Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Miss Natafuta Sijawahi kukusikia ukichangia mada za siasa wala kuanzisha uzi, dah ama kweli leo ndio nakuona sasa vip kampeni imeanza nini, lazima utakuwa umeteuliwa maana wanajua uzi zako unaweza ukasomwa na ukawashawishi wengi. muda utasema twende kazi CCM OyeeeeeeeYaani ukimfuatilia Mheshimiwa Rais akiongelewa humu mtandaoni utamchukia sana ila nimepata muda nikamfuatilia kwa umakini, kwa kweli tuna Rais anaefanya kazi.
Nadhani ni muda wa sisi kuungana naye ili tupate maendeleo zaidi.
Naamini 2020 atapita kwa kishindo kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app