Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Hapo kabla, Rais Magufuli alipata kunukuliwa akidai nchi ilikuwa ikipoteza Bilioni 777 kulipa wafanyakazi hewa kila mwezi; takwimu hizo sasa zimebadilika na anasema ni Bilioni 138, siyo 777 tena...
Sasa mimi natoa wito kwa Rais Magufuli mambo ya siasa nyepesi nyepesi na uongo wa hapa na pale amwachie Humphrey Polepole na sasa yule msomi tuliyemheshimu sana hapo kabla...Dr.Bashiru; ni wakati sasa Rais ajifunze kuwa mkweli na awe na kumbukumbu na akisemacho leo kuwa kitakuwa rejea kesho...KILA MTU ANA UWEZO WA KUBADILI TABIA AKITAKA!
Na wala asimkasirikie Millard Ayo kwa kumnukuu kila akisemacho!
Sasa mimi natoa wito kwa Rais Magufuli mambo ya siasa nyepesi nyepesi na uongo wa hapa na pale amwachie Humphrey Polepole na sasa yule msomi tuliyemheshimu sana hapo kabla...Dr.Bashiru; ni wakati sasa Rais ajifunze kuwa mkweli na awe na kumbukumbu na akisemacho leo kuwa kitakuwa rejea kesho...KILA MTU ANA UWEZO WA KUBADILI TABIA AKITAKA!
Na wala asimkasirikie Millard Ayo kwa kumnukuu kila akisemacho!