Rais Magufuli: Wakulima pandisheni bei za mazao kadri mtakavyo

Ni suali zuri uliouliza.
Yea ikiwezekana kila mtu alime, Basic need mmoja wao ni chakula,
Kama ni mazao ya mahindi mfano, utakua hununui mahindi, na pia kama tumelima maheka tutakua na mahindi yakutosha, na tunavyo jua vyakula vikiwa vingi bei itashuka kwa nguvu ili tuwe na surplus ya mazao.
Sasa umesema kila mtu alime hiyo bei kushuka atauziwa nani si kila mtu amelima? Mbona hauleweki Mkuu. Halafu ukae ufahamu si kila eneo linakubali kulima mahindi/mpunga au kila eneo linalimwa mazao. Na si kila mtu anamudu ulimaji wa mazao hayo.
 
Sasa umesema kila mtu alime hiyo bei kushuka atauziwa nani si kila mtu amelima? Mbona hauleweki Mkuu. Halafu ukae ufahamu si kila eneo linakubali kulima mahindi/mpunga au kila eneo linalimwa mazao. Na si kila mtu anamudu ulimaji wa mazao hayo.
Si lazima uuze kila unachopanda, hili ndio tatizo sisi waafrika, tunachowaza ni kuuza na kupata hela na utajiri tu. Kama nilivyoandika hapo juu tunalima kwa ajili ya chakula chetu cha nyumbani, unaweza ukalima angalau heka mmoja si lazima heka 10 au 100. Na unachovuna inabidi ukitunze vizuri. Kwa hiyo sio lazima uwe na uwezo wa hela ili ulime, ni nguvu zako tu.
 
hata wa mabasi hawakupaswa kuzuiwa kupandisha bei kwa msingi huo..
illogical kil.az..
 
Si lazima uuze kila unachopanda, hili ndio tatizo sisi waafrika, tunachowaza ni kuuza na kupata hela na utajiri tu. Kama nilivyoandika hapo juu tunalima kwa ajili ya chakula chetu cha nyumbani, unaweza ukalima angalau heka mmoja si lazima heka 10 au 100. Na unachovuna inabidi ukitunze vizuri. Kwa hiyo sio lazima uwe na uwezo wa hela ili ulime, ni nguvu zako tu.

Kwa hiyo Mkulima alime kwa ajili ya kula tu, halafu pesa ya mahitaji ya malazi, mavazi na kusomesha akaitoe wapi? Mkuu kumbuka mazao ya biashara yanakubali sehemu chache sana, wenzetu mataifa mengine hayo mazao ya chakula kama mchele, mahindi ni mazao ya biashara mkubwa sana kuna kipindi tunauziwa mchele wa Thailand, Brazil n.k Ni fikra mgando kuamini kila mtanzania alime hata nchi zilizoendele kwenye kilimo kama China sio kila mtu au Jimbo linalaima. Hizosera zako zilimshinda Nyerere mambo ya mashamba ya ushirika.

Muundo mzuri wa maisha ni mgawanyo wa kazi na majukumu. Na majukumu yataekelezwa vizuri kwa kubobea, Mwanasheria ajikite kwenye sheria, daktari ajikite kwenye udakatari ili awe bingwa hukoo. Leo injinia aache uinjia akalime kwanza,daktari apumzike akalime kwanza tutakuwa na wataalamu kweli? Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati Mmoja.
 
Kwa hiyo Mkulima alime kwa ajili ya kula tu, halafu pesa ya mahitaji ya malazi, mavazi na kusomesha akaitoe wapi? Mkuu kumbuka mazao ya biashara yanakubali sehemu chache sana, wenzetu mataifa mengine hayo mazao ya chakula kama mchele, mahindi ni mazao ya biashara mkubwa sana kuna kipindi tunauziwa mchele wa Thailand, Brazil n.k Ni fikra mgando kuamini kila mtanzania alime hata nchi zilizoendele kwenye kilimo kama China sio kila mtu au Jimbo linalaima. Hizosera zako zilimshinda Nyerere mambo ya mashamba ya ushirika.

Muundo mzuri wa maisha ni mgawanyo wa kazi na majukumu. Na majukumu yataekelezwa vizuri kwa kubobea, Mwanasheria ajikite kwenye sheria, daktari ajikite kwenye udakatari ili awe bingwa hukoo. Leo injinia aache uinjia akalime kwanza,daktari apumzike akalime kwanza tutakuwa na wataalamu kweli? Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati Mmoja.

