Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,551
- 45,844
Yaani ukimfuatilia Mheshimiwa Rais akiongelewa humu mtandaoni utamchukia sana ila nimepata muda nikamfuatilia kwa umakini, kwa kweli tuna Rais anaefanya kazi.
Nadhani ni muda wa sisi kuungana naye ili tupate maendeleo zaidi.
Naamini 2020 atapita kwa kishindo kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni muda wa sisi kuungana naye ili tupate maendeleo zaidi.
Naamini 2020 atapita kwa kishindo kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app