba msamaha na kurejesha pesa, kama Sheria inaruhusu nashauri waachiwe

SITOI HELA YANGU HATA KWA KUNYONGWA HAROO!. SASA WAKO MAHABUSU HIYO HELA WATOE WAPI? NA WALISHA KULA?
UNAMPA SIKU SABA TU. UNAZIJUA ZILIPO?

MAWAZO YA KIMASKINI SHIDA SANA.
Mswahili akiiba ela anawazag kijenga nyumba na kinunua vitu vya ghalama kwaiyo wakina kitilya wauze najumba yao na viwanja, magari na kuzitoa pesa kwenye account zao, mahaana mswahili tofauti na kanjibai, wahindi wanatuibia ela wanaziingiza kwenye mzunguko wa biashara zao.
 
Mswahili akiiba ela anawazag kijenga nyumba na kinunua vitu vya ghalama kwaiyo wakina kitilya wauze najumba yao na viwanja, magari na kuzitoa pesa kwenye account zao, mahaana mswahili tofauti na kanjibai, wahindi wanatuibia ela wanaziingiza kwenye mzunguko wa biashara zao.
Hapana umekosea

Kanjibai hawaamini serikali za watu weusi tangu zama,wana p/port mbilimbili hao. hawawezi ku-invest permanently ananunua Nyumba au kuwekeza jumla kwa watu walio serious na maisha kama Canada, UK, Swiss, Denmark nk na mabiashara ya kufa mtu hukohuko ktk nchi hizo, watoto wanasoma huko. yeye anabaki hapa na hela kiduuuuchu, ya kuzugia kwenye nyumba za NHC.
wewe ukitoka zako Mbagala unamuona kariakoo unadhani kaingiza pesa kwa biashara. loool kumbe! sasa ngoja uone huyu kanjibai akitoka tu akimaliza mambo yake huyoooooo! jumba NHC anaachia ndugu na biashara inaendelea tu.

Mswahili aende wapi zaidi ya bongo? Connection nje hana! hata pass tu hana, zaidi ataenda Mwanza.Mbeya, Arusha.tena anajenga mghorofa kando ya barabara mzee wa Meko akipita anaziona ziilee, anavimba huyu.
 
Wakuu Jamvini na Watanzania wenzangu.
Hakika nilishikwa na butwaa baada ya kusikiliza alichokisema, kwa sababu huko nyuma hii huruma hakuwa nayo na aliwasii watu wa sheria kufuata na kutumia sheria zilizopo na hata kusema sheria msumeno.... lakini baada ya mimi kutafakari na kwa kuwa kwa wakati huo nilikuwa nachambua historia za Afrika nilifikiwa na maoni haya......


Mheshimiwa Raisi anaona madudu yaliyojaa kwenye sheria za ukandamizaji tunazolazimishwa kutumia na wazungu. Mheshimiwa kwa mtazamo wangu mwingine ni kuwa anataka kuona overhaul ya sheria zinazopoteza wakati,mali, na hata kuingiliana na siasa. Watu wa sheria, maprofesa na waafrika wote wamsaidie kuchambua na kuyatafutia ufumbuzi wa mda mrefu.
Lazima tutafute mbadala wa sheria zinazopeleka watu jela tu! Tuheshimiane jamani, Kuna utu kwenye Tamaduni zetu! ki

Kuna wale ambao wanachukua credit...na kusimanga mwaafrika. Kaa chonjo Mwaafrika anaamka. Mila na desturi za mwafrika zizingatiwe katika mjadala wa mbadala wa sheria au mahakama ambazo Mheshimiwa Raisi ana suggest.

Sifikiri alikuwa anaangalia hili suala kisiasa bali ki filosofia.
 
Kwanza heshima kwako mkuu. Pili, kama ulivyosema, kumtukana mtu ni kosa la jinai, kwa hiyo anayetukana anapaswa kupelekwa mahakamani na si kupigwa risasi.
Wewe unafanya ionekane kuwa wanaotukana hupigwa risasi. Are you sure or you are trying to sensationalize this? Ebu orodhesha waliyo pigwa risasi kwa kutukana na mimi nioredheshe waliyotukana na bado hawajapigwa risasi. Hivi wale waliyomuita raisi mshamba walipigiwa wapi risasi?
 
Wakuu Jamvini na Watanzania wenzangu.
Hakika nilishikwa na butwaa baada ya kusikiliza alichokisema, kwa sababu huko nyuma hii huruma hakuwa nayo na aliwasii watu wa sheria kufuata na kutumia sheria zilizopo na hata kusema sheria msumeno.... lakini baada ya mimi kutafakari na kwa kuwa kwa wakati huo nilikuwa nachambua historia za Afrika nilifikiwa na maoni haya......


Mheshimiwa Raisi anaona madudu yaliyojaa kwenye sheria za ukandamizaji tunazolazimishwa kutumia na wazungu. Mheshimiwa kwa mtazamo wangu mwingine ni kuwa anataka kuona overhaul ya sheria zinazopoteza wakati,mali, na hata kuingiliana na siasa. Watu wa sheria, maprofesa na waafrika wote wamsaidie kuchambua na kuyatafutia ufumbuzi wa mda mrefu.
Lazima tutafute mbadala wa sheria zinazopeleka watu jela tu! Tuheshimiane jamani, Kuna utu kwenye Tamaduni zetu! ki

Kuna wale ambao wanachukua credit...na kusimanga mwaafrika. Kaa chonjo Mwaafrika anaamka. Mila na desturi za mwafrika zizingatiwe katika mjadala wa mbadala wa sheria au mahakama ambazo Mheshimiwa Raisi ana suggest.

Sifikiri alikuwa anaangalia hili suala kisiasa bali ki filosofia.
Mimi nakubaliana na wewe. Hebu uangalie lipi afadhali! Mtu kaiba mabilioni kayaficha. Unamshitaki na kumfunga huku mabilioni huyapati. Si afadhali umwambie aombe msamaha, arudishe pesa yote ili itumike kwenye maendeleo!
Kuna watu wanaozea jela na mapesa waliyoiba wanaliwa na mchwa au yanaozea Switzerland. Sasa huyu ukimwambia rudisha pesa zetu na wewe tutakiachie kuna ubaya ganmi. Si mnabadilishana mateka!
 
Wewe unafanya ionekane kuwa wanaotukana hupigwa risasi. Are you sure or you are trying to sensationalize this? Ebu orodhesha waliyo pigwa risasi kwa kutukana na mimi nioredheshe waliyotukana na bado hawajapigwa risasi. Hivi wale waliyomuita raisi mshamba walipigiwa wapi risasi?
Da! Hatuweki kwenye mizani kuwa waliopigwa ni wangapi na hawakupigwa ni wangapi!! Kwani hatakiwi mtu apigwe risasi
hata mmoja.
 
Wewe unafanya ionekane kuwa wanaotukana hupigwa risasi. Are you sure or you are trying to sensationalize this? Ebu orodhesha waliyo pigwa risasi kwa kutukana na mimi nioredheshe waliyotukana na bado hawajapigwa risasi. Hivi wale waliyomuita raisi mshamba walipigiwa wapi risasi?
Unamaanisha nani huyo Tundu Lissu?
 
Back
Top Bottom