Nikisema kila mtu alime basi ukaona watu wasifanye kazi zingine na walime tu? Inabidi mda mwingine tuwe tuna soma na kuelewa suala kiupana, Tusiwe wavivu wa kufikiri pia. Hili ni tatizo kubwa sana kwa watanzania na waAfrika,
Nina rafiki yangu hapo Dar, ni profesa na yuko ofisini from monday to friday lakini ana shamba na kwake mifugo na ana lima. Ni pia kuna wengine wengi tu wana elimu zao na kazi zao lakini wanalima,
Mimi mwenyewe si mkulima lakini nimegharimia zaidi ya milioni 50 kwenye kilimo. Lakini bado kuna asilimia kubwa ya wananchi wasiotaka kusikia kilimo. Okey huna intrest na kilimo lakini inabidi ufanye hivyo kwa jili ya kupata chakula badala ya kulalamika njaa, labda itokee ukame kama sasa, lakini ikitokea bahati ya hali ya hewa ni vema tukatumia hiyo chance.
Niliwahi kuishi mahali ambapo kuna mvua mara 2 hadi 5 kwa mwaka, nikiwa na miaka 9 hadi 15 na tulikua na maisha magumu ajabu. Nakumbuka sikummoja nilichuka yale maji tuliokua tukitumia kunawia mikono wakati wa chakula nikawa na mwaga kwenye ki plant kidogo, kile kiplant kikamea vizuri kumbe ilikua ni ua. nilivyo ona hivyo nikaweka vitunda vya nyanya, vikaota na miche ikakua na tukapata nyanza za bure badala ya kununua sokoni, nakumba waliokua wakubwa kwangu walikua wakinicheka wakitu huo lakini tulika nyanya

Nimeishi Sweden zaidi ya miaka 10 na nimepata kuongea na wenyeji, wanasiasa juu ya maendeleo. Sweden miaka 100 iliopita ilikua ni nchi ya kimaskini sana. Wakati huo walilazima kulima kwa ajili ya chakula, wale wote wa kipato cha chini na kati walilazimika kulima. waliokua wakiishi kwenye ma appartment walipewa sehemu yakulima. hizo sehemu zipo hadi leo na zinaitwa KOLONILOTT. Sasa havi pamekua mahali pa kumpumzikia wakati wa summer time. wasiokua na wezo wa kununua nyumba ya vila ndio hao wanaoishi kwenye ma appartment ndio wanananua hizo sehemu na wana spend time huko wakati wa jua nabado wanapanda viazi, mahindi, strawberry, beans, peas kama hobby, wakati wakati huo walikua wanalima kwa jili ya chakula chao na kuhifadhi kwa ajili ya muda wa barafu.
Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuniambia wakati huo wa njaa kila mtu katika family alilazimika kusaidia kazi za shamba na nyumbani, mdogo hadi mkubwa. wakati sasa baada ya maendeleo mtoto hadi afikishe miaka 18 ndio anaweza kuajiriwa in full.
Sasa sisi Tanzania tuko miaka 100 nyuma na kila siku tuna lalamika njaa na shida.
Hapa tulipo nilimuambia kijana mmoja ajaze udongo kisaflet hadi kufikia robo na apnade viazi aweke hapo uani kwake na sasa viazi vimeemea vizuri sana, atakua anakula viazi vyake, na kasha panda hoho na nyanya kwenye visadolin.
Kwahiyo hapa tunaongelea jinsi ya kukabiliana na njaa na shida. Unaweza ukaajiriwa na ukawa na plants zako hapo uani.
 
Nikisema kila mtu alime basi ukaona watu wasifanye kazi zingine na walime tu? Inabidi mda mwingine tuwe tuna soma na kuelewa suala kiupana, Tusiwe wavivu wa kufikiri pia. Hili ni tatizo kubwa sana kwa watanzania na waAfrika,
Haukujenga hoja kinagaubaga Tatizo unajenga hoja kwa kuangalia rank ya maisha ya daraja la juu na la kati lakini huku angalia daraja la chini.
Nina rafiki yangu hapo Dar, ni profesa na yuko ofisini from monday to friday lakini ana shamba na kwake mifugo na ana lima. Ni pia kuna wengine wengi tu wana elimu zao na kazi zao lakini wanalima.
Huyo Profesa halimi mwenyewe ina maana ameweka watu wa kulima, parizi, uvunaji na usimamizi kwa ujumla akisimamia kila kitu mwenyewe lazima atafeli kilimo kinahitaji ufuatiliaji wa karibu sana. Unafikiri uyo profesa anatumia gharama kiasi gani kwenye kilimo chake? Je mlalahoi wa kawaida ataweza?
Mimi mwenyewe si mkulima lakini nimegharimia zaidi ya milioni 50 kwenye kilimo.
Nipe Takwimu kwa watanzania wenye uwezo wa kumiliki milioni 50 na kufanya kilimo chenye tija, wako wangapi? Wewe kumbe una pesa ndio maana una jenga kiburi na kushindwa kutambua wenye njaa.
Halafu nijibu kwanini wakulima wengi ni maskini? na unafikiri wenye pesa kama ninyi mkiingia wote kwenye kilimo hao wakulima umaskini wao utaongezeka au utapungua?
 
Back
Top Bottom