Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Niwaombe Viongozi wenzangu ndani ya Wilaya na Mikoa wakati wa mchakato wa uchaguzi tusiende na majina mfukoni tuoneshe ukomavu mwaka huu, tuwaache wengine wakurupuke kuvunja taratibu wagombane, tusikate majina ya Wagombea kwasababu zetu binafsi
Mtu unajijua ni Mchezaji mzuri unaficha chenga zako kwanini?, tujiandae na uchaguzi, CCM hii sio ile ya nyuma na Wapinzani wetu sio wale wa nyuma, Wapinzani wamebadilisha mikakati yao, mingine wanaiweka hadharani na mingine ni ya kificho, tusibweteke
Sisi wasukuma ukiwa unaenda kutoa posa hasa Mwanamke awe mweupe huwezi kupeleka ng’ombe nusunusu utapeleka pesa yote ili mwingine asije kukuwahi, weupe oyee..aah mnamuangalia Mama Samia eeh?
Mtu unajijua ni Mchezaji mzuri unaficha chenga zako kwanini?, tujiandae na uchaguzi, CCM hii sio ile ya nyuma na Wapinzani wetu sio wale wa nyuma, Wapinzani wamebadilisha mikakati yao, mingine wanaiweka hadharani na mingine ni ya kificho, tusibweteke
Sisi wasukuma ukiwa unaenda kutoa posa hasa Mwanamke awe mweupe huwezi kupeleka ng’ombe nusunusu utapeleka pesa yote ili mwingine asije kukuwahi, weupe oyee..aah mnamuangalia Mama Samia eeh